Elections 2010 Urais sio rahisi mnafahamu wanajamii forum?

Ndugu yangu MKATAMITI hapa umechemsha vibaya. Kwanza inaonyesha wewe ni mnazi wa chama cha mafisadi. Kwa taarifa yako hoja zako nyingi hazina msingi. Unaposema Kuwa CDM ni waleta vurugu unataka kuniambia kuwa ukweli wa mambo hauujui wewe kuwa CDM imekuwa inaonewa sana lakini kwa busara ya viongozi wake imefanikiwa kutowashawishi wananchi wafanye fujo baada ya kura zao kuchakachuliwa?
Unaposema Sera za SISI EM zinatekelezeka! Ndo haya tunayaona sasa....
UMEME JUU=sera ya sisiem,,,,,,
Mikataba mibovu=sera ya sisiem......
Dowans=Sera ya sisiem................
Kuwalipa Dowans Mabiliona=sera ya sisiem na tunaona kweli inatekelezeka.......
kuuwa watu wasio na hatia=sera ya sisiem..kweli imetekelezeka.........
Mafisadi kujimilikisha ardhi=sera ya sisiem..kweli inatekelezeka
Gharama ya umemem kwenda juu=sera ya sisiem kweli inatekelezeka...
>>
 
Hakuna namna ambayo unaweza kuikoa CCM isidondoke wakati huu......someni alama za nyakati ccm imekataliwa Tanzania.... haina mwelekeo wa kumsaidia mtanzania wala Tanzania...inalinda maslahi ya watu wachache badala ya uma.... inategemea nguvu za giza kuliko ushauri wa wasomi.......
CCM Imeanguka hakauna wa kuiiniua tena......
 
ukimwi ni ugonjwa hatari lakini ni bora kuliko ccm na kikwete na mapanya wengine kama weweeee
 
yaani wewe mtoa mada ni mpuuzi kwelikweli. Hata kumdhibiti katibu wako wa chama (makamba) au personal seretary wako anayetoa siri za ofice yako (Jan Makamba) ni kazi ngumu?
 
-Hakuna kitu rahisi.
-Kutatua shida na matatizo yetu, inahitajika mipango mizuri na utekelezaji mzuri vilevile. Hapo ndio pagumu.
-JK hana mipango wala utekelezaji, period. Mfano, huwezi kuwania nafasi ya Uraisi bila kujua utakua na wizara ngapi (refer mahojiano yake na Clouds Fm, Power Breakfast)..
-Mwisho wa siku unakuja kusema "Urais sio rahisi mnafahamu wanajamii forum?".. Ukweli ni kwamba, Uraisi ni mgumu kwake kwa sababu hauwezi. Leo hii ukipewa kazi usiyoiweza utaiona ngumu kupita maelezo na utaishia kusema "Unajua bwana kazi yangu siyo rahisi kama mnavyodhania". Ukweli ni kwamba huiwezi hiyo kazi.
 
:welcome:CRAP ..NIMEAMBULIA Mungu Ibariki Tanzania !
Mungu Ibariki Afrika!

 
MKATAMITI

Kuna asilimia ngapi ya Masikini SINGAPORE iliyopata Uhuru wakati mmoja na Tanzania??

Tatizo lako una mawazo mgando ya rangi ya kijani na njano. Legea kabisa ishiwa nguvu kisha kafie mbali huko misitu ya Sadani Bagamoyo!!
 

kama sio mwehu basi ni chizi, kama ni mzima basi umetumwa..
 
((^^ wanapropaganda nao mnachakachua kuwapata, kama huyu "mliyemtuma"... sasa mnajimaliza wenyewe.
Ushauri kw ((^^: Just an apology could have soften the situation in some extent for what u have done to Tanzanians, and then think how to attack opposition parties(CDM) by well organized propaganda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…