Urgently!

KIDHEHA

Member
Joined
May 21, 2012
Posts
51
Reaction score
14
Habarini mimi ni kijana nina miaka 40. Nina watoto wakiume watatu ni mfanyakazi wa serikali na pia ni mfanyabiashara.
Niliachana na niliyezaa nae miaka miwili iliyopita.

Tulishindwana na bahati tulikua hatujafunga ndoa tuliishi illegally so nimetafakari kwa sasa kuishi mwenyewe siwezi nahitaji mke ila awe tayari kulea hao watoto awafanye kama wake.

Awe ni mdada kuanzia miaka 25 mpaka 30mwenye elimu atleast Degree moja na asiwe na mtoto na awe ni mdada ambaye hajawahi kolewa au kuchumbiwa.

Kabila awe mchaga,mhaya, mnyakyusa, mgita,mzanaki,mmasai,mpare, mluguru,mhehe,msukuma au yeyote isipokua mrangi,mnyiamba,mmbulu.

Asanteni
 
Wewe umeoa mpaka unao watoto watatu then unataka mke wa miaka 30 ambaye hajawah kuzaa wala kuchumbiwa, atakuwa si mtu wa kawaida basi kama kweli atakuwa anaishi kwenye community.
 
Wewe umeoa mpaka unao watoto watatu then unataka mke wa miaka 30 ambaye hajawah kuzaa wala kuchumbiwa, atakuwa si mtu wa kawaida basi kama kweli atakuwa anaishi kwenye community.

Ah ha ha ha
 
Kwa requirement zako kajaribu parokiani unaweza bahatika kupata sister wa sifa hizo ( maana hata huko ningumu kupata wa sifa hizo)
 
Kweli urgently¡¡¡¡¡¡¡¡¡¡¡¡¡¡¡¡¡.
 
Mmmmmmmmmmhh ayoo makabili ambayo huyataki yana tatizo heeeeeeeeee
 
1hour ago???

Anyway naona tangazo linarudiwa ila kupata pure cream...all the best kijana KIDHEHA
 
Last edited by a moderator:
ok atleast put ur email so some of us who cant PM we get u huko
 

Kama kuna watu selfish Duniani basi wewe upo kwenye top list ; Loh una watoto watatu na unaweka vigezo asiwe na mtoto , hiyo kama haitoshi, asiwe amewahi kuchumbiwa , even a glimpe of shame on your face?

Women: are you really this desparate ? i doubt . Na degree yako na kazi yako mtu anakwambia ukubali kufanya hao watoto wake wako (even nature doeesnt allow- u can at least make them like yours and not yours) halafu umprovie hujawahi kuchumbiwa , then sema ukoo wako kama upo in that sample size!

I assure you u ukipata mtu ujue ni the desparate fellow. Pole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…