Urembo: kwa wadada wenyeji wa mwanza

Urembo: kwa wadada wenyeji wa mwanza

mama lubango

Member
Joined
Aug 16, 2011
Posts
56
Reaction score
8
Kuna anaefaham sehemu yoyote ambayo naweza kuwapata wale wamasai wanaosokota nywele kwa rasta?
 
Kuna anaefaham sehemu yoyote ambayo naweza kuwapata wale wamasai wanaosokota nywele kwa rasta?

Nenda daraja la libert karibu na daraja la stend ya dampo,au makoroboi karibu na Tanesco,ndio Mwenge ya Mwanza.
 
Back
Top Bottom