Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,919
- 31,161
- Thread starter
- #21
Chenge shule yake kali sana kama ya Obama na Baba yake - Wote wamesoma chuo kimoja.
Pamoja na Chenge kusoma shule nzuri sana na kuwa Mwanasheria mzuri, badala apiganie awe Rais wa nchi kama Obama, yeye anapigania KUIIBIA nchi yake. Kama shule zenyewe ndiyo hizi, sijui zinawasaidia vipi.................
Msuya niliambiwa kwa hesabu alikuwa mzuri sana, kaishia tu kuungza BoT zetu.
CCM wasomi kibao lakini ndani ni kama Maboga, vimbegumbegu tu, heheheeee ..................
Heshima kwako Sikonge,
Mkuu wangu nakuheshimu sana jaribu kuungani dot.
[1] Godbless Lema alitakiwa kusema kweli kuhusu elimu yake.Katiba ya JMT iko wazi kabisa,mgombea ubunge na udiwani [urais sina hakika]anatakiwa ajue kusoma na kuandika.Nina hakika G Lema ana vigezo hivyo hakuwa na sababu za msingi kujipachika elimu asiyokuwa nayo.
[2] Ni kosa la jinai kudangaya au kufoji elimu sidhani ninatakiwa kutoa maelezo marefu ili uelewe.
[3] Ikiwa Lema anadangaya mambo madogo kama haya tena bila sababu za maana je unadhani atakuwa mwakilishi mzuri ?.
[4] Suala la Lema halina uhusiana wowote na picha alizozibandika Kachanchabuseta.Hana hoja hakutegemea hii maneno ya Lema ingetia timu jamvini.
NB;Tayari vyama vya CCM,CUF,demokrasia makini na TLP vina andaa utaratibu wa kutoa mkanda wa mdahalo wa TBC1 ili watu wengi wajionee wenyewe Lema alivyosema uongo.Pia taratibu za kumburuza mahakani haziko mbali.