Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,104
- 5,665
Jamani naomba msaada ili nijue uraia wangu.
Nimezaliwa mwaka 2011 mkoani Pwani.
Nimesikia baadhi ya watu wakiniita mtanzania eti nimezaliwa katika JMT.Na mimi nakubali.
Wengine wananiita mtanganyika wakisema eti nimezaliwa ndani ya Tanganyika iliyozaliwa kisiri kwa mara ya pili baada ya kuzaliwa Zanzibar miaka kama mwaka mmoja nyuma kupitia mabadiliko ya katiba ya Zanzibar.
Hivyo nami pia nakubali.Sasa je,ina maana mimi na wenzangu wengi tuna uraia wa nchi mbili ndani ya nchi moja?
Nimesikia kuwa huku ---- ma-great thinkers wanaoweza kunisaidia ndio maana nimekuja huku.URAIA WANGU UKOJE KIUHALISIA?
Nimezaliwa mwaka 2011 mkoani Pwani.
Nimesikia baadhi ya watu wakiniita mtanzania eti nimezaliwa katika JMT.Na mimi nakubali.
Wengine wananiita mtanganyika wakisema eti nimezaliwa ndani ya Tanganyika iliyozaliwa kisiri kwa mara ya pili baada ya kuzaliwa Zanzibar miaka kama mwaka mmoja nyuma kupitia mabadiliko ya katiba ya Zanzibar.
Hivyo nami pia nakubali.Sasa je,ina maana mimi na wenzangu wengi tuna uraia wa nchi mbili ndani ya nchi moja?
Nimesikia kuwa huku ---- ma-great thinkers wanaoweza kunisaidia ndio maana nimekuja huku.URAIA WANGU UKOJE KIUHALISIA?