Walituuzia mashine,,,spea wakagoma kutuuzia,,,,,viwanda vikafa!!!Africa tujifunze kujitegemea, tuna kila kitu .. ila bado akili zimeshikwa
Walituuzia mashine,,,spea wakagoma kutuuzia,,,,,viwanda vikafa!!!Africa tujifunze kujitegemea, tuna kila kitu .. ila bado akili zimeshikwa
Njaa ikiwa kali akili itatukaa sawaHapo ndo tunapofeli big time.....sijui tutajifunza lini aisee.....
Unafikiri vitumbua vya Bibi hivi?Hainunuliwi inachukuliwa kwa uwezo tu mambo yanabadirika..
wapi nimesema nafikiri ni vitumbua vya bibi ?Unafikiri vitumbua vya Bibi hivi?
Sasa unachukuaje kitu sio chako? Huoni kama ni mawazo ya kipuuzi hayo? Walau vitumbua vya bibi yako unaweza kukwapua na bibi asikufanye kitu!!wapi nimesema nafikiri ni vitumbua vya bibi ?
Marekani anapochukua vya watu huwa ni vyake ?Sasa unachukuaje kitu sio chako? Huoni kama ni mawazo ya kipuuzi hayo? Walau vitumbua vya bibi yako unaweza kukwapua na bibi asikufanye kitu!!
Russia aliuza Alaska Period.Marekani anapochukua vya watu huwa ni vyake ?
Ficha basi hako ka ugoro cha upumbavu?Marekani anapochukua vya watu huwa ni vyake ?
Wewe utakuwa msikule🤣🤣Mifumo ya ulinzi wa angani naona ili lala huu ni muda wa kulichukua eneo letu la alska hakuna watu waoga vitani kama wa Marekani si ajabu wameanza kukimbia eneo hilo
Ndio aliuza, na anairudisha Period.Russia aliuza Alaska Period.
Alaska lazima irudi Russia kama tubavyo itwaa tena Ukraine, na wakile fyoko fyoko tubaibeba na Poland pamoja na FinlandMifumo ya ulinzi wa angani naona ili lala huu ni muda wa kulichukua eneo letu la alska hakuna watu waoga vitani kama wa Marekani si ajabu wameanza kukimbia eneo hilo
Pesa tulikula na tutalichukua kwa nguvu US hana ubavu wowote wa kuizuia Russia, US raia wake wengi mpaka Wanajeshi wameshafumiliwa sildi hawana maamuzi ya kiumeEti nini? Kwamba Russia avamie Alaska? Aliuza mwenyewe saivi anataka kupeleka makalio yake kwa wanaume wanafikiri ni Crimea hiyo hahahaah
Sawa Putin nenden mkaichukuePesa tulikula na tutalichukua kwa nguvu US hana ubavu wowote wa kuizuia Russia, Raia wake wengi mpaka Wanajeshi ni wameshafumiliwa silidi
Kipimo Cha akili ni matatizo wakipigana wakaacha kutupa.misaada lazima tutajitegemeaMda ndo huu tujifunze
Hakuna wa kumgusa Putin tunapitisha ndege zetu marekani na hamna la kufanya.Putin amechoka kuishi, lkn asijali atapewa anacho stahili, ameshatengewa bajeti yake