Smart boy Shewedy
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 3,730
- 3,526
Mtaongea hivyo hivyo miaka yote, lakini hamta rusha hata jiwe pale NkNajua wengi tunaleta ushabik tuu, ila wana US ni watu wenye akili mno, mission zao huwa zina akili sana, kiduku atakuja chezea kichapo npaka dunia itashangaa
[emoji23]Mtaongea hivyo hivyo miaka yote, lakini hamta rusha hata jiwe pale Nk
Haa haa we jamaa utavunja mbavu zangu ila kiduku asiwategemee sana hao Russia na China by the way naamini kiduku anazo silaha za kisasa kutoka Russia na China ila hawezi weka hadharani.Unamfahamu huyu jamaa???
Bush kaharibu sana lakini hajawahi kudhubutu kuisongelea N.Korea hujawahi kujiuliza ni kwanini??
Hii week haita isha N.Korea atatest bomu la nuclear la masafa marefu..... Na huu ndiyo mda wa kurusha kombora kisiwa cha Guam, halafu tuone Trump ata react vipi....
Trump anacho ofia ni jeshi lake limejaa mashoga wakienda vitani hawata rudi wataolewa na wanaume wa N.Korea....
China hata mwacha Mpwa wake ateketee, atamsaidia kwa kila hali.Haa haa we jamaa utavunja mbavu zangu ila kiduku asiwategemee sana hao Russia na China by the way naamini kiduku anazo silaha za kisasa kutoka Russia na China ila hawezi weka hadharani.
Pia jiulize hao wanajeshi wa China walikua wangapi ukilinganisha na wa Marekani?!Hujui Kiswahili ama? Mbona ulichoandika kinaendana na nilichosema. US ilikuwa imeshaichukua NK lakini CHINA wakaja kuwasaidia na kuwarudisha nyuma, kwa maneno mengine waliwachapa hadi kwenye huyo mpaka DMZ au unadhani walirudi bila kichapo? Na kwa taarifa yako NK ni nchi pekee yenye mkataba na CHINA wakusaidiana pale mmoja wa atakapoingiliwa na adui.
Hahahahahaha.... Fundi kaishiwa pozi baada ya kuona tumeruka kwenye pwani yao huku bwana kinguruwe akituangalia tu[emoji106] [emoji122] [emoji122]
Mkuu vipi, naona kama vile lugha imeanza kubadilika hivi...lol!
Hiyo inajulikana mkuu, unadhani Marekani halijui hilo. Ila Russia hawez kuingia mazima NK eti apigane na Marekani. Msikilize vizuri Putin hotuba zake kuhusu vita na Marekani, alishasema vita vya Russia na Marekani ni maangamizi kwa pande zote mbili. Japokua hawa wawili wamekua wakipigana kwa kuviziana kama vile kutumia magaidi, washirika, nkRussia lazma umpe sapot Nk
Hata ya kiwiz wiz
Hakuna kitu hapo NK wa zama hizo sio wa zama zile,zama zimebadilika,huyu wa sasa ana nukes,hydro bombs,biological na UCBM na huko top ten ya dunia katika uimara wa jeshi,kama Vietnam iliwashinda waoneeni waarabu otherwise endeleeni kutweet na huyo ngurue wenu mzee.Hamfikirii pamoja na vikwazo vyote tunasonga mbelePia jiulize hao wanajeshi wa China walikua wangapi ukilinganisha na wa Marekani?!
Na hapo ndo waliishia pale DMZ wakati US alianzisha kichapo tangu vijijini huko South korea wakaja Seoul wakakamata Pyongyang mpaka vijijini huko kichapo kilitembezwa. Cheza na US wewe
Nani kakwambia NK yupo top ten kwa ubora wa kijeshi?!Hakuna kitu hapo NK wa zama hizo sio wa zama zile,zama zimebadilika,huyu wa sasa ana nukes,hydro bombs,biological na UCBM na huko top ten ya dunia katika uimara wa jeshi,kama Vietnam iliwashinda waoneeni waarabu otherwise endeleeni kutweet na huyo ngurue wenu mzee.Hamfikirii pamoja na vikwazo vyote tunasonga mbele
Wamarekani wenyewe wanamuelewa kiduku kuwa mtu Wa matendo.[emoji23]
[emoji23] au wapeleke zile jahazi zao zikiwa locked and loaded!! waone zitakavyo fumuliwa bila kufuata utaratibu!
Hakuna kitu hapo NK wa zama hizo sio wa zama zile,zama zimebadilika,huyu wa sasa ana nukes,hydro bombs,biological na UCBM na huko top ten ya dunia katika uimara wa jeshi,kama Vietnam iliwashinda waoneeni waarabu otherwise endeleeni kutweet na huyo ngurue wenu mzee.Hamfikirii pamoja na vikwazo vyote tunasonga mbele
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Ukiona mwanamke anapita anatingisha chura ujue bado hajafanywa!
Huyo unae msifia kuwa mwenye mitambo ya kuzuia ICBMs, alishawahi kuzuia ICBMs ngapi...?Nani kakwambia NK yupo top ten kwa ubora wa kijeshi?!
Na akina India,Pakistan, UK, German, France wawe namba ngapi?!
Kama Marekani iliingia Pakistan na kujam rada zao na kumuua Osama bila Pakistan kujua sembuse NK. Then fananisha Pakistan na nk nadhan jibu unalo.
Hizo ICBM Marekani anayo mitambo ya kuzitungua kabla hata hazijafika hata Guam, jiulize NK ana mitambo ya kuzuia ICBMs za Marekani?!
Hhahahaha..Endelea na ushabiki maandazi.Pia jiulize hao wanajeshi wa China walikua wangapi ukilinganisha na wa Marekani?!
Na hapo ndo waliishia pale DMZ wakati US alianzisha kichapo tangu vijijini huko South korea wakaja Seoul wakakamata Pyongyang mpaka vijijini huko kichapo kilitembezwa. Cheza na US wewe
Asante mkuu. Ubarikiwe.Hhahahaha..Endelea na ushabiki maandazi.
U.S. yupo hoi kila aki plan anakuta yupo kwenye target !!
Nina kuhakikishia hazikuingia ndani ya eneo la north zingekuwa majivu !!
Mtaongea hivyo hivyo miaka yote, lakini hamta rusha hata jiwe pale Nk
Hahahahahaha.... Fundi kaishiwa pozi baada ya kuona tumeruka kwenye pwani yao huku bwana kinguruwe akituangalia tu
Wakati yanapita nasikia fundi25 alikua kashakimbilia shimoni akidhani babu yetu kashaliamsha dude