Urusi haitashinda hii Vita

Urusi haitashinda hii Vita

Mtoa mada, kwasasa hakuna tena hoja kwa hoja Bali hoja kwa vioja...watu wamepanic sana kwanini Rusia na Putin wanapingwa.

Ebu fikiria Ligi yao hautambuliwi na FIFA, anga imefungwa, Mali za wafanyabiashara kwenye baadhi ya nchi zinahujumiwa na Mambo mengine mengi lakini watu wanashabikia tu kitu kikoja Rusia kushika Slaa.

Kujijenga ni kigumu sana ila kuharibu taswira ni dakika chache sana...sisi yetu macho matokeo ya huko Ukraine.
 
Mtoa mada, kwasasa hakuna tena hoja kwa hoja Bali hoja kwa vioja...watu wamepanic sana kwanini Rusia na Putin wanapingwa.
Ebu fikiria Ligi yao hautambuliwi na FIFA, anga imefungwa, Mali za wafanyabiashara kwenye baadhi ya nchi zinahujumiwa na Mambo mengine mengi lakini watu wanashabikia tu kitu kikoja Rusia kushika silaa...

Kujijenga ni kigumu sana ila kuharibu taswira ni dakika chache sana...sisi yetu macho matokeo ya huko Ukraine.
Yaani hizo sanctions ndizo zinamfanya Russia aiteketeze kiev
 
Kwa waliokaa US au nchi za magharibi wanajua vizuri na njia muafaka kabisa ya kummaliza adui yako, shambulia mifuko yake kwanza na ndicho anachofanyiwa Putin sasa, hii vita hatoboi soon ataomba poo, mnyamwezi akihisi una criminal au misheni zisizoeleweka anaanza kuvamia account zako and freeze them kabla hata kesi haijaanza, utakata deal tuu hata kama hujafanya kosa
 
Duh ukraine anaendelea kuchapwa russia imetoa taarifa masaa 2 yaliopita kwamba wananchi watulie ndani wana jambo lao... Jambo lenyewe ni hili wanataka kutandika kws mizinga jengo flani la kiitelijensia la kiukreni ambali humo ndani ndimo zinamopikwa misinformation zote, rumours zote nk dhidi ya urusi na warusi
Wewe unayeswaga ng'ombe 🐮🐮 kupeleka mnadani Kibaigwa ndio eti unajua na eti Ukraine wenyewe wasijue.

Russia inaelekea kaburini wananchi wameshaanza kupanga foleni ya vyakula ndio eti wewe unaishabikia, ujinga ni mzigo.
 
This week Kiev inatekwa na yule mpoki wao akimbie la sivyo atakamatwa na kupelekwa Moscow.

Propaganda za MSM hszitaiaidia Ukraine in the ground, Ukraine itachapwa na hakuna atakayemsaidia
 
Putin kwa sasa yupo kwenye hatari, ni kama mateka, akirudi nyuma basi Warusi nyumbani watamtafuna kwa kuitia nchi kwenye aibu, akiendelea mbele, hao hao Warusi watamtafuna Kwa kuitia nchi kwenye umaskini na ukata maana hivi vita vitaigharimu Urusi sana.
Imebaki ajitoe ufahamu na kufyatua nyuklia ila hapo ndio anasubiriwa ili atakachofanyiwa kiwe fundisho kwa Iran, Korea kwa Kim na machizi wengine ambao hufikiria nyuklia ni mchezo wa lele mama.
 
Wakuu,hii vita inayoendelea Ukraine imegawa watu ktk makundi makubwa mawili, yaani Pro -Russia ambao wanaamini kuwa Urusi lazima ishinde Vita, na Pro America ambao wanaamini kuwa Urusi lazima ishindwe Vita.

Hii haina Tofauti na ushabiki wa Liverpool na Manchester City, kwamba mashabiki huwa hawazungumzii uhalisia bali mapenzi na ushabiki tu.

Mada yangu haipo kwenye ushabiki bali ktk uhalisia.

NII KWANINI URUSI HAITASHINDA HII VITA?

Urusi ni Taifa kubwa Duniani, lenye nguvu kubwa za kijeshi na nguvu kidogo za Uchumi,lengo na ndoto za Urusi, ni kuangusha dola la Marekani ili yenyewe iwe juu.

Na lengo la Marekani ni kuiminya kabisa Urusi ili ipotee kwenye nguvu za kijeshi na isiweze tena kuinuka. Mataifa yote haya yana urafiki wa kinafiki mno,hayapendani kabisa,yanawindana usiku na mchana.

Bahati mbaya mno kwa Urusi ni kwamba haina nguvu za kiuchumi Marekani ina vyote. Tangu Rais Putin aivamie Ukraine, Mataifa yote yenye nguvu kubwa Ulaya za kiuchumi na kijeshi yamesimama upande wa Ukraine.

Yanaipa Silaha Ukraine na Pesa nyingi ili ipate uwezo wa kupigana Vita. Na pia Yameiwekea vikwazo vikubwa vya kiuchumi Russia.
Russia,haitaweza tena kupita ktk anga lolote la Jumuiya ya Ulaya kwa ndege.

Jana Waziri wa mambo ya nje wa Russia Segei Lavrov alishindwa kusafiri kwa ndege kwenda nje ya Russia kwa sababu ndege zote za Russia zikiweno Private Jets zimepigwa marufuku kuruka kwenye anga la mataifa yote ya Umoja wa Ulaya.

Sasa Russia watapita wapi?

Si hivyo tu, mfumo wa SWIFT BANKING unaowezesha kutuma pesa nje ya nchi na kupokea kutoka nje ya nchi umezuiwa kufanya Kazi kwa Russia.

Tayari Ufaransa imeikamata meli ya mizigo ya Russia na kuipaki ktk Bandari zake. Hata kwa akili ndogo tu unawezaje kushinda vita ?
Yaani Russia kasuswa na Ulaya yote kasoro Belarus Taifa maskini mashariki ya Ulaya. Hata kama mtu unapenda kitu kitu kwenye ukweli simama na ukweli.

Ndo maana Rais Putin amechanganyikiwa kabisa,na kutishia kulipua mabomu ya nyuklia. Akithubutu kupiga nyuklia na yeye watampiga nyuklia,hakutumia akili kuanzisha hii vita,alikurupuka sana, ndo mjue kuwa Hekima ndo kila kitu ktk maisha.

Uchumi wa Russia umeanza kuzorota tayari,na miezi minne ijayo Russia itakuwa hoi kabisa kiuchumi. Na pengine itashindwa kuendelea na Vita. Na sijui Putin atachukua uamuzi gani Baada ya hapo.

Wakati anaanza vita alidhani atachukua Ukraine yote ndani ya siku tatu tu. Hebu jiulizeni,umegeukwa na wote wenye nguvu unashindaje Vita?

Hata ingekuwa Marekani ingeshindwa pia. Wanajeshi wa Russia pichani waliokamatwa Baada ya Gari Lao kuishiwa mafuta
masela umeongea vizuri ila umeongelea vita vya uchumi - kichwa cha hoja husika - vita mbugani na mjini nani atamzuia mrusi
 
Wakuu,hii vita inayoendelea Ukraine imegawa watu ktk makundi makubwa mawili, yaani Pro -Russia ambao wanaamini kuwa Urusi lazima ishinde Vita, na Pro America ambao wanaamini kuwa Urusi lazima ishindwe Vita.

Hii haina Tofauti na ushabiki wa Liverpool na Manchester City, kwamba mashabiki huwa hawazungumzii uhalisia bali mapenzi na ushabiki tu.

Mada yangu haipo kwenye ushabiki bali ktk uhalisia.

NII KWANINI URUSI HAITASHINDA HII VITA?

Urusi ni Taifa kubwa Duniani, lenye nguvu kubwa za kijeshi na nguvu kidogo za Uchumi,lengo na ndoto za Urusi, ni kuangusha dola la Marekani ili yenyewe iwe juu.

Na lengo la Marekani ni kuiminya kabisa Urusi ili ipotee kwenye nguvu za kijeshi na isiweze tena kuinuka. Mataifa yote haya yana urafiki wa kinafiki mno,hayapendani kabisa,yanawindana usiku na mchana.

Bahati mbaya mno kwa Urusi ni kwamba haina nguvu za kiuchumi Marekani ina vyote. Tangu Rais Putin aivamie Ukraine, Mataifa yote yenye nguvu kubwa Ulaya za kiuchumi na kijeshi yamesimama upande wa Ukraine.

Yanaipa Silaha Ukraine na Pesa nyingi ili ipate uwezo wa kupigana Vita. Na pia Yameiwekea vikwazo vikubwa vya kiuchumi Russia.
Russia,haitaweza tena kupita ktk anga lolote la Jumuiya ya Ulaya kwa ndege.

Jana Waziri wa mambo ya nje wa Russia Segei Lavrov alishindwa kusafiri kwa ndege kwenda nje ya Russia kwa sababu ndege zote za Russia zikiweno Private Jets zimepigwa marufuku kuruka kwenye anga la mataifa yote ya Umoja wa Ulaya.

Sasa Russia watapita wapi?

Si hivyo tu, mfumo wa SWIFT BANKING unaowezesha kutuma pesa nje ya nchi na kupokea kutoka nje ya nchi umezuiwa kufanya Kazi kwa Russia.

Tayari Ufaransa imeikamata meli ya mizigo ya Russia na kuipaki ktk Bandari zake. Hata kwa akili ndogo tu unawezaje kushinda vita ?
Yaani Russia kasuswa na Ulaya yote kasoro Belarus Taifa maskini mashariki ya Ulaya. Hata kama mtu unapenda kitu kitu kwenye ukweli simama na ukweli.

Ndo maana Rais Putin amechanganyikiwa kabisa,na kutishia kulipua mabomu ya nyuklia. Akithubutu kupiga nyuklia na yeye watampiga nyuklia,hakutumia akili kuanzisha hii vita,alikurupuka sana, ndo mjue kuwa Hekima ndo kila kitu ktk maisha.

Uchumi wa Russia umeanza kuzorota tayari,na miezi minne ijayo Russia itakuwa hoi kabisa kiuchumi. Na pengine itashindwa kuendelea na Vita. Na sijui Putin atachukua uamuzi gani Baada ya hapo.

Wakati anaanza vita alidhani atachukua Ukraine yote ndani ya siku tatu tu. Hebu jiulizeni,umegeukwa na wote wenye nguvu unashindaje Vita?

Hata ingekuwa Marekani ingeshindwa pia. Wanajeshi wa Russia pichani waliokamatwa Baada ya Gari Lao kuishiwa mafuta
Mkuu umesema unaonge uhalisia lakini nimeutafuta kwenye andiko lako bila mafanikio.
Wamarekani wenyewe wanajua Ukraine lazima ianguke ni suala la muda tu. Labda ungezungumzia gharama za ushindi wa Urusi sio kushindwa kwake maana huo ndio uhalisia.
 
Aliyeleta mada ametoa hoja kuwa usa kiuchumi na kijeshi yuko vizuri, wakati Mrusi yuko kijeshi zaidi huku hali ya kiuchumi ikiendelea kuwa ngumu, ukipinga pinga kwa hoja na ukikubali uwe na hoja pia
Ukraine anapokea dozi ya kichapo wewe unakuja kusema kuwa USA ana hela kuliko Russia sasa haya yatamsaidiaje Zelensky? Nyie wenye nguvu shirikianeni na huyo laghai mwenye hela kuleta suluhu huko Ukraine kupunguza maafa siyo kuleta porojo kuwa US ana hela na jeshi kubwa kuliko Russia na wakati hadi leo biden anaendelea kulia lia kuwa hataenda kupigana ukraine na wakati huo huo akiendelea kununua energy sources from russian kwa mkono wa nyuma.

Sasa mtu yupo tandahimba anakunywa ulaka anatamba kuwa US ana hela na jeshi kuuuubwa lakini kwenye uwanja wa mapambano haonekani.
 
Wakuu,hii vita inayoendelea Ukraine imegawa watu ktk makundi makubwa mawili, yaani Pro -Russia ambao wanaamini kuwa Urusi lazima ishinde Vita, na Pro America ambao wanaamini kuwa Urusi lazima ishindwe Vita.

Hii haina Tofauti na ushabiki wa Liverpool na Manchester City, kwamba mashabiki huwa hawazungumzii uhalisia bali mapenzi na ushabiki tu.

Mada yangu haipo kwenye ushabiki bali ktk uhalisia.

NII KWANINI URUSI HAITASHINDA HII VITA?

Urusi ni Taifa kubwa Duniani, lenye nguvu kubwa za kijeshi na nguvu kidogo za Uchumi,lengo na ndoto za Urusi, ni kuangusha dola la Marekani ili yenyewe iwe juu.

Na lengo la Marekani ni kuiminya kabisa Urusi ili ipotee kwenye nguvu za kijeshi na isiweze tena kuinuka. Mataifa yote haya yana urafiki wa kinafiki mno,hayapendani kabisa,yanawindana usiku na mchana.

Bahati mbaya mno kwa Urusi ni kwamba haina nguvu za kiuchumi Marekani ina vyote. Tangu Rais Putin aivamie Ukraine, Mataifa yote yenye nguvu kubwa Ulaya za kiuchumi na kijeshi yamesimama upande wa Ukraine.

Yanaipa Silaha Ukraine na Pesa nyingi ili ipate uwezo wa kupigana Vita. Na pia Yameiwekea vikwazo vikubwa vya kiuchumi Russia.
Russia,haitaweza tena kupita ktk anga lolote la Jumuiya ya Ulaya kwa ndege.

Jana Waziri wa mambo ya nje wa Russia Segei Lavrov alishindwa kusafiri kwa ndege kwenda nje ya Russia kwa sababu ndege zote za Russia zikiweno Private Jets zimepigwa marufuku kuruka kwenye anga la mataifa yote ya Umoja wa Ulaya.

Sasa Russia watapita wapi?

Si hivyo tu, mfumo wa SWIFT BANKING unaowezesha kutuma pesa nje ya nchi na kupokea kutoka nje ya nchi umezuiwa kufanya Kazi kwa Russia.

Tayari Ufaransa imeikamata meli ya mizigo ya Russia na kuipaki ktk Bandari zake. Hata kwa akili ndogo tu unawezaje kushinda vita ?
Yaani Russia kasuswa na Ulaya yote kasoro Belarus Taifa maskini mashariki ya Ulaya. Hata kama mtu unapenda kitu kitu kwenye ukweli simama na ukweli.

Ndo maana Rais Putin amechanganyikiwa kabisa,na kutishia kulipua mabomu ya nyuklia. Akithubutu kupiga nyuklia na yeye watampiga nyuklia,hakutumia akili kuanzisha hii vita,alikurupuka sana, ndo mjue kuwa Hekima ndo kila kitu ktk maisha.

Uchumi wa Russia umeanza kuzorota tayari,na miezi minne ijayo Russia itakuwa hoi kabisa kiuchumi. Na pengine itashindwa kuendelea na Vita. Na sijui Putin atachukua uamuzi gani Baada ya hapo.

Wakati anaanza vita alidhani atachukua Ukraine yote ndani ya siku tatu tu. Hebu jiulizeni,umegeukwa na wote wenye nguvu unashindaje Vita?

Hata ingekuwa Marekani ingeshindwa pia. Wanajeshi wa Russia pichani waliokamatwa Baada ya Gari Lao kuishiwa mafuta
Mrusi kashindwa kuipiga ukraine ndani ya siku tatu na sasa ana zaidi ya siku 20 sasa hao wenye maguvu ya kijeshi na mihela wanahitaji siku ngapi ili kumzuia huyu masikini asiye na jeshi aneitesa ukraine? Au ndo yale maneno kwamba NATO wanapigana kusayansi (vikwazo) dhidi ya urusi sasa nikajiuliza Putin akirusha makombora anatumia mizizi ya mwarobaini au nini?
 
Mrusi kashindwa kuipiga ukraine ndani ya siku tatu na sasa ana zaidi ya siku 20 sasa hao wenye maguvu ya kijeshi na mihela wanahitaji siku ngapi ili kumzuia huyu masikini asiye na jeshi aneitesa ukraine? Au ndo yale maneno kwamba NATO wanapigana kusayansi (vikwazo) dhidi ya urusi sasa nikajiuliza Putin akirusha makombora anatumia mizizi ya mwarobaini au nini?
Leta source ya hizo siku 3
 
Back
Top Bottom