OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
Kwa mara nyingine wajumbe mbali mbali wa halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi wamezidi kukemea uhuni unaofanywa na baadhi ya makada wa chama hicho hasa Nape, kwa kutoa kauli za uchonganishi na bila kufata utaratibu na kanuni za chama.
Naomba nisiongee sana, pitia attachement hapo chini.
Asanteni
Ocampo four
Naomba nisiongee sana, pitia attachement hapo chini.
Asanteni
Ocampo four