Urais 2015: Khamis Mgeja atema cheche

Urais 2015: Khamis Mgeja atema cheche

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
437
Kwa mara nyingine wajumbe mbali mbali wa halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi wamezidi kukemea uhuni unaofanywa na baadhi ya makada wa chama hicho hasa Nape, kwa kutoa kauli za uchonganishi na bila kufata utaratibu na kanuni za chama.

Naomba nisiongee sana, pitia attachement hapo chini.
attachment.php

attachment.php

attachment.php

Asanteni
Ocampo four
 
Nape ni mhuni na mkora...... Walai jk asipoangalia chama kitamfia mkononi.... Please Mkapa, Mwinyi, Kingunge njooni muokoe chama.....
 
Nape hana madhara.... Huyu sii ndiyo 2005 alisema Jakaya ana ngoma hawezi kuwa rais, leo mbana kabaki na aibu.... Shame on him..... Asante Mgeja kwa tamko lako.... Na Nec mume imara kabisa kabisa
 
Hii ndiyo Bongo Darisalam...lol!

Ni kuganga njaa kwa kwenda mbele. Kwa haraka ya mshiko hata hakuwa na muda wa kuhariri taarifa yake!
 
Nani asiyejua kuwa Khamis Mgeja ni mtumishi wa Edward Lowassa? Alichosema Nape kinawauma na ni kweli, kwa jinsi Watanzania walivyochoka na ufisadi, CCM ikifanya kosa kumteua mgombea urais ambaye hasafishiki hata kwa dodoki kama Lowassa basi ijue kuwa imekabidhi funguo za Ikulu kwa UKAWA.
 
Kweli kabisa?

Huyu Kibabu wa Shinyanga yuko kundi gani vile?

May be you are right and may be I am wrong!!

Swala siyo yuko kundi gani, issue kubwa ni uhai wa chama..... Au wewe ni chadema nini, unataka ccm ife babu Slaa achukue nchi.....
 
Nani asiyejua kuwa Khamis Mgeja ni mtumishi wa Edward Lowassa? Alichosema Nape kinawauma na ni kweli, kwa jinsi Watanzania walivyochoka na ufisadi, CCM ikifanya kosa kumteua mgombea urais ambaye hasafishiki hata kwa dodoki kama Lowassa basi ijue kuwa imekabidhi funguo za Ikulu kwa UKAWA.

Tokea lini kawa mtumishi wa Lowassa, acha kuongea kama mwanamke mpumbavu (mke wa Ayubu)...... Nape hana cha kupoteza ndani ya ccm kwa sababu ana chama alichokianzisha ccj.....
 
Nape ni mhuni na mkora...... Walai jk asipoangalia chama kitamfia mkononi.... Please Mkapa, Mwinyi, Kingunge njooni muokoe chama.....

Kwa kweli hawa wazee watusaidie kukiokoa chama, manake tunapoelekea watu kama Nape, Mangula watakiuwa chama.....
 
Majitu mengine yanakuwa akili choooni unafikili mgeja alichokisema ni uongo huyu nape analopoka lopoka sana kikao chachama kinasema hivi yeye anaongeza ya kwake mgeja kama wewe humjui sisi tunamjua haongopi mtu hapo katoa ukweli mtupu
 
Majitu mengine yanakuwa akili choooni unafikili mgeja alichokisema ni uongo huyu nape analopoka lopoka sana kikao chachama kinasema hivi yeye anaongeza ya kwake mgeja kama wewe humjui sisi tunamjua haongopi mtu hapo katoa ukweli mtupu

Kweli kabisa mkuu... Nape ana tabia ya kuongeza na maneno yake, kwa mfano dhana ya vua gamba alifanya upotoshaji mkubwa sana.... Nape ni mburulah namba moja....
 
Timua Nape, Timua Membe, Timua Pinda... Hawa hawajui CCM ilikotoka bali wameigeuza Genge la Fitna na Majungu .. Nape kila akifungua kinywa chake lazima amchafue Lowassa! Sijui ilikuwaje hawa walio anzisha CCK waendelee kupeta ndani ya CCM... Soon kutakuwa na Vita vikali sana kati ya CCM halisi na CCM maslahi ... Nape ajiandae kufungasha Virago ... Makonda et al wajiandae kuadabishwa ndani na nje ya chama...
 
Timua Nape, Timua Membe, Timua Pinda... Hawa hawajui CCM ilikotoka bali wameigeuza Genge la Fitna na Majungu .. Nape kila akifungua kinywa chake lazima amchafue Lowassa! Sijui ilikuwaje hawa walio anzisha CCK waendelee kupeta ndani ya CCM... Soon kutakuwa na Vita vikali sana kati ya CCM halisi na CCM maslahi ... Nape ajiandae kufungasha Virago ... Makonda et al wajiandae kuadabishwa ndani na nje ya chama...

Well said chief.... Ila kwa hakika hii vita wanayojaribu kupigana ni ngumu na hawatashinda hata kidogo.... Baba yao Membe, Sitta na Mwandosya ndiyo wanawatuma hawa vibaraka vijana....
 
Hii ndiyo Bongo Darisalam...lol!

Ni kuganga njaa kwa kwenda mbele. Kwa haraka ya mshiko hata hakuwa na muda wa kuhariri taarifa yake!


Mkuu hakuna kuhariri hapo. Nimecheka sana kuona kinaitwa chama chetu cha ccm, badala ya chama cha mapinduzi.
 
Nape hana madhara.... Huyu sii ndiyo 2005 alisema Jakaya ana ngoma hawezi kuwa rais, leo mbana kabaki na aibu.... Shame on him..... Asante Mgeja kwa tamko lako.... Na Nec mume imara kabisa kabisa

Tusilaumiane,mbona yeye aliita wenzie Hisbu!
 
Back
Top Bottom