English Learner
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 366
- 453
Nahisi Uamsho washajiuNga tayari
Are UHAMSHO based in Zanzibar? Then take it...you are not far from the right answer!!![]()
tekbirrrrrrrrrr
Aisee vyombo vyetu kama vipo makini huyu mzanzibar ni kuanza kudeal nae mapema.
Na naamini atasaidia kujua hata mauaji ya padri na umwagiaji wa tindikali
Cc Kaka Jambazi Yericko Nyerere THE BIG SHOW Moderator
Are UHAMSHO based in Zanzibar? Then take it...you are not far from the right answer!!![]()
Are UHAMSHO based in Zanzibar? Then take it...you are not far from the right answer!!![]()
dah aiseeee hivi zile itelijensia za akina kova huwa zinafanya nini aisee.....
These criminals start brainwashing these boys when they are still young; by the time they reach their teens they are so indoctrinated they can commit the most despicable crimes!!
Watu kama hawa niwakuwaripoti mkuu.. binafsi info zake kesho nitaziwakilisha vyombo vya usalama.Haya sisi wenyewe wenyewe wananchi tuanze kuchukua hatua. Sio badae ugaidi unatokea then tunawalaumu TISS na polisi wakati sisi wenyewe tumekalia taarifa na kuwahhifadhi waarifuhuyo kijana ni noma sana mm nilimpigia sim na kumhoji kwa mda sana coz nilimtega na kutumia namba ya ofisi basi aliingia lain na kuonyesha kuwa ana nia ya dhati kabisa ya kujiunga nao
Watu kama hawa niwakuwaripoti mkuu.. binafsi info zake kesho nitaziwakilisha vyombo vya usalama.Haya sisi wenyewe wenyewe wananchi tuanze kuchukua hatua. Sio badae ugaidi unatokea then tunawalaumu TISS na polisi wakati sisi wenyewe tumekalia taarifa na kuwahhifadhi waarifu