Urais 2015, Rushwa vyaitesa CHADEMA

kwa chama makini,huu ni wakati muafaka wa kuanza kuandaa mgombea wa urais
na si wale wanaojiandaa wenyewe na kuanza kupayuka payuka hovyo kuwa wanafaa kuwa marais bila ya kuandaliwa na chama makini.
 

kuna umafia zaidi ya kupeleka watu mabwepande?
 
hakusema atagombea mwaka 2015, anautaka urais, na anajua hana sifa na ndio maana anaomba kupewa
 
hakuna chama duniani ambacho hakina makundi duniani. hata nchi za magharibi kunakuaga na makundi. nakumbuka 2008 obama na mama clinton walikua na makundi yao. lakini tofauti ya sisi na wao ni
wao wanauchaguzi wa haki na usawa. huku ccm watatumia fedha chafu. chadema watahakikisha lazima mtu wa kaskazini ashinde.kwa ujumla nchi zetu zina udini naukabila,
 

Haha....Bado hujaweka Nyanda za Juu kusini(Msigwa na Sugu), Kati ukanda wa Singida(Lissu), kwani hao ni vinara wa Kanda zao na nchi nzima.

Unajua hofu mara nyingine zintokana na kutojua..ndio maana wazee wetu walikuwa wakitambika wakati radi zikipiga, wenzetu walikuwa wakifanya earthing.Sishangai ukipokea kirahisi habri za kuchekesha kuhusu CDM.Mbona kwa CCM sasa hivi familia imeamua na kutangaza wazi hakuna wa Kaskazini kushika nchi?Hujaweza ona hilo?
 
TandaleOne mawazo yako na mwigulu ni sawa kabisa au ndio wewe mchemba mwenyewe ,endelea kuficha id yako
 
Hivi kwa enzi hizi unafikiri kwa mawazo ya kizee kama haya utaisambaratisha CDM! Kajipange upya na mbinimpya zaidi!
 
Unaonekana kama si mzee basi unamawazo ya kizee, na mbinu za kizamani, huwezi kushawishi! In short you are myopic!
 

This is rubbish kama huna cha kusema afadhali ukalale
 
bado naamini kabisa kambi ya upinzani.inakazi kubwa sana kujipanga ili kutoa mgombea wa 2015, so far nikionacho humu ni matusi na kejeli kwa kila atakae jaribu kugusa suala hili hasa upande wa CMD, tumieni hoja na vielelezo kufikisha points zenu na sio kejeli na matusi.
 
TUNTEMEKE
anajua yote ya wizi wa dr.slaa na mbowe Jana kaweka uzi hapa wa kufichua namna dr slaa alivyo vunja katiba akamchambua vizuri sana.Mods wakaiondoa haraka sana waliogopa umma utajua namna dr.slaa alivyokosa sifa za uanachama
 
kwa chama makini,huu ni wakati muafaka wa kuanza kuandaa mgombea wa urais

kiongozi haandaliwi,ndo yaleyale ya dr slaa kusema kwamba hakutaka kugombea ila aliombwa,sasa kuna maan gani kuwa na kiongoz asie na uthubutu?uongozi ni uthubutu,uwezo na mvuto wa kisiasa kwa jamii.zitto ameonyesha uthubutu ,uwezo na ana mvuto kwa makundi yote ya jamii.kiongoz ni yule anaejitathimini na kujiandaa kuingia ulingoni
 

Zitto ndo anauweza uraisi,, achaneni na hao wegne,,,
 
Mimi nilijua tu huyu babu anaoa lazima akifilisi chama na ndo dalili za michango kila Kukicha
 

wewe ikome kagera, wanakagera siyo wajinga kiasi cha kumsupport mzandiki na mnafiki kama zzk tuna heshima zetu na usithubutu tena kutudharirisha. Hebu mwone!
 
wewe ikome kagera, wanakagera siyo wajinga kiasi cha kumsupport mzandiki na mnafiki kama zzk tuna heshima zetu na usithubutu tena kutudharirisha. Hebu mwone!

shemeji lazima umsupport slaa kwa sababu nyumba za mzee zote kaweka jina la dada yenu.katelelo noma mzee hapindui wala hachomoi.nasikia alikuja huko kagera vp mlimpa senene!bigup sana mshumbusi indelea kumlea babu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…