myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,062
Wengi wanajua kuchambua siasa za Rufiji na Bagamoyo..Huko ng'ambo tuwaachie wenyewe..
Anadundaje....ameathitika sana.North Korea kawekewa vikwazo Ni miaka 60 Sasa ila bado anadunda.
Halafu atanufaika???Yaani hizo sanctions ndizo zinamfanya Russia aiteketeze kiev
Leo hii comedian ameomba kikao na Simba wa Vita Putin kwa mara ya kwanza ameweka ofa ya kuondoa ombi lake la kujiunga NATO, wale Warusi wanapiga popoteWakuu,hii vita inayoendelea Ukraine imegawa watu ktk makundi makubwa mawili, yaani Pro -Russia ambao wanaamini kuwa Urusi lazima ishinde Vita, na Pro America ambao wanaamini kuwa Urusi lazima ishindwe Vita.
Hii haina Tofauti na ushabiki wa Liverpool na Manchester City, kwamba mashabiki huwa hawazungumzii uhalisia bali mapenzi na ushabiki tu.
Mada yangu haipo kwenye ushabiki bali ktk uhalisia.
NII KWANINI URUSI HAITASHINDA HII VITA?
Urusi ni Taifa kubwa Duniani, lenye nguvu kubwa za kijeshi na nguvu kidogo za Uchumi,lengo na ndoto za Urusi, ni kuangusha dola la Marekani ili yenyewe iwe juu.
Na lengo la Marekani ni kuiminya kabisa Urusi ili ipotee kwenye nguvu za kijeshi na isiweze tena kuinuka. Mataifa yote haya yana urafiki wa kinafiki mno,hayapendani kabisa,yanawindana usiku na mchana.
Bahati mbaya mno kwa Urusi ni kwamba haina nguvu za kiuchumi Marekani ina vyote. Tangu Rais Putin aivamie Ukraine, Mataifa yote yenye nguvu kubwa Ulaya za kiuchumi na kijeshi yamesimama upande wa Ukraine.
Yanaipa Silaha Ukraine na Pesa nyingi ili ipate uwezo wa kupigana Vita. Na pia Yameiwekea vikwazo vikubwa vya kiuchumi Russia.
Russia,haitaweza tena kupita ktk anga lolote la Jumuiya ya Ulaya kwa ndege.
Jana Waziri wa mambo ya nje wa Russia Segei Lavrov alishindwa kusafiri kwa ndege kwenda nje ya Russia kwa sababu ndege zote za Russia zikiweno Private Jets zimepigwa marufuku kuruka kwenye anga la mataifa yote ya Umoja wa Ulaya.
Sasa Russia watapita wapi?
Si hivyo tu, mfumo wa SWIFT BANKING unaowezesha kutuma pesa nje ya nchi na kupokea kutoka nje ya nchi umezuiwa kufanya Kazi kwa Russia.
Tayari Ufaransa imeikamata meli ya mizigo ya Russia na kuipaki ktk Bandari zake. Hata kwa akili ndogo tu unawezaje kushinda vita ?
Yaani Russia kasuswa na Ulaya yote kasoro Belarus Taifa maskini mashariki ya Ulaya. Hata kama mtu unapenda kitu kitu kwenye ukweli simama na ukweli.
Ndo maana Rais Putin amechanganyikiwa kabisa,na kutishia kulipua mabomu ya nyuklia. Akithubutu kupiga nyuklia na yeye watampiga nyuklia,hakutumia akili kuanzisha hii vita,alikurupuka sana, ndo mjue kuwa Hekima ndo kila kitu ktk maisha.
Uchumi wa Russia umeanza kuzorota tayari,na miezi minne ijayo Russia itakuwa hoi kabisa kiuchumi. Na pengine itashindwa kuendelea na Vita. Na sijui Putin atachukua uamuzi gani Baada ya hapo.
Wakati anaanza vita alidhani atachukua Ukraine yote ndani ya siku tatu tu. Hebu jiulizeni,umegeukwa na wote wenye nguvu unashindaje Vita?
Hata ingekuwa Marekani ingeshindwa pia. Wanajeshi wa Russia pichani waliokamatwa Baada ya Gari Lao kuishiwa mafuta![]()
Waulize EU na US kila siku vikao kuhusu UkraineHalafu atanufaika???
Wanatakiwa wapigwe mpaka wachakae , siku nyingine wasiwe chawa wa US na EUDuh ukraine anaendelea kuchapwa russia imetoa taarifa masaa 2 yaliopita kwamba wananchi watulie ndani wana jambo lao... Jambo lenyewe ni hili wanataka kutandika kws mizinga jengo flani la kiitelijensia la kiukreni ambali humo ndani ndimo zinamopikwa misinformation zote, rumours zote nk dhidi ya urusi na warusi
Vikao ni kawaida, haina maana kushinda/kushindwa...Waulize EU na US kila siku vikao kuhusu Ukraine
Bado sanctions zinaendelea, silaha mnaendelea kupeleka, vikao kila uchwao, wakimbizi zaidi ya milion 3 wapo huko ulaya, hii ndio Urusi mtapokea sana wakimbiziVikao ni kawaida, haina maana kushinda/kushindwa...
URUSI kachoka sana UWANJANI...........Bado sanctions zinaendelea, silaha mnaendelea kupeleka, vikao kila uchwao, wakimbizi zaidi ya milion 3 wapo huko ulaya, hii ndio Urusi mtapokea sana wakimbizi
Leo hii Zelensky amekubali kuondoa mpango wake wa kujiunga NATO , ili Urusi waondoe majeshi ahahaha kweli Urusi kachoka, jiandae huko ulaya matarajio ni wakimbizi kufika 8mURUSI kachoka sana UWANJANI...........
Haifuti ukweli kwamba URUSI kachoka...Leo hii Zelensky amekubali kuondoa mpango wake wa kujiunga NATO , ili Urusi waondoe majeshi ahahaha kweli Urusi kachoka, jiandae huko ulaya matarajio ni wakimbizi kufika 8m
Sisi tunaendelea kuneutralize Ukraine military capability, nakukumbusha juzi Rais wa Ukraine kaililia Israel msaada kama mtoto mdogo, kiukweli kachanganyikiwa badala ya kuomba analazimishaHaifuti ukweli kwamba URUSI kachoka...
Ni kweli, mnaacha magofu ya vifaru na magari, bahati yako ni mbali maana Watanzania kwa kupenda chuma chakavu..............Sisi tunaendelea kuneutralize Ukraine military capability, nakukumbusha juzi Rais wa Ukraine kaililia Israel msaada kama mtoto mdogo, kiukweli kachanganyikiwa badala ya kuomba analazimisha
Hakuna jengo litasalia bila kuguswa pale Ukraine, na tutahakikisha zaidi ya watu 15m ni wakimbizi huko ulaya, halafu hamna cha kutufanya nyie US na EUNi kweli, mnaacha magofu ya vifaru na magari, bahati yako ni mbali maana Watanzania kwa kupenda chuma chakavu..............
Halafu mnarudisha maiti nyumbani au mtaziacha Ukrein..Hayo magofu ya vifaru wenyewe wako wapi..Hakuna jengo litasalia bila kuguswa pale Ukraine, na tutahakikisha zaidi ya watu 15m ni wakimbizi huko ulaya, halafu hamna cha kutufanya nyie US na EU
Kwani Ukraine maiti wanaweka makumbusho? sasa hivi Ukraine wanazikana kwa mafungu , Ukraine itakuwa ndio nchi yenye wakimbizi wengi duniani siku zijazoHalafu mnarudisha maiti nyumbani au mtaziacha Ukrein..Hayo magofu ya vifaru wenyewe wako wapi..
Na Urusi inakuwa nchi maskini sana. Hata kukaribishwa kwenye G7 hapewi nafasi tena.Kwani Ukraine maiti wanaweka makumbusho? sasa hivi Ukraine wanazikana kwa mafungu , Ukraine itakuwa ndio nchi yenye wakimbizi wengi duniani siku zijazo
Endelea kupiga ramli, ila sisi tunaendelea kushusha maghorofa na kuharibu kila kitu Ukraine , Urusi iko salama hata paka hawajaguswaNa Urusi inakuwa nchi maskini sana. Hata kukaribishwa kwenye G7 hapewi nafasi tena.
Mradi kumbukumbu iko JF..utakuja hapa kusalimia.Endelea kupiga ramli, ila sisi tunaendelea kushusha maghorofa na kuharibu kila kitu Ukraine , Urusi iko salama hata paka hawajaguswa
Unaandika upuuzi tupuWakuu,hii vita inayoendelea Ukraine imegawa watu ktk makundi makubwa mawili, yaani Pro -Russia ambao wanaamini kuwa Urusi lazima ishinde Vita, na Pro America ambao wanaamini kuwa Urusi lazima ishindwe Vita.
Hii haina Tofauti na ushabiki wa Liverpool na Manchester City, kwamba mashabiki huwa hawazungumzii uhalisia bali mapenzi na ushabiki tu.
Mada yangu haipo kwenye ushabiki bali ktk uhalisia.
NII KWANINI URUSI HAITASHINDA HII VITA?
Urusi ni Taifa kubwa Duniani, lenye nguvu kubwa za kijeshi na nguvu kidogo za Uchumi,lengo na ndoto za Urusi, ni kuangusha dola la Marekani ili yenyewe iwe juu.
Na lengo la Marekani ni kuiminya kabisa Urusi ili ipotee kwenye nguvu za kijeshi na isiweze tena kuinuka. Mataifa yote haya yana urafiki wa kinafiki mno,hayapendani kabisa,yanawindana usiku na mchana.
Bahati mbaya mno kwa Urusi ni kwamba haina nguvu za kiuchumi Marekani ina vyote. Tangu Rais Putin aivamie Ukraine, Mataifa yote yenye nguvu kubwa Ulaya za kiuchumi na kijeshi yamesimama upande wa Ukraine.
Yanaipa Silaha Ukraine na Pesa nyingi ili ipate uwezo wa kupigana Vita. Na pia Yameiwekea vikwazo vikubwa vya kiuchumi Russia.
Russia,haitaweza tena kupita ktk anga lolote la Jumuiya ya Ulaya kwa ndege.
Jana Waziri wa mambo ya nje wa Russia Segei Lavrov alishindwa kusafiri kwa ndege kwenda nje ya Russia kwa sababu ndege zote za Russia zikiweno Private Jets zimepigwa marufuku kuruka kwenye anga la mataifa yote ya Umoja wa Ulaya.
Sasa Russia watapita wapi?
Si hivyo tu, mfumo wa SWIFT BANKING unaowezesha kutuma pesa nje ya nchi na kupokea kutoka nje ya nchi umezuiwa kufanya Kazi kwa Russia.
Tayari Ufaransa imeikamata meli ya mizigo ya Russia na kuipaki ktk Bandari zake. Hata kwa akili ndogo tu unawezaje kushinda vita ?
Yaani Russia kasuswa na Ulaya yote kasoro Belarus Taifa maskini mashariki ya Ulaya. Hata kama mtu unapenda kitu kitu kwenye ukweli simama na ukweli.
Ndo maana Rais Putin amechanganyikiwa kabisa,na kutishia kulipua mabomu ya nyuklia. Akithubutu kupiga nyuklia na yeye watampiga nyuklia,hakutumia akili kuanzisha hii vita,alikurupuka sana, ndo mjue kuwa Hekima ndo kila kitu ktk maisha.
Uchumi wa Russia umeanza kuzorota tayari,na miezi minne ijayo Russia itakuwa hoi kabisa kiuchumi. Na pengine itashindwa kuendelea na Vita. Na sijui Putin atachukua uamuzi gani Baada ya hapo.
Wakati anaanza vita alidhani atachukua Ukraine yote ndani ya siku tatu tu. Hebu jiulizeni,umegeukwa na wote wenye nguvu unashindaje Vita?
Hata ingekuwa Marekani ingeshindwa pia. Wanajeshi wa Russia pichani waliokamatwa Baada ya Gari Lao kuishiwa mafuta![]()