Iyegu
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 6,276
- 12,397
Nadhani huu mchuano utakuwa mkali kuliko ule wa 2015...
Tundu Lissu kwa sasa ndiye anayeonekana kuwa mpinzani wa kweli wa awamu ya tano..
Mwanasiasa ambaye kwa sasa ana "huruma" ya jamii kutokana na yale yaliyomkuta...
Je,itakuwaje kama atagombea urais wa Tanzania 2020?
Tundu Lissu kwa sasa ndiye anayeonekana kuwa mpinzani wa kweli wa awamu ya tano..
Mwanasiasa ambaye kwa sasa ana "huruma" ya jamii kutokana na yale yaliyomkuta...
Je,itakuwaje kama atagombea urais wa Tanzania 2020?