US Missile System Ready Against Iran

there is another reason on these matters , someone watching WWE , " New World Oder " has to happen very quickly , technically they have to creat chaos and then implement their main business , wake up guys no one can stop them now , ONLY GOD can stop ,we need to cross our fingers and pray everyone by his/her faith !!!
 

Mkuu threat ya Iran kwa US haiko kwenye weapons, iko kwenye influence yake kwenye eneo la ghuba. Iran ina proxies, na hao proxies wanaota kutokana na kupaliliwa na sera ya Marekani ya Mashariki ya kati, na ukumbuke kuwa hadhi ya Iran kwa Russia kwa sasa, inalingana kidogo na ile ya Cuba wakati wa cold war. Sasa hivi Iran ni karata ya Russia na China kuisumbua US, usidhani itakuwa push around kirahisi, unless US waamua kukubali hasara kubwa ya mali na maisha ili kuondoa threat hiyo.
 
hiyo ni kweli, hapa ni expansionism na mipango ya miaka mia ijayo, hakuna udini wala nini, ni swala la kiuchumi na mambo yake mengine ya kando.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…