Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 11,032
- 22,831
Kwahiyo aolewa na babu asiyemtaka??ila wahuni mtaani wakimtafuna wakamtia mimba fresh au sio! waafrica inatakiwa tuachane na mentality za kipuuzi za kumezeshwa na wazungu.
Habari za jioni ndugu yangu katika JMT. Nadhani utakuwa umefuatilia mrejesho wa serikali kuhusu hoja uliyoleta. Mara kadhaa kumekuwa na mrejesho kuhusu hatua zinazochukuliwa na serikali juu ya ajenda hii. Hata hivyo, sidhani kama ni sahihi kutotoa msaada na ushirikiano kwa hoja iliyopo sasa dhidi ya manusura ambaye anahitaji msaada kwamba, tukae kimya tu kwa kuwa bado ile hoja ya awali haijafikia mwisho.Kwani sheria ya ndoa ya serikali ya Tanzania inasemaje kuhusu ndoa kama wazazi wa binti wa miaka zaidi ya 14 wameridhia aolewe? Serikali si ilishindwa kwenye kesi ya Rebecca Gyumi kupinga ndoa za utotoni serikali ikakata Rufani ikashindwa tena ikashauriwa irekebishe sheria hiyo ya ndoa lakini mpaka hakuna muswada wowote wa wa mabadiliko ya hiyo sheria ya ndoa uliofikishwa bungeni .Kama serikali haipendi hizo ndoa za utotoni kwanini walikata rufani waliposhindwa mahakamani na Rebecca Gyumi? Haya mnayotuambia hapa ni maigizo tu,kama kweli serikali inadhamira ya dhati a basi hiyo sheria ya binti wa miaka 14 kuolewa ibadilishwe mara moja vinginevyo serikali ikae kimya tu
Muheshimiwa kwa hili pongezi nyingi zikufikie nakuahidi kukufikishia taarifa za unyanyasaji pale tu nitakapobaini watoto wanateseka sana maeneo ya vijijiniNiko hapa tayari, nimepokea, nampigia sasa hivi. Huwa napatikana binafsi kwa ujumbe kupitia simu namba 0765345777 na 0734124191. Pia siku hizi Wizara tumezindua JAMII CALL CENTER siku na saa za kazi simu na. 0734986503 na 026 2160250. Karibuni sana Wadau JF na jamii yote kwa ujumla. Umoja ni nguvu, ukatili wa kijinsia haukubaliki.
HESHIMA kitu cha buree.Oya mnyiramba kumbe upo humu!!..laeleani
Fafanua mkuu𝒖𝒎𝒆𝒊𝒃𝒊𝒘𝒂
Hata Mimi nimejishtukia balaaa.Kumbe kuna waheshimiwa humu, kuanzia leo siongei ujinga tena
Nimemvunjia heshima!?HESHIMA kitu cha buree.
#YNWA
Shukrani, ubarikiwe 🙏🏽Muheshimiwa kwa hili pongezi nyingi zikufikie nakuahidi kukufikishia taarifa za unyanyasaji pale tu nitakapobaini watoto wanateseka sana maeneo ya vijijini
Hujielewi ,kama waoAsante sana mh waziri kwa wepesi wako wa kuzingatia matatizo ya wtz kwa haraka. Mungu akubariki sana.
Ahsanteni sana Wadau wa JF kwa taarifa hii. Huu ndiyo ushirikiano wa jamii tunaohitaji. Tunashughulikia. Ahsanteni kwa mawasiliano ya namba ya simu.
Asante Sana mh.waziriNiko hapa tayari, nimepokea, nampigia sasa hivi. Huwa napatikana binafsi kwa ujumbe kupitia simu namba 0765345777 na 0734124191. Pia siku hizi Wizara tumezindua JAMII CALL CENTER siku na saa za kazi simu na. 0734986503 na 026 2160250. Karibuni sana Wadau JF na jamii yote kwa ujumla. Umoja ni nguvu, ukatili wa kijinsia haukubaliki.
Uwe na nidhamu hata kidogoOya mnyiramba kumbe upo humu!!..laeleani
Huoni ulichoandika hapo juu?Nimemvunjia heshima!?
Kwani sheria ya ndoa ya serikali ya Tanzania inasemaje kuhusu ndoa kama wazazi wa binti wa miaka zaidi ya 14 wameridhia aolewe? Serikali si ilishindwa kwenye kesi ya Rebecca Gyumi kupinga ndoa za utotoni serikali ikakata Rufani ikashindwa tena ikashauriwa irekebishe sheria hiyo ya ndoa lakini mpaka hakuna muswada wowote wa wa mabadiliko ya hiyo sheria ya ndoa uliofikishwa bungeni .Kama serikali haipendi hizo ndoa za utotoni kwanini walikata rufani waliposhindwa mahakamani na Rebecca Gyumi? Haya mnayotuambia hapa ni maigizo tu,kama kweli serikali inadhamira ya dhati a basi hiyo sheria ya binti wa miaka 14 kuolewa ibadilishwe mara moja vinginevyo serikali ikae kimya tu
Hujielewi ,kama wao
Serikali ipeleke mswada wa mabadiliko ya Sheria ya ndoa Kwa umri 14yrs ,kimsingi bint amekizi vigezo vya kuolewa miaka 17
Labda awe mwanafunzi
Kwa niaba ya wahuni hapa sumbawanga nimekutumia inbox"TAMKO LA BARAZA WAHUNI LAELA,SUMBAWANGA" Lisomwe stendi zote nchiniila wahuni mtaani wakimtafuna wakamtia mimba fresh au sio! waafrica inatakiwa tuachane na mentality za kipuuzi za kumezeshwa na wazungu.