Pearce
JF-Expert Member
- Dec 15, 2018
- 577
- 1,381
Katika mataifa yaliyopata Hasara kubwa sana katika Vita ya Dunia ni Urusi kwa kuanzia miji yake mikubwa kuwa sehemu ya mapambano.
Wakati Joto la vita likianza kutukuta Stalin na Viongozi wengine waliingia ushirika wa Siri na mikataba ya kugawana ulaya Mashariki na Ujerumani ya Hitler (NAZI) mpaka eneo la Poland ligawanywe mara mbili
Hivyo wasisi wa chokochoko wakianza na Musolinni, Hitler na Stalin Kila mmoja akaanza kuvamia jirani zake kwa wakati wake
Jaribio la awali akianza bwana Stalin na Urusi lakini mambo yakaenda ndivyo sivyo kutokana na sera yake ya Great Purge ambapo aliua raia wake ikiwemo makamanda wenye uzoefu wa Vita hivyo vita iliishia akipata matokeo asiyotarajia kutokana na upinzani wa Finland
Intelejensia yake kutokea ubalozi wa ujerumani Japan (alikua shushushu wa Stalin) ilimpa taarifa kuhusu mipango ya uvamizi dhidi ya Urusi kutoka kwa Mshirika wake Hitler, Lakini Stalin alikataa kuziamini taarifa kutokana na mikataba ya Siri waliyowekeana na Axis Power.
Kila mtu anaelewa Russia Soviet likawa taifa lililogharimika kuliko yote Ushindi wake akipoteza askari na wananchi zaidi ya Milioni 20 huku Ujerumani akipambana na pande mbili yaani Magharibi na Mashariki akipoteza watu milioni 5
Maadhimisho ya Mei 9 na hotuba alioitoa bwana Putin na hali ya muonekano wake kiafya na confidence ameshafahamu Vita imeelekea wapi Lakini hajui anajitoa vipi ili kulinda heshima yake.
Mbwembwe za kupiga nyuklia zimeisha na kisaikolojia anatafuta meza ya mazungumzo na nchi za Magharibi kwa walioisikia hiyo hotuba.
PUTIN ANAPITA KAMA ALIVYOPITA LYNDON JOHNSON na RICHARD NIXON
Kudanganya na Propaganda kuhusu vita ya Vietnam ndio ilisababisha kumng'oa Rais wa Marekani Richard Nixon wakati askari wao wanakufa waliamua kuficha kwa zaidi ya miaka 9 au 10. Lakini mambo yakawa wazi na akaondoka ofisini ndivyo Putin alipo Sasa
ZIADA
Ukweli wengi tuliojiunga upande wa Ukraine ni kundi la watu ambao hatupendi uonevu sio kila mtu anashabikia Marekani au Ulaya.
Wakati Joto la vita likianza kutukuta Stalin na Viongozi wengine waliingia ushirika wa Siri na mikataba ya kugawana ulaya Mashariki na Ujerumani ya Hitler (NAZI) mpaka eneo la Poland ligawanywe mara mbili
Hivyo wasisi wa chokochoko wakianza na Musolinni, Hitler na Stalin Kila mmoja akaanza kuvamia jirani zake kwa wakati wake
Jaribio la awali akianza bwana Stalin na Urusi lakini mambo yakaenda ndivyo sivyo kutokana na sera yake ya Great Purge ambapo aliua raia wake ikiwemo makamanda wenye uzoefu wa Vita hivyo vita iliishia akipata matokeo asiyotarajia kutokana na upinzani wa Finland
Intelejensia yake kutokea ubalozi wa ujerumani Japan (alikua shushushu wa Stalin) ilimpa taarifa kuhusu mipango ya uvamizi dhidi ya Urusi kutoka kwa Mshirika wake Hitler, Lakini Stalin alikataa kuziamini taarifa kutokana na mikataba ya Siri waliyowekeana na Axis Power.
Kila mtu anaelewa Russia Soviet likawa taifa lililogharimika kuliko yote Ushindi wake akipoteza askari na wananchi zaidi ya Milioni 20 huku Ujerumani akipambana na pande mbili yaani Magharibi na Mashariki akipoteza watu milioni 5
Maadhimisho ya Mei 9 na hotuba alioitoa bwana Putin na hali ya muonekano wake kiafya na confidence ameshafahamu Vita imeelekea wapi Lakini hajui anajitoa vipi ili kulinda heshima yake.
Mbwembwe za kupiga nyuklia zimeisha na kisaikolojia anatafuta meza ya mazungumzo na nchi za Magharibi kwa walioisikia hiyo hotuba.
PUTIN ANAPITA KAMA ALIVYOPITA LYNDON JOHNSON na RICHARD NIXON
Kudanganya na Propaganda kuhusu vita ya Vietnam ndio ilisababisha kumng'oa Rais wa Marekani Richard Nixon wakati askari wao wanakufa waliamua kuficha kwa zaidi ya miaka 9 au 10. Lakini mambo yakawa wazi na akaondoka ofisini ndivyo Putin alipo Sasa
ZIADA
Ukweli wengi tuliojiunga upande wa Ukraine ni kundi la watu ambao hatupendi uonevu sio kila mtu anashabikia Marekani au Ulaya.