taamu
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 10,158
- 8,046
Lengo so kumtoa Assad haya kamtoeni.huko tu kudungua ndege ya urussi ni kuonesha uwezo na shabaha.Aa WAP waishangaze dunia WAP na Lin wao kila siku maneno wakati mwenzao nyetanyau anafanya kweli
Lengo so kumtoa Assad haya kamtoeni.huko tu kudungua ndege ya urussi ni kuonesha uwezo na shabaha.Aa WAP waishangaze dunia WAP na Lin wao kila siku maneno wakati mwenzao nyetanyau anafanya kweli
Kutumia dege la taifa kama Russia kama ngao katika mazingira hatarishi kama yale na ukafanikisha malengo yako huku ukimvuruga adui ni akili ya ajabu sana.
Hao marubani wa kizayuni kwa hakika wanastahili medani ya juu kabisa katika mambo ya kivita. Wameliletea taifa lao heshima kubwa sana; maayatollah kule Tehran wanachungulia na kusepa na vipedo vyao maana hawaamini kilichotokea.
Acha ushabiki. Toka 1948 Israel ingeshaondolewa katia ramani ya Dunia. Wale jamaa uwezo wao sio was kitoto hats mataifa makubwa yanaujua ndio maana bado wanapetaZile siraha s 400 huwezi tumia sehem kama syria maana ukiziwasha tu basi israel hawezi operate ndege zake maana rada zinaweza kushika hadi ndani ya nchi hiyo kwahiyo ndo mana tunaona israel anarusha tu vindege vyake nje na ndani ya israel.
Wairain waa Tanzania hanajua haya basis, wao in kukurupuka tuHapa mnaitumia vibaya concept hiyo. Hakuna Nchi inasacrifice wanajeshi wake kwenye open combat war. Skia, kama ingekuwa covert operation ingekuwa sawa. Halafu isitoshe hiyo ndege sio combat plane, hivyo inaonekana kirahisi sana kwenye rada. We jiulize kwamba marubani wake hawakuziona ndege za Israeli zikiwafuata?
Kilichotokea ni kwamba Russia na Syria walizidiwa war zone tactics, mengine tuendelee tu kujifariji kwamba sijui blabla nini nini sijui.
Hiv yale machumachuma yenu s200, s300, s400 bado yapo Syria?
Raha iko api apo??Vitukuu vya Daudi vimeliganda dege la kirusi kwa nyuma waka ambaa nalo wakapiga then wakasepa huku mdege wenyewe ukitunguliwa. Dah! ha ha ha; inaleta raha sana kwa kweli.
Wayahudi billion..7ambao wanalindwa na kusapotiwa katika kila nyanja uchumi kisiasa na US+EUROPE+NATO.Nyinyi huwa mnaneno mengi sana lakin so chochote mko waoga kama kuku mko zaid ya billion lakin mnawaogopa wayahud million saba
Tangu lini F_16 ZIKAWA na stealth technology??Heshima yako mkuu, Unajua kwamba radder can be fooled by stealth technology? Hiki ndicho Israel wanakitumia lakini usisahau wao akili inatangulia halafu tekinolojia inafuata. Wakati Mrusi na Mmarekani tekinolojia inatangulia akili za jeshi. Matokeo yake huwa wanafeli.
Alipwe fidia na Assad si ndio mkuuMrusi hawezi kujibu ila atalipwa fidia na maisha yasonge kwani wayahudi wamejaa urusi na ni dugu moja
Namkubali Putin ila kwa hapo azike tu
Hilo nalo neno maana Assad ndio mshiriki mkuu wa mauwajiAlipwe fidia na Assad si ndio mkuu
Unfortunately, Joseph Stallin is no more and if unless he is there is when the Russians can respond then it means the Israelis will continue to have field day in Syria.Kelele nyiingi za nini?Kwanini urusi asijibu mapigo kibabe tu.
Siku hizi putin amekua mchumba tu ingekua enzi za kina Stallin pangewaka moto muda huu
Una uhakika kabisa kabisa kuwa mpaka ndege inalipuliwa Russia akishirikiana na Syria walikuwa vitani dhidi ya Israel?? Ama umejisahau katika utumiaji sahihi wa maneno ya kivita?Russia na Syria walizidiwa war zone tactics,
Uko sahihi mkuu,nyuma ya pazia Mrusi anaendlea kupata tenda ya silaha kwa Syria. Na upande wa pili Marekani na Israel yeye anawauzia waasi silaha so biashara inaendelea. Hawa watu siyo wagomvi. HAKUNA KAMWE bepari anayeweza kuingia ktk vita ambavyo havina manufaa ya kiuchumi kwake. Ni wasioelewa ndio wanadhani Urusi inaisaidia Syria.Hakuna cha jibu Kali .Hao wanajuana sana.Note my words.Hapo waliofanywa zuba ni hao waarabu wako wa Syria na Waajemi.Mashambulizi yote ya Israel nchini Syria ,Urusi imeyabariki!
SJUI HITLA ALIKUA MUAFRIKA ALIPOWAUWA MAMILIONI YA WAYAHUDI ??Wazungu+wayahudi Lao moja.. Hapo mazoba ni hayo maarabu. Wenzao hiyo michezo ya kudungua ndege ni issue planned.