US dhaifu kwa Huawei: wanapanga zuio lianze baada ya miaka 2

US dhaifu kwa Huawei: wanapanga zuio lianze baada ya miaka 2

Miki123

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2018
Posts
289
Reaction score
505
Mwenzi mmoja umepita baada ya trump kuweka zuio la kukurupuka kwa huawei.

Sasa mambo yameanza kuwa sio mambo baada ya ofisi ya white house inayohusiana na mipango ya bajeti kuomba muda wa zuio uanze kufanya kazi baada ya miaka miwili.

Ewe mmarekani mweusi unaishi tanzania OMB wameomba iwe hivyo kwa sababu zifuatazo.

Kuna makampuni ya mawasiliano yanayotumia vifaa vya huawei na yanatoa huduma vijijini.

Zuio litaathiri baadhi ya contractors na sehemu kubwa.

Kuona hilo mr Russel (mkuu wa ofisi) akatumbua Donald Trump kakurupuka kwa kuchukua maamuzi ambayo hakuyafanyia hesabu.

Russel ameamua kuandika barua kwa makamu wa raisi wa US kuhusu hilo ombi.

Kichekesho, Kumbe Trump ana sababu ya msingi kwenye zuio la huawei.

Yaani kuhusu spying na porojo zingine hamna kitu.

Pamoja na kuongeza kodi kwa bidhaa za china imebidi atumie Huawei ili kuilazimisha china ifanye mazungumzo na us.

US chini ya trump ni dhaifu kuliko nyakati zozote.

Kwenye link wamelezea kwa kina kuhusu hili.

 
Sasa unataka kunyima uhuru wa watu!? Kila mtu yupo huru kuchangia anachoona kinamfaa.
Jaribu kunisoma vizuri!!! Wapi nimewanyima Uhuru wenu?!?

Me nimetoa mshangao wangu juu yenu na nikatoa conclusion ya kuwa ni upambavu kama kabudi au kukosa kazi ya kufanya!
 
Naipenda Marekani kwa sababu kuna ndugu zetu Waafrika wengi sana kuliko nchi yoyote duniani hata Tanzania hakuna Pure black wengi kama America .

Marekani likipigwa Bomu la Nyuklia toka Korea ndugu zetu wataangamia.

Marekani kuna waafrika wengi wanatawala na wanajihusisha kwenye siasa na Mpaka Kushika Urais.
Mungu atupe rafiki gani zaidi ya Marekani kama mtu mwenye asili ya Afrika Mashariki alipata urais wa Taifa hilo na Bibi yake akawa analindwa na FBI kule kijijini kwa Wajaluo.


China hata wakidondokewa na Jua likawaunguza wote hawatuhusu na hakuna Mtanzania aliyewahi kuoa Mchina na kuishi China.
Hakuna Waafrika wanaoishi China kama kwao na kumiliki uchumi na kujihusisha na Siasa au utawala.
Hatuna Muingiliano wowote na China zaidi ya siasa za chuki na za kikatili za CCM. Siasa za ubaguzi ,ukoloni ,utapeli,wizi, propaganda,chuki dhidi ya Demokrasia, siasa za watawala kumiliki nchi na kujitajirisha na familia zao kupitia mapato ya nchi kwa kujiwekea mishahara mikubwa peke yao kupitia umiliki wa bunge, wizi wa kura ,kudhoofisha vyama mbadala kwa kutumia fedha wanazokwapua kwenye makampuni ya umma, kuingia mikataba mufilisi kama ule wa star times kwa malengo ya kuua tv huru.

Wana CCM kama kawaida yao ni watu wanaochukia Waafrika wenzao wanapofanikiwa.
Marekani ikifanikiwa ni Black Americans wamefanikiwa mana wao ndio watalaoimiliki America muda sio mrefu na Amerika itakua ni sehemu ya Afrika kama ilivyo Madagascar.

Jeshi la China halina Mwafrika hata wa dawa. Hakuna Mwafrika Mwanajeshi kule China hata wa kuweka Target ya kulengea risasi. Unategemea ikitokea vita ya Tatu ya Dunia muafrika apone mbele ya Mchina?
Waafrika sijui nani katuloga hasa vyama vinavyotawala Afrika ndivyo vinavyotuuza karne hii tukiwa kwenye Uhuru waliouua punde tu baada ya kuupata toka kwa wazungu.

Marekani kuna mpaka Mawaziri ,majenerali Wajeshi ,CIA,FBI ,uhamiaji n.k ambao ni waafrika wenzetu mpaka watanzania wapo.
........Sasa mtu anayeitukuza China simtofaitishi na mshirikina anayesifia waganga wa kienyeji lakini ukimuuliza Mbona hapeleki mke wake au mume wake au Mtoto wake kusomea uganga wa Kienyeji anabaki kubwabwaja kama zuzu.

Siwezi kuwa mnafiki wa kuipenda China kwa sababu tu CCM imeingiza nchi kwenye janga la kuitana maadui na wasaliti bila kutafakari.
Waafrika badala ya kujenga moyo wa kuzipenda nchi zetu wenyewe tunajenga moyo wa kupenda Chama .Leo hii Afrika mpaka vyombo vya dola haviwajali wananchi vinajali Chama tawala tuu kwa sababu ya kujali vyeo na maslahi binafsi.

Tumeona Watu wanaingia kwenye chumba cha kupigia kura na kubeba masanduku ya kura mbele ya polisi na kwenda kuweka kura bandia na kurudisha bila kukamatwa kisa ni vijana wa Chama Tawala. Huo udhalimu ndio China wanaoufurahia na maswahiba zao ndio maana wanaonekana ni rafiki ili hali ni wezi wapya wanaoliibia bara letu kwa kushirikiana na watawala madikteta ili washike uchumi wa dunia kwa malengo yao.
 
Naipenda Marekani kwa sababu kuna ndugu zetu Waafrika wengi sana kuliko nchi yoyote duniani hata Tanzania hakuna Pure black wengi kama America .

Marekani likipigwa Bomu la Nyuklia toka Korea ndugu zetu wataangamia.

Marekani kuna waafrika wengi wanatawala na wanajihusisha kwenye siasa na Mpaka Kushika Urais.
Mungu atupe rafiki gani zaidi ya Marekani kama mtu mwenye asili ya Afrika Mashariki alipata urais wa Taifa hilo na Bibi yake akawa analindwa na FBI kule kijijini kwa Wajaluo.


China hata wakidondokewa na Jua likawaunguza wote hawatuhusu na hakuna Mtanzania aliyewahi kuoa Mchina na kuishi China.
Hakuna Waafrika wanaoishi China kama kwao na kumiliki uchumi na kujihusisha na Siasa au utawala.
Hatuna Muingiliano wowote na China zaidi ya siasa za chuki na za kikatili za CCM. Siasa za ubaguzi ,ukoloni ,utapeli,wizi, propaganda,chuki dhidi ya Demokrasia, siasa za watawala kumiliki nchi na kujitajirisha na familia zao kupitia mapato ya nchi kwa kujiwekea mishahara mikubwa peke yao kupitia umiliki wa bunge, wizi wa kura ,kudhoofisha vyama mbadala kwa kutumia fedha wanazokwapua kwenye makampuni ya umma, kuingia mikataba mufilisi kama ule wa star times kwa malengo ya kuua tv huru.

Wana CCM kama kawaida yao ni watu wanaochukia Waafrika wenzao wanapofanikiwa.
Marekani ikifanikiwa ni Black Americans wamefanikiwa mana wao ndio watalaoimiliki America muda sio mrefu na Amerika itakua ni sehemu ya Afrika kama ilivyo Madagascar.

Jeshi la China halina Mwafrika hata wa dawa. Hakuna Mwafrika Mwanajeshi kule China hata wa kuweka Target ya kulengea risasi. Unategemea ikitokea vita ya Tatu ya Dunia muafrika apone mbele ya Mchina?
Waafrika sijui nani katuloga hasa vyama vinavyotawala Afrika ndivyo vinavyotuuza karne hii tukiwa kwenye Uhuru waliouua punde tu baada ya kuupata toka kwa wazungu.

Marekani kuna mpaka Mawaziri ,majenerali Wajeshi ,CIA,FBI ,uhamiaji n.k ambao ni waafrika wenzetu mpaka watanzania wapo.
........Sasa mtu anayeitukuza China simtofaitishi na mshirikina anayesifia waganga wa kienyeji lakini ukimuuliza Mbona hapeleki mke wake au mume wake au Mtoto wake kusomea uganga wa Kienyeji anabaki kubwabwaja kama zuzu.

Siwezi kuwa mnafiki wa kuipenda China kwa sababu tu CCM imeingiza nchi kwenye janga la kuitana maadui na wasaliti bila kutafakari.
Waafrika badala ya kujenga moyo wa kuzipenda nchi zetu wenyewe tunajenga moyo wa kupenda Chama .Leo hii Afrika mpaka vyombo vya dola haviwajali wananchi vinajali Chama tawala tuu kwa sababu ya kujali vyeo na maslahi binafsi.

Tumeona Watu wanaingia kwenye chumba cha kupigia kura na kubeba masanduku ya kura mbele ya polisi na kwenda kuweka kura bandia na kurudisha bila kukamatwa kisa ni vijana wa Chama Tawala. Huo udhalimu ndio China wanaoufurahia na maswahiba zao ndio maana wanaonekana ni rafiki ili hali ni wezi wapya wanaoliibia bara letu kwa kushirikiana na watawala madikteta ili washike uchumi wa dunia kwa malengo yao.
Ni ukweli mtupu
 
Naona mnashinda mitandaoni kutafuta habari za kuwafariji nyie pro China
Huawei ships 1 million devices with its HongMeng OS
11 June 2019
Huawei has managed to ship 1 million smartphones with its own OS, called HongMeng, sources reported. According to the firm Rosenblatt Securities, the devices were being prepared for testing, without clarifying if they are actual market-available phones or development products. The report revealed the in-house software is compatible with all Android applications and has “increased security functions to protect personal data”.
Although the United States delayed the ban on trades with Huawei with 90 days from May 20, the Shenzhen-based manufacturer has no plans to wait for a resolution and is already pushing its OS that has been in the pipeline for several years. Huawei Central, a website reporting mostly news from the technology giant, said that the “HongMeng” trademark is already being acquired at multiple markets, like Canada, Europe, South Korea and Mexico.
 
Tatizo china muhni nakumbuka skendo yake ya jengo la AU kule ethiopia la sever zake kutuma majadiliano ya vikao vya viongoz wa afrika china kila siku
 
Huawei ships 1 million devices with its HongMeng OS
11 June 2019
Huawei has managed to ship 1 million smartphones with its own OS, called HongMeng, sources reported. According to the firm Rosenblatt Securities, the devices were being prepared for testing, without clarifying if they are actual market-available phones or development products. The report revealed the in-house software is compatible with all Android applications and has “increased security functions to protect personal data”.
Although the United States delayed the ban on trades with Huawei with 90 days from May 20, the Shenzhen-based manufacturer has no plans to wait for a resolution and is already pushing its OS that has been in the pipeline for several years. Huawei Central, a website reporting mostly news from the technology giant, said that the “HongMeng” trademark is already being acquired at multiple markets, like Canada, Europe, South Korea and Mexico.
Mkuu hebu tuonyeshe hiyo model ya huawei yenye hiyo HongMeng OS.
 
Pro china bana, mnalala mnaota tu na mikopo yenu ya Huawei. Hakuna extenaion ya kutumia hayo makopo. Mr Tarrif Trump hana masihala.
 
Ule muda tulisema utaongea naona umeanza kuongea,.Haya wamarekani wa kwa Mtogole mkuje huku.
 
Back
Top Bottom