Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 18,550
- 21,676
ukraine hana ubavu labda western wafanye mambo zaidi.
Yaani hizo sanctions ndizo zinamfanya Russia aiteketeze kievMtoa mada, kwasasa hakuna tena hoja kwa hoja Bali hoja kwa vioja...watu wamepanic sana kwanini Rusia na Putin wanapingwa.
Ebu fikiria Ligi yao hautambuliwi na FIFA, anga imefungwa, Mali za wafanyabiashara kwenye baadhi ya nchi zinahujumiwa na Mambo mengine mengi lakini watu wanashabikia tu kitu kikoja Rusia kushika silaa...
Kujijenga ni kigumu sana ila kuharibu taswira ni dakika chache sana...sisi yetu macho matokeo ya huko Ukraine.
Wewe unayeswaga ng'ombe 🐮🐮 kupeleka mnadani Kibaigwa ndio eti unajua na eti Ukraine wenyewe wasijue.Duh ukraine anaendelea kuchapwa russia imetoa taarifa masaa 2 yaliopita kwamba wananchi watulie ndani wana jambo lao... Jambo lenyewe ni hili wanataka kutandika kws mizinga jengo flani la kiitelijensia la kiukreni ambali humo ndani ndimo zinamopikwa misinformation zote, rumours zote nk dhidi ya urusi na warusi
yapi tena bwashee wamesogezewa lile li zambizi baba wa nyambiziukraine hana ubavu labda western wafanye mambo zaidi.
Aisee. JF ina ma expert aiseehakutumia akili kuanzisha hii vita,alikurupuka sana
Umeshindwa ata kuangalia nimeandika lini?Acha uongo as we speak Biden leo ame bab all import of Russian oil and ndio news everywhere
masela umeongea vizuri ila umeongelea vita vya uchumi - kichwa cha hoja husika - vita mbugani na mjini nani atamzuia mrusiWakuu,hii vita inayoendelea Ukraine imegawa watu ktk makundi makubwa mawili, yaani Pro -Russia ambao wanaamini kuwa Urusi lazima ishinde Vita, na Pro America ambao wanaamini kuwa Urusi lazima ishindwe Vita.
Hii haina Tofauti na ushabiki wa Liverpool na Manchester City, kwamba mashabiki huwa hawazungumzii uhalisia bali mapenzi na ushabiki tu.
Mada yangu haipo kwenye ushabiki bali ktk uhalisia.
NII KWANINI URUSI HAITASHINDA HII VITA?
Urusi ni Taifa kubwa Duniani, lenye nguvu kubwa za kijeshi na nguvu kidogo za Uchumi,lengo na ndoto za Urusi, ni kuangusha dola la Marekani ili yenyewe iwe juu.
Na lengo la Marekani ni kuiminya kabisa Urusi ili ipotee kwenye nguvu za kijeshi na isiweze tena kuinuka. Mataifa yote haya yana urafiki wa kinafiki mno,hayapendani kabisa,yanawindana usiku na mchana.
Bahati mbaya mno kwa Urusi ni kwamba haina nguvu za kiuchumi Marekani ina vyote. Tangu Rais Putin aivamie Ukraine, Mataifa yote yenye nguvu kubwa Ulaya za kiuchumi na kijeshi yamesimama upande wa Ukraine.
Yanaipa Silaha Ukraine na Pesa nyingi ili ipate uwezo wa kupigana Vita. Na pia Yameiwekea vikwazo vikubwa vya kiuchumi Russia.
Russia,haitaweza tena kupita ktk anga lolote la Jumuiya ya Ulaya kwa ndege.
Jana Waziri wa mambo ya nje wa Russia Segei Lavrov alishindwa kusafiri kwa ndege kwenda nje ya Russia kwa sababu ndege zote za Russia zikiweno Private Jets zimepigwa marufuku kuruka kwenye anga la mataifa yote ya Umoja wa Ulaya.
Sasa Russia watapita wapi?
Si hivyo tu, mfumo wa SWIFT BANKING unaowezesha kutuma pesa nje ya nchi na kupokea kutoka nje ya nchi umezuiwa kufanya Kazi kwa Russia.
Tayari Ufaransa imeikamata meli ya mizigo ya Russia na kuipaki ktk Bandari zake. Hata kwa akili ndogo tu unawezaje kushinda vita ?
Yaani Russia kasuswa na Ulaya yote kasoro Belarus Taifa maskini mashariki ya Ulaya. Hata kama mtu unapenda kitu kitu kwenye ukweli simama na ukweli.
Ndo maana Rais Putin amechanganyikiwa kabisa,na kutishia kulipua mabomu ya nyuklia. Akithubutu kupiga nyuklia na yeye watampiga nyuklia,hakutumia akili kuanzisha hii vita,alikurupuka sana, ndo mjue kuwa Hekima ndo kila kitu ktk maisha.
Uchumi wa Russia umeanza kuzorota tayari,na miezi minne ijayo Russia itakuwa hoi kabisa kiuchumi. Na pengine itashindwa kuendelea na Vita. Na sijui Putin atachukua uamuzi gani Baada ya hapo.
Wakati anaanza vita alidhani atachukua Ukraine yote ndani ya siku tatu tu. Hebu jiulizeni,umegeukwa na wote wenye nguvu unashindaje Vita?
Hata ingekuwa Marekani ingeshindwa pia. Wanajeshi wa Russia pichani waliokamatwa Baada ya Gari Lao kuishiwa mafuta![]()
Mkuu umesema unaonge uhalisia lakini nimeutafuta kwenye andiko lako bila mafanikio.Wakuu,hii vita inayoendelea Ukraine imegawa watu ktk makundi makubwa mawili, yaani Pro -Russia ambao wanaamini kuwa Urusi lazima ishinde Vita, na Pro America ambao wanaamini kuwa Urusi lazima ishindwe Vita.
Hii haina Tofauti na ushabiki wa Liverpool na Manchester City, kwamba mashabiki huwa hawazungumzii uhalisia bali mapenzi na ushabiki tu.
Mada yangu haipo kwenye ushabiki bali ktk uhalisia.
NII KWANINI URUSI HAITASHINDA HII VITA?
Urusi ni Taifa kubwa Duniani, lenye nguvu kubwa za kijeshi na nguvu kidogo za Uchumi,lengo na ndoto za Urusi, ni kuangusha dola la Marekani ili yenyewe iwe juu.
Na lengo la Marekani ni kuiminya kabisa Urusi ili ipotee kwenye nguvu za kijeshi na isiweze tena kuinuka. Mataifa yote haya yana urafiki wa kinafiki mno,hayapendani kabisa,yanawindana usiku na mchana.
Bahati mbaya mno kwa Urusi ni kwamba haina nguvu za kiuchumi Marekani ina vyote. Tangu Rais Putin aivamie Ukraine, Mataifa yote yenye nguvu kubwa Ulaya za kiuchumi na kijeshi yamesimama upande wa Ukraine.
Yanaipa Silaha Ukraine na Pesa nyingi ili ipate uwezo wa kupigana Vita. Na pia Yameiwekea vikwazo vikubwa vya kiuchumi Russia.
Russia,haitaweza tena kupita ktk anga lolote la Jumuiya ya Ulaya kwa ndege.
Jana Waziri wa mambo ya nje wa Russia Segei Lavrov alishindwa kusafiri kwa ndege kwenda nje ya Russia kwa sababu ndege zote za Russia zikiweno Private Jets zimepigwa marufuku kuruka kwenye anga la mataifa yote ya Umoja wa Ulaya.
Sasa Russia watapita wapi?
Si hivyo tu, mfumo wa SWIFT BANKING unaowezesha kutuma pesa nje ya nchi na kupokea kutoka nje ya nchi umezuiwa kufanya Kazi kwa Russia.
Tayari Ufaransa imeikamata meli ya mizigo ya Russia na kuipaki ktk Bandari zake. Hata kwa akili ndogo tu unawezaje kushinda vita ?
Yaani Russia kasuswa na Ulaya yote kasoro Belarus Taifa maskini mashariki ya Ulaya. Hata kama mtu unapenda kitu kitu kwenye ukweli simama na ukweli.
Ndo maana Rais Putin amechanganyikiwa kabisa,na kutishia kulipua mabomu ya nyuklia. Akithubutu kupiga nyuklia na yeye watampiga nyuklia,hakutumia akili kuanzisha hii vita,alikurupuka sana, ndo mjue kuwa Hekima ndo kila kitu ktk maisha.
Uchumi wa Russia umeanza kuzorota tayari,na miezi minne ijayo Russia itakuwa hoi kabisa kiuchumi. Na pengine itashindwa kuendelea na Vita. Na sijui Putin atachukua uamuzi gani Baada ya hapo.
Wakati anaanza vita alidhani atachukua Ukraine yote ndani ya siku tatu tu. Hebu jiulizeni,umegeukwa na wote wenye nguvu unashindaje Vita?
Hata ingekuwa Marekani ingeshindwa pia. Wanajeshi wa Russia pichani waliokamatwa Baada ya Gari Lao kuishiwa mafuta![]()
Ukraine anapokea dozi ya kichapo wewe unakuja kusema kuwa USA ana hela kuliko Russia sasa haya yatamsaidiaje Zelensky? Nyie wenye nguvu shirikianeni na huyo laghai mwenye hela kuleta suluhu huko Ukraine kupunguza maafa siyo kuleta porojo kuwa US ana hela na jeshi kubwa kuliko Russia na wakati hadi leo biden anaendelea kulia lia kuwa hataenda kupigana ukraine na wakati huo huo akiendelea kununua energy sources from russian kwa mkono wa nyuma.Aliyeleta mada ametoa hoja kuwa usa kiuchumi na kijeshi yuko vizuri, wakati Mrusi yuko kijeshi zaidi huku hali ya kiuchumi ikiendelea kuwa ngumu, ukipinga pinga kwa hoja na ukikubali uwe na hoja pia
Mrusi kashindwa kuipiga ukraine ndani ya siku tatu na sasa ana zaidi ya siku 20 sasa hao wenye maguvu ya kijeshi na mihela wanahitaji siku ngapi ili kumzuia huyu masikini asiye na jeshi aneitesa ukraine? Au ndo yale maneno kwamba NATO wanapigana kusayansi (vikwazo) dhidi ya urusi sasa nikajiuliza Putin akirusha makombora anatumia mizizi ya mwarobaini au nini?Wakuu,hii vita inayoendelea Ukraine imegawa watu ktk makundi makubwa mawili, yaani Pro -Russia ambao wanaamini kuwa Urusi lazima ishinde Vita, na Pro America ambao wanaamini kuwa Urusi lazima ishindwe Vita.
Hii haina Tofauti na ushabiki wa Liverpool na Manchester City, kwamba mashabiki huwa hawazungumzii uhalisia bali mapenzi na ushabiki tu.
Mada yangu haipo kwenye ushabiki bali ktk uhalisia.
NII KWANINI URUSI HAITASHINDA HII VITA?
Urusi ni Taifa kubwa Duniani, lenye nguvu kubwa za kijeshi na nguvu kidogo za Uchumi,lengo na ndoto za Urusi, ni kuangusha dola la Marekani ili yenyewe iwe juu.
Na lengo la Marekani ni kuiminya kabisa Urusi ili ipotee kwenye nguvu za kijeshi na isiweze tena kuinuka. Mataifa yote haya yana urafiki wa kinafiki mno,hayapendani kabisa,yanawindana usiku na mchana.
Bahati mbaya mno kwa Urusi ni kwamba haina nguvu za kiuchumi Marekani ina vyote. Tangu Rais Putin aivamie Ukraine, Mataifa yote yenye nguvu kubwa Ulaya za kiuchumi na kijeshi yamesimama upande wa Ukraine.
Yanaipa Silaha Ukraine na Pesa nyingi ili ipate uwezo wa kupigana Vita. Na pia Yameiwekea vikwazo vikubwa vya kiuchumi Russia.
Russia,haitaweza tena kupita ktk anga lolote la Jumuiya ya Ulaya kwa ndege.
Jana Waziri wa mambo ya nje wa Russia Segei Lavrov alishindwa kusafiri kwa ndege kwenda nje ya Russia kwa sababu ndege zote za Russia zikiweno Private Jets zimepigwa marufuku kuruka kwenye anga la mataifa yote ya Umoja wa Ulaya.
Sasa Russia watapita wapi?
Si hivyo tu, mfumo wa SWIFT BANKING unaowezesha kutuma pesa nje ya nchi na kupokea kutoka nje ya nchi umezuiwa kufanya Kazi kwa Russia.
Tayari Ufaransa imeikamata meli ya mizigo ya Russia na kuipaki ktk Bandari zake. Hata kwa akili ndogo tu unawezaje kushinda vita ?
Yaani Russia kasuswa na Ulaya yote kasoro Belarus Taifa maskini mashariki ya Ulaya. Hata kama mtu unapenda kitu kitu kwenye ukweli simama na ukweli.
Ndo maana Rais Putin amechanganyikiwa kabisa,na kutishia kulipua mabomu ya nyuklia. Akithubutu kupiga nyuklia na yeye watampiga nyuklia,hakutumia akili kuanzisha hii vita,alikurupuka sana, ndo mjue kuwa Hekima ndo kila kitu ktk maisha.
Uchumi wa Russia umeanza kuzorota tayari,na miezi minne ijayo Russia itakuwa hoi kabisa kiuchumi. Na pengine itashindwa kuendelea na Vita. Na sijui Putin atachukua uamuzi gani Baada ya hapo.
Wakati anaanza vita alidhani atachukua Ukraine yote ndani ya siku tatu tu. Hebu jiulizeni,umegeukwa na wote wenye nguvu unashindaje Vita?
Hata ingekuwa Marekani ingeshindwa pia. Wanajeshi wa Russia pichani waliokamatwa Baada ya Gari Lao kuishiwa mafuta![]()
Leta source ya hizo siku 3Mrusi kashindwa kuipiga ukraine ndani ya siku tatu na sasa ana zaidi ya siku 20 sasa hao wenye maguvu ya kijeshi na mihela wanahitaji siku ngapi ili kumzuia huyu masikini asiye na jeshi aneitesa ukraine? Au ndo yale maneno kwamba NATO wanapigana kusayansi (vikwazo) dhidi ya urusi sasa nikajiuliza Putin akirusha makombora anatumia mizizi ya mwarobaini au nini?