Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Baada ya CHADEMA kupiti kwa mgombea wake Joshua Nassari kumpinga Siyoi kuwa siyo raia wa Tanzania, Mkurugenzi wa Uchaguzi jimbo la Arumeru ametupilia mbali pingamizi iliyowekwa na wagombea wa upinzani. Hata hivyo Nassari amekata rufaa tume ya uchaguzi ngazi ya taifa. Amesisitiza vielelezo vyote vipo wazi kuwa Siyoi Sumari siyo Raia wa Tanzania. Source TBC1