Habari wana JF.Ni miaka minne na nusu sasa toka niachane na mume wangu,cjawa na mahusiano mengine yoyote kwa kuogopa kuumizwa tena.Lakini kadri siku ziendavyo najihisi mpweke sana,na bado nina woga wa kuumizw.naomba nisaidieni mawazo,nifanyeje?
Habari wana JF.Ni miaka
minne na nusu sasa toka niachane na mume wangu,cjawa na mahusiano
mengine yoyote kwa kuogopa kuumizwa tena.Lakini kadri siku ziendavyo
najihisi mpweke sana,na bado nina woga wa kuumizw.naomba nisaidieni
mawazo,nifanyeje?
Habari wana JF.Ni miaka minne na nusu sasa toka niachane na mume wangu,cjawa na mahusiano mengine yoyote kwa kuogopa kuumizwa tena.Lakini kadri siku ziendavyo najihisi mpweke sana,na bado nina woga wa kuumizw.naomba nisaidieni mawazo,nifanyeje?
Habari wana JF.Ni miaka minne na nusu sasa toka niachane na mume wangu,cjawa na mahusiano mengine yoyote kwa kuogopa kuumizwa tena.Lakini kadri siku ziendavyo najihisi mpweke sana,na bado nina woga wa kuumizw.naomba nisaidieni mawazo,nifanyeje?
Alafu wewe unaogopa wanaume wasio na kazi kama mimi wakati sisi ndio wanaume wazuri kwa ndoa?? Eti tunalala! hutaki tulale? tunalala na kila kitu mnatupa,ebo!