US says Kagame should go when term ends in 2017

US says Kagame should go when term ends in 2017

Muungane kwanza kumaliza matatizo yenu, muungane kwanza kukataa misaada yake. Kama mnamuitaji kuwasaidia kwenye miradi yenu ya maendeleo hamuwezi kuunga kumpinga.

Kwan ww umeelewaje maana ya "kuungana kumpinga???"
Uliyoyaorodhesha hapo ndio moja ktk kumpinga kwenyewe huko.
 
US ni nani katika UN mpaka aamuru nani aongoze wapi na wakati gani katika nchi za ulimwengu? Ndiyo maana kuna haja ya kuangalia upya uanachama wetu katika jumuhia hizi za kimataifa kama zina manufaa...!
He he heeeee! jitoeni muone yatakayowapata. Mkipigwa sijui mtatumia sheria ipi?
 
Kwan ww umeelewaje maana ya "kuungana kumpinga???"
Uliyoyaorodhesha hapo ndio moja ktk kumpinga kwenyewe huko.



Utampingaje wakati badget yako inamtegemea yeye. Hata mataifa ya kiafrica yakiungana hayawezi kumaliza tatizo la budget tegemezi maana karibu yote yana tatizo hilo kwa hiyo hakuna wa kumsaidia mwenzake kulitatua.
 
Ignorantly stupid. Why defending stupidity? If you didn't know, now you should know that, USA is the Headquarters of UN. USA rules. Try to dare them you'll suffer the consequences of your stupidity...
 
Utampingaje wakati badget yako inamtegemea yeye. Hata mataifa ya kiafrica yakiungana hayawezi kumaliza tatizo la budget tegemezi maana karibu yote yana tatizo hilo kwa hiyo hakuna wa kumsaidia mwenzake kulitatua.

#Negative mind will never give u a Positive life#
 
Ignorantly stupid. Why defending stupidity? If you didn't know, now you should know that, USA is the Headquarters of UN. USA rules. Try to dare them you'll suffer the consequences of your stupidity...

Sitaweza kumpinga facial lakini tutakuwa tunaandaa storms za na kuweaken mipango yake, hata roman ilianguka na ipo siku US itafall na ita?-dhibiwa na kila kiumbe, haya ni mapambano na hatutakiwi kuchoka.
 
behind the scene we are begging them for aid money and today we are saying they are no body we should not listen to them! ha ha ha ha

Ha ha ha ha I did not say they are nobodies! But I know we are paying for the so called aid. No free lunch eeh!

Read Dead Aid by Dambisa Moyo.
 
Kagame is here to stay na haendi popote maana kazi ameifanya kuzidi inavyotakiwa,swala sio uchaguzi tuu na kwa kasi ya Magufuli akiendelea nayo non stop nashauri 2020 kusiwepo uchaguzi na Pombe aendelee kusafisha na kuleta haki na maendeleo kwa wote.
 
Americans got no real friends but only strategic friends. One thing Americans want to see happen in this world is having some parts of the world underdeveloped so that they can continue to bully us.
 
Chairman Paul Kagame: Peaceful transfer of power should not be at the expense of socio-economic issues. It is not a chicken and egg story.
Even rich nations with peaceful transfer of power have millions of their people who live in abject poverty.
We know of places that have had peaceful transfer of power for decades but they have come to live in poverty as a way of life.
Peaceful transfer of power depends on the stability and being able to identify and understand who you are.
Is peaceful transfer of power the beginning and end onto itself?
Our choices are qualified as parliamentary manoeuvrings our actions do not correspond to the wishes of other nations.
They tell us we should have the right to make our own choices but our choices then become defined as manoeuvring.
Continuity is not about continuity of an individual but continuity of progress. We must keep making progress.
 
Americans got no real friends but only strategic friends. One thing Americans want to see happen in this world is having some parts of the world underdeveloped so that they can continue to bully us.
exactly! but they are calling a wrong number, one of the reasons i need him to stay! I guess with Kagame, they have to reconsider, I remember during the genocide, the french intervened and ordered the RPF to halt their advance or face the French army... Kagame refused the order and within few hours the French(with Interahamwe) were all surrounded by the RPF! now Amb. Power should listen to this very careful...
"If you want something while looking down on me you can be sure 100% you won't get it. You can be sure you'll get the opposite."
 
YOU ARE WRONG ,DEMOCRACY IS THE SAME EVERYWHERE;TODAY THE WORLD IS ONE INHIBITED BY HUMAN BEINGS WHO ARE EQUAL,WHETHER THEY LIVE IN THE US, UK ,RUSSIA.ect,ect !
 
Back
Top Bottom