Hiyo kazi ahitaji kijana wa chuo kikuu kama nawewe umemaliza chuo kikuu na mind kazi za namna hiyo basi elimu yetu ina matatizo makubwa, kwanza sifa za kazi hiyo ni kujua kusoma na kuandika zaidi ya hapo ni uzushi tuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.