Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Jinamizi la umeya bado linakiandama chama cha CHADEMA baada ya kuibuka mgogoro mwingine katika halmashauri mpya ya Kahama ambapo madiwani wa CHADEMA na viongozi wake wamegawanyika makundi mawili hali iliyosababisha wachapane makonde katika kikao.
makundi hayo ni ya aliyekuwa mgombea ubunge Charles Lubala na kundi la mwenyekiti wa CHADEMA wilaya Juma Protas lilitangaza kuwafukuza uanachama Charles Lubala, Annastazia Manyanda na justina kimisha. chanzo cha mgogoro huo ni umeya
Nawasilisha kwenu.
makundi hayo ni ya aliyekuwa mgombea ubunge Charles Lubala na kundi la mwenyekiti wa CHADEMA wilaya Juma Protas lilitangaza kuwafukuza uanachama Charles Lubala, Annastazia Manyanda na justina kimisha. chanzo cha mgogoro huo ni umeya
Nawasilisha kwenu.