Habarini mimi ni kijana nina miaka 40. Nina watoto wakiume watatu ni mfanyakazi wa serikali na pia ni mfanyabiashara.
Niliachana na niliyezaa nae miaka miwili iliyopita.
Tulishindwana na bahati tulikua hatujafunga ndoa tuliishi illegally so nimetafakari kwa sasa kuishi mwenyewe siwezi nahitaji mke ila awe tayari kulea hao watoto awafanye kama wake.
Awe ni mdada kuanzia miaka 25 mpaka 30mwenye elimu atleast Degree moja na asiwe na mtoto na awe ni mdada ambaye hajawahi kolewa au kuchumbiwa.
Kabila awe mchaga,mhaya, mnyakyusa, mgita,mzanaki,mmasai,mpare, mluguru,mhehe,msukuma au yeyote isipokua mrangi,mnyiamba,mmbulu.
Asanteni
Niliachana na niliyezaa nae miaka miwili iliyopita.
Tulishindwana na bahati tulikua hatujafunga ndoa tuliishi illegally so nimetafakari kwa sasa kuishi mwenyewe siwezi nahitaji mke ila awe tayari kulea hao watoto awafanye kama wake.
Awe ni mdada kuanzia miaka 25 mpaka 30mwenye elimu atleast Degree moja na asiwe na mtoto na awe ni mdada ambaye hajawahi kolewa au kuchumbiwa.
Kabila awe mchaga,mhaya, mnyakyusa, mgita,mzanaki,mmasai,mpare, mluguru,mhehe,msukuma au yeyote isipokua mrangi,mnyiamba,mmbulu.
Asanteni