Urais 2015, Walimu wamuunga mkono Lowassa

Urais 2015, Walimu wamuunga mkono Lowassa

Walimu? Labda Wa Sanaa za maonyesho alikuwepo miaka kibao serikali ni je nafanya nn kwa walimu acheni upofu nyie mnaopewa visenti maisha bora huja kwa kujituma na kujiwekeza na si ukubwa Wa mshahara na posho hamka kijana jipange simamia malengo yako
 
Nadhani Lowassa ndie atakuwa Rais kuanzia miezi michache ijayo.
Anaungwa mkono na wengi

Anaungwa mkono nawewe mwenye Njaa coz nafikiri NJCAA imeondoa uwezo wako wa kufikiri vema kuhusu mambo ya taifa chili....katu sitakuwa kamwe ktk kundi LA watu waliodumaa akili kwan no changes will happen
...tuachieni nchi yetu
 
Naomba mungu ccm wampitishe huyo fisadi ili tupate daraja. Na hakika ttapita juu ya mgongo wake.
 
Ally makwilo ni kijana Wa lowasa na ndiye mwenyekiti Wa team lowasa Kwa temeke,so hatushangai Kwa kuwakusanya wahuni wenzake anaowaita walimu eti wanamuunga mkono lowasa,na ijulikane kuwa huyo ally makwilo ni mwalimu Wa mbagala sec na kabla ya hapo kahamishwa shule zaidi ya tano Kwa manispaa ya temeke Kwa sababu ya utovu Wa nidhamu na hii ni ndani ya miaka 3
 
ocampo four

Yaani watu wachache wanapewa kitu
kidogo wanasimama kutoa Tamko kuunga mkono upuuzi; alipokuwa Waziri Mkuu aliwafanyia nn Walimu? uroho na uchu wa Madaraka unatafutwa kwa njia haramu; Watanzania wa sasa hawadanganyiki mjipange upya
 
Last edited by a moderator:
Hii mbinu ya kununua media ilitumika vizuri sana mwaka 2005. Bahati mbaya watu wanaofanya kampeni ni wale wale wa 2005; mbinu wanazotumia ni zile zile za 2005. Halafu wanajaribu kutuaminisha kuwa wakiingia madarakani watakuwa watu tofauti. Watu walishaishtukia hii mbinu and it wont work this time.
 
mwaka huu na huyo panya wenu mtakoma.....tumeshasema labda atoboe mtungi asepe..ila akisubiri tuje tuinamishe mtungi na tumtoe wenyewe msilaumu.....kama hamjui kusoma basi angalieni hata picha...

kweli kabisa Edson umenena
 
Naomba mungu ccm wampitishe huyo fisadi ili tupate daraja. Na hakika ttapita juu ya mgongo wake.

Na wasipompitisha kama mgombea amini nawaambieni ccm inashindwa kwenye uchaguzi maana ndiye aliyeibeba ccm vinginevyo ingeonekana imechafuka sana na utitiri wa kashfa tangu za akina kagoda n.k., n.k., hadi esrow.
 
kajenga wapi hizo sekondari za kata? mbona udom hatuambiwi kachangia senti ngapi? lowasa anawafaa watu wenye njaa wanamdanganya wapate chochote majority twafahamu yeye si kiongozi mzuri
 
lowasa katka kipind hik anakubalika tusiongee kinafk hali unaonekana tuu lowasa n chaguo la watuu haepukiki kwan ndie mwenye uwezo ya kuokoa ccm na upinzani otherwise ccm ife
 
Ally makwilo ni kijana Wa lowasa na ndiye mwenyekiti Wa team lowasa Kwa temeke,so hatushangai Kwa kuwakusanya wahuni wenzake anaowaita walimu eti wanamuunga mkono lowasa,na ijulikane kuwa huyo ally makwilo ni mwalimu Wa mbagala sec na kabla ya hapo kahamishwa shule zaidi ya tano Kwa manispaa ya temeke Kwa sababu ya utovu Wa nidhamu na hii ni ndani ya miaka 3
umekula maharage ya wapiiiii
 
ocampo four

Wahuni tu hao, kama ni walimu kweli wameamua kumuunga mkono huyo Bwana wa Monduli,Chama cha Walimu Tanzania kingetoa tamko la kumkubali, lakini genge dogo la wahuni wamejiita

walimu ili tu ionekane Walimu wanamkubali Low as a.
 
Last edited by a moderator:
Teachers have now become a scarce commodity, natamani ningeona demand and supply curve yao
 
Hivi, ndiyo hawa waalimu waliokuwa wakitaabika wakati wa enzi zake kama PM aliposema "hata kama nyasi tutakula"( lakini ndege ya Rais inunuliwe?"
Uwongo huu hata shetani hawezi kuusema Lowassa hajawahi hata siku moja kutamka maneno hayo bali yule aliyefungwa jana ndo aliyetamka.
Pia waalimu hawana tena mvuto, wenyewe hawajitambui hivyo impact ya waalimu wa siku hizi ambao wamegeuka wasaka tonge haina mashiko.

 
Gazeti la Nipashe linazidi kujishushia heshima yake. Sura halisi ya Mengi inaanza kuonekana.
 
Back
Top Bottom