Urusi siyo nchi ya mchezo mchezo

Urusi siyo nchi ya mchezo mchezo

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,902
Reaction score
9,323
MACE XIII

Haya yalikua ni mazoezi ya kivita yaliyofanywa na NATO 16-23/4/2012 maalum kwa ajili ya kujifunza ni jinsi gani wanaweza kupambana na kuishinda mitambo ya ulinzi wa anga wa Urusi na nchi nyingine zenye mitambo ya ulinzi wa anga iliyotengenezwa nchini Urusi na Soviet ya zamani.

Mazoezi hayo yalifanyika nchini Slovakia katika uwanja wa ndege wa Sliac na maeneo yanayozunguka uwanja huo na yalikua ni mazoezi yaliyofanywa rasmi kupambana na mitambo ya S-300PMU-1 yanayomilikiwa na jeshi la anga Slovakia moja kati ya nchi za NATO zinazotumia siraha za kirusi.

Ndege zilizotumika katika oparesheni hii zilikua ni

**Ndege inayotoa taarifa za mapema juu ya hali ya anga(AWACS) ya Amerika aina ya E-3

**Ndege inayotumika kujam mitambo ya ulinzi wa anga ya adui aina ya E/F-18 ya Spain

**Ndege zinazotumika kwa mapambano ya angani na ardhini aina ya F-16 kutoka Denmark,
Mirage 2000 na Rafale D kutoka Ufaransa, DA-20 ya Norway, LAARJET-40 kutoka Ujerumani, F-4 ya Uturuki na MIG-20 na L-39(Albatros) za Slovakia.

Kilichafanyika katika mazoezi hayo ilikua ni kuingilia mawasiliano na kujam mitambo ya S-300 ili iwe rahisi kuishambulia mitambo hiyo bila yenyewe kuweza kujibu mashamulizi.

NATO walichokigundua ni kua pamoja na kua na ndege za kisasa zinazoweza kujam mawasiliano ya mitambo hiyo bado mitambo hiyo iliweza kuendelea kutrack ndege zote zilizohusika kwenye oparesheni hiyo na kama ingekua ni vita halisi basi mitambo hiyo bado ingeweza kushambulia na kuziharibu ndege za adui.

Pia NATO waligundua kua ikiwa mitambo hiyo inapata maopareta wenye ujuzi wa kutosha na ikatengenezwa network nzuri za hii mitambo inauwezo wa kulinda anga kwa zaidi ya asilimia 80

Swali la kujiuliza kwa watu wa NATO ni je kama walishindwa kuijam S-300PMU-1 ambayo ni version ya kuuza nje ya nchi itakua vipi wakipambana na S-300V ambayo ni version iliyoboreshwa zaidi kwa ajili ya jeshi la Urusi na mtambo wa kisasa zaidi wa S-400 na Pantsir-S1.

Nawakumbusha tena Amerika kua kama hawatatuliza vichwa wakajidanganya kuivamia Urusi, vita hii haitakua rahisi kwao
7678f577ceb457377c6b72a6beabe325.jpg
 
MACE XIII

Haya yalikua ni mazoezi ya kivita yaliyofanywa na NATO 16-23/4/2012 maalum kwa ajili ya kujifunza ni jinsi gani wanaweza kupambana na kuishinda mitambo ya ulinzi wa anga wa Urusi na nchi nyingine zenye mitambo ya ulinzi wa anga iliyotengenezwa nchini Urusi na Soviet ya zamani
Mazoezi hayo yalifanyika nchini Slovakia katika uwanja wa ndege wa Sliac na maeneo yanayozunguka uwanja huo na yalikua ni mazoezi yaliyofanywa rasmi kupambana na mitambo ya S-300PMU-1 yanayomilikiwa na jeshi la anga Slovakia moja kati ya nchi za NATO zinazotumia siraha za kirusi.
Ndege zilizotumika katika oparesheni hii zilikua ni
**Ndege inayotoa taarifa za mapema juu ya hali ya anga(AWACS) ya Amerika aina ya E-3
**Ndege inayotumika kujam mitambo ya ulinzi wa anga ya adui aina ya E/F-18 ya Spain
**Ndege zinazotumika kwa mapambano ya angani na ardhini aina ya F-16 kutoka Denmark, Mirage 2000 na Rafale D kutoka Ufaransa, DA-20 ya Norway, LAARJET-40 kutoka Ujerumani, F-4 ya Uturuki na MIG-20 na L-39(Albatros) za Slovakia
Kilichafanyika katika mazoezi hayo ilikua ni kuingilia mawasiliano na kujam mitambo ya S-300 ili iwe rahisi kuishambulia mitambo hiyo bila yenyewe kuweza kujibu mashamulizi.. NATO walichokigundua ni kua pamoja na kua na ndege za kisasa zinazoweza kujam mawasiliano ya mitambo hiyo bado mitambo hiyo iliweza kuendelea kutrack ndege zote zilizohusika kwenye oparesheni hiyo na kama ingekua ni vita halisi basi mitambo hiyo bado ingeweza kushambulia na kuziharibu ndege za adui
Pia NATO waligundua kua ikiwa mitambo hiyo inapata maopareta wenye ujuzi wa kutosha na ikatengenezwa network nzuri za hii mitambo inauwezo wa kulinda anga kwa zaidi ya asilimia 80

Swali la kujiuliza kwa watu wa NATO ni je kama walishindwa kuijam S-300PMU-1 ambayo ni version ya kuuza nje ya nchi itakua vipi wakipambana na S-300V ambayo ni version iliyoboreshwa zaidi kwa ajili ya jeshi la Urusi na mtambo wa kisasa zaidi wa S-400 na Pantsir-S1..

Nawakumbusha tena Amerika kua kama hawatatuliza vichwa wakajidanganya kuivamia Urusi, vita hii haitakua rahisi kwao
7678f577ceb457377c6b72a6beabe325.jpg
Naamini Wamarekani watarudi kwa Siri ili waombe kuichunguza kwa nia ya kuikopy na kufanya reverse engineering na pia kurekebisha ndege Zao ili ziweze kupenya S300 .Aaa ha ha ha. Lol! Nchi ya NATO.Wakati kuna S400 na S500 inakuja.
 
Naamini Wamarekani watarudi kwa Siri ili waombe kuichunguza kwa nia ya kuikopy na kufanya reverse engineering na pia kurekebisha ndege Zao ili ziweze kupenya S300 .Aaa ha ha ha. Lol! Nchi ya NATO.Wakati kuna S400 na S500 inakuja.
Warudi wapi Mkuu, ni Nani atakaye waruhusu kupewa idhini ya kukopi....??

Yani hiyo kitu Air defense System hutoipata sehemu yeyote ile ktk hii Dunia zaidi ya Urusi na hapa Bongo kwa Mkulu Ngosha ili kutumbulia vijipu.

 
wabongo mbona ma s-3000 ya kujilinda sisi as Tanzania huyatangazi Ila unajua ya urusi utakuwa mrushi wa kimakonde au mrusi wa kisukuma wewe si bure
 
MACE XIII

Haya yalikua ni mazoezi ya kivita yaliyofanywa na NATO 16-23/4/2012 maalum kwa ajili ya kujifunza ni jinsi gani wanaweza kupambana na kuishinda mitambo ya ulinzi wa anga wa Urusi na nchi nyingine zenye mitambo ya ulinzi wa anga iliyotengenezwa nchini Urusi na Soviet ya zamani.

Mazoezi hayo yalifanyika nchini Slovakia katika uwanja wa ndege wa Sliac na maeneo yanayozunguka uwanja huo na yalikua ni mazoezi yaliyofanywa rasmi kupambana na mitambo ya S-300PMU-1 yanayomilikiwa na jeshi la anga Slovakia moja kati ya nchi za NATO zinazotumia siraha za kirusi.

Ndege zilizotumika katika oparesheni hii zilikua ni

**Ndege inayotoa taarifa za mapema juu ya hali ya anga(AWACS) ya Amerika aina ya E-3

**Ndege inayotumika kujam mitambo ya ulinzi wa anga ya adui aina ya E/F-18 ya Spain

**Ndege zinazotumika kwa mapambano ya angani na ardhini aina ya F-16 kutoka Denmark,
Mirage 2000 na Rafale D kutoka Ufaransa, DA-20 ya Norway, LAARJET-40 kutoka Ujerumani, F-4 ya Uturuki na MIG-20 na L-39(Albatros) za Slovakia.

Kilichafanyika katika mazoezi hayo ilikua ni kuingilia mawasiliano na kujam mitambo ya S-300 ili iwe rahisi kuishambulia mitambo hiyo bila yenyewe kuweza kujibu mashamulizi.

NATO walichokigundua ni kua pamoja na kua na ndege za kisasa zinazoweza kujam mawasiliano ya mitambo hiyo bado mitambo hiyo iliweza kuendelea kutrack ndege zote zilizohusika kwenye oparesheni hiyo na kama ingekua ni vita halisi basi mitambo hiyo bado ingeweza kushambulia na kuziharibu ndege za adui.

Pia NATO waligundua kua ikiwa mitambo hiyo inapata maopareta wenye ujuzi wa kutosha na ikatengenezwa network nzuri za hii mitambo inauwezo wa kulinda anga kwa zaidi ya asilimia 80

Swali la kujiuliza kwa watu wa NATO ni je kama walishindwa kuijam S-300PMU-1 ambayo ni version ya kuuza nje ya nchi itakua vipi wakipambana na S-300V ambayo ni version iliyoboreshwa zaidi kwa ajili ya jeshi la Urusi na mtambo wa kisasa zaidi wa S-400 na Pantsir-S1.

Nawakumbusha tena Amerika kua kama hawatatuliza vichwa wakajidanganya kuivamia Urusi, vita hii haitakua rahisi kwao
7678f577ceb457377c6b72a6beabe325.jpg
kinachoniogopesha ni pale putin atakpotoka madarakani maana rais wa kwanza alifanya hvi akaja wa pili akaiuza urusi kwa marekani swali ni kwamba huyo atakaye kuja atauweza huu mzikiii
 
kinachoniogopesha ni pale putin atakpotoka madarakani maana rais wa kwanza alifanya hvi akaja wa pili akaiuza urusi kwa marekani swali ni kwamba huyo atakaye kuja atauweza huu mzikiii
Hilo ni swali fikirishi sana. Ingawa Russia wamejifunza sana kutoka kwenye kile alichokifanya Mikail Goberchov.
Kuonekana kuwa wamejifunza vya kutosha ndiyo maana alipoingia yule rais (Boris Yelsin) ambaye kila akipona kutoka kuumwa alikua lazima amfute kazi waziri mkuu amabaye angekuwepo madarakani kipindi anapona. Lakini tangu alipokuja kumteua Putin ikashindikana kabisa kufanya atakavyo, hapo ni dhahiri system yao ilikuja kuimarika na matokeo yake ikamlazimisha ajiuzuru na kumpisha Putin.
 
Hyo S300 Israel mwenyewe anaiweza sembuse US... wameanza kuifanyia mazoez tangu 2006 sio Jana wala juz... Angalia hpo chini jenerali wa Urusi anaeleza kwamba ukishjua tyu system inafanye kaz ni rahisi kuiharibu coz wewe unakua unacheza na Frequencies zake tyu badala ya rada kuona target moja inaona mbili, kumi ht 20 km ukitaka
 

Attachments

  • Screenshot_2016-11-02-20-44-42.png
    Screenshot_2016-11-02-20-44-42.png
    108.7 KB · Views: 86
  • PhotoGrid_1478108786985.jpg
    PhotoGrid_1478108786985.jpg
    95.2 KB · Views: 69
  • Screenshot_2016-11-02-20-47-07.png
    Screenshot_2016-11-02-20-47-07.png
    107.8 KB · Views: 83
kinachoniogopesha ni pale putin atakpotoka madarakani maana rais wa kwanza alifanya hvi akaja wa pili akaiuza urusi kwa marekani swali ni kwamba huyo atakaye kuja atauweza huu mzikiii
Niwazalo Mimi nawe kumbe unalo...! Kumpata wa ku-maintain ubaba huu ni ngumu sana! Shikamoo Rafiki yangu Putin!
 
Hyo S300 Israel mwenyewe anaiweza sembuse US... wameanza kuifanyia mazoez tangu 2006 sio Jana wala juz... Angalia hpo chini jenerali wa Urusi anaeleza kwamba ukishjua tyu system inafanye kaz ni rahisi kuiharibu coz wewe unakua unacheza na Frequencies zake tyu badala ya rada kuona target moja inaona mbili, kumi ht 20 km ukitaka

Waisraeli wameiwezaje mkuu?
 
Niwazalo Mimi nawe kumbe unalo...! Kumpata wa ku-maintain ubaba huu ni ngumu sana! Shikamoo Rafiki yangu Putin!
Hiyo ishu kwa kweli ni ngumu mno kuaminika kwa mrithi wa Vladimir Putin kwenye kiti hicho cha moto cha Urais wa Ulimwengu.

Nazani wenzetu wameshaona makosa yao hapo nyuma na kujifunza kutokana na uongozi wa Jemedari Putin.

Ila nazani yupo anaandaliwa japo hajulikani kwa mda huu, hapo lazima Putin ahusike kwenye mpango huo.

Sababu mtu kama Putin hayupo tayari kuona Nchi yake ikiwa lelemama au ikiuzwa na kumlishwa kufanya mambo ikiwa Wao kama Taifa Wana uhuru wa kujiamulia.

Huyu Jamaa ni mzalendo kwelikweli ktk Nchi yake
 
Binadamu tuna roho mbaya sana haya madude Katengenezewa binadam
Kuna ile inaitwa satan-2 inasemekana bomu hili linaweza kuifuta texas kwenye uso wa dunia kwa dakika tu,jina lenyewe tu mhhhh,dunia haiko salama kabisa
 
Back
Top Bottom