Uroho m'baya

Uroho m'baya

sirside123

Member
Joined
Feb 26, 2013
Posts
20
Reaction score
6
Mwizi alibomoa nyumba akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye kibakuli vilivyokauka,akaonja kimoja akaona ni kitamu kina chumvi chumvi! Akafurahi akakaa chini akala vyote alipomaliza akaangalia juu ya mlango akaona pameandikwa CHUMBA CHA KUTAHIRIA!! eti unahisi alikula nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom