Upuuzi wa Wabunge wetu wa Tanzania!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Nchi nzima kuna Timu mbili tu Yanga na Simba, hata kama Yanga/ Simba wakienda kucheza Mkoani tuseme labda Mbeya dhidi ya Timu ya Mbeya Uwanja utajaa wapenzi wa Yanga/Simba badala ya timu ya Mkoa wa Mbeya hii ni ajabu sana haitokei sehemu nyingine yoyote ile Dunia hii na inaonyesha jinsi tusivyoelewa kuhusu hii Dunia kwamba tupo tupo tu!

Dunia nzima ukisikia Klabu ya Mpira maana yake ni kwamba Washabiki wa Timu hiyo ni wenyeji wa hilo eneo, lkn haiwezekani mtu amezaliwa na kukulia Tunduru, Kigoma au sijui Muheza lkn yeye ni shabiki wa kufa wa Simba/Yanga za Dar huu ni ujuha!

Sasa cha kustaajabisha zaidi Wabunge wetu wakiongozwa na Zito Kabwe &Co. ambao ndiyo wanaopaswa kuwa mfano wa kuigwa nao pia ni mashabiki na Wanachama wa Timu za Yanga na Simba, kwani Zito Kigoma hakuna football Club? Ni kwa nini wewe na wenzako ni mashabiki wa Yanga/Simba? Kwani ninyi hapa Dar ni kwenu?

Sasa naelewa kwanini Brazili walivyokuja kucheza dhidi ya Timu yetu ya Taifa Watanzania walikuwa wanaishangilia Brazili badala ya Timu yetu ya Taifa, huu ni zaidi ya ujuha, na inaonyesha jinsi gani tusivyo hata elewa kama tunafahamu tunapokwenda, tunawezaje kujenga Nchi na kuendelea kwa kushindana na Mataifa mengine kwa tabia kama hii?

Simba!
3.+Kikosi+cha+Simba.JPG


Yanga!
proxy
 
Mkuu hii sheria inapatikana wapi?
Kwa mawazo yangu haifai kabisa hata kujaribiwa maana itatoka kwenye football mwishowe itafika kwenye siasa.......kwamba tutakuwa tunachagua viongozi kwa misingi ya huyu ni wanyumbani badala ya kuangalia uwezo wa mtu.
 
Zitto & Co............Kwanini usiseme Mwigulu & Co,ama Nappe & Co...
Chuki binafsi hazijengi........
 
Mkuu hii sheria inapatikana wapi?
Kwa mawazo yangu haifai kabisa hata kujaribiwa maana itatoka kwenye football mwishowe itafika kwenye siasa.......kwamba tutakuwa tunachagua viongozi kwa misingi ya huyu ni wanyumbani badala ya kuangalia uwezo wa mtu.


Labda haujanielwa nilichomaanisha, ni kwamba ni kwa nini nchi nzima tunakuwa wapenzi waTimu mbili tu yaani Yanga/Simba? Je Ligi yetu ina maana gani sasa kama watu wote Mikoani wote ni wapenzi wa Yanga/Simba? Uliona wapi ujuha kama huu?
 
Zitto & Co............Kwanini usiseme Mwigulu & Co,ama Nappe & Co...
Chuki binafsi hazijengi........


Nimesema Wabunge wetu hivyo wamo wote humo, nimetolea mfano Zito Kabwe kwa maana yye kama Mbunge wa Upinzani na anayejinasibu kama mtu wa mabadiliko na aliyeitembea hii Dunia sikutegemea na yeye afanye ujinga kama huu!
Kama yeye ni Mwakilishi wa Kigoma ina maana kwao ni Kigoma ni kwa nini asiwe Mwanachama wa Timu ya Kigoma?
 
Nimesema Wabunge wetu hivyo wamo wote humo, nimetolea mfano Zito Kabwe kwa maana yye kama Mbunge wa Upinzani na anayejinasibu kama mtu wa mabadiliko na aliyeitembea hii Dunia sikutegemea na yeye afanye ujinga kama huu!
Kama yeye ni Mwakilishi wa Kigoma ina maana kwao ni Kigoma ni kwa nini asiwe Mwanachama wa Timu ya Kigoma?
Wacha porojo na chuki binafsi,Una uhakika gani hashiriki kwenye maendeleo ya jimbo katika nyanja ya michezo?Ni nani alikwambia ukiwa shabiki wa timu moja basi automatically hutaishabikia nyingine?..
 
Dunia nzima ukisikia Klabu ya Mpira maana yake ni kwamba Washabiki wa Timu hiyo ni wenyeji wa hilo eneo, lkn haiwezekani mtu amezaliwa na kukulia Tunduru, Kigoma au sijui Muheza lkn yeye ni shabiki wa kufa wa Simba/Yanga za Dar huu ni ujuha!
Mjomba umefanya utafiti lkn mana Barcelona ina mashabiki hadi China ..mpira ni burudani mtu halazimishwi kupangiwa timu ya kushabikia yy ndo huwa anachagua timu anayoona inamfurahisha!
 
Mjomba umefanya utafiti lkn mana Barcelona ina mashabiki hadi China ..mpira ni burudani mtu halazimishwi kupangiwa timu ya kushabikia yy ndo huwa anachagua timu anayoona inamfurahisha!


Hata mtu pia halazimishwa kununua bidhaa ya inayotengenezwa nchini mwake, mtu halazimishwi kuipenda familia yake, mtu halazimishwi kupenda Wazazi wake kuna watu wanawachukia pia Wazazi wao lkn Binadamu wa kawaida na mwenye akili za kawaida hupenda kwao na kuthamini chake!

Unachanganya mambo Barcelona kupendwa Uchina haimaanishi kwamba Barcelona inapendwa na Wachina klk Timu ya Uchina na hiyo ndiyo tofauti, yaani kwa Mfano Timu ya Taifa ya Uhispania ikicheza dhidi ya Timu ya Taifa ya Uchina ndani ya ardhi ya Uchina huwezi kuona Wachina wakifurika Uwanjani kuishangilia Uhispania na kuizomea Timu yao ya Taifa kama tufanyavyo sisi mara kwa mara, na hiyo ndiyo tofauti!
 
Mpira ni burudani na hauna uhusiano na siasa ndio maana hata sheria za FIFA huwa hawahusishi kabisa na siasa
 
Nadhani umeanza kuwajua wabunge wa ccm ni kiasi gani wajinga, maana zitto ndo anaowaongoza
 
Jamaa Muongo kweli wewe,Sijui haya Mpira umeanza kuujua lini.
Mfano ni Man U.
Ukiona Manchester inacheza na Chelsea basi jua zaidi ya 30% ya mashabiki wanatoea Mji wa Chelsea.

Mifano yako ya kimaiti maiti vile,kama vile Panya road aliefufuka na kuleta habari za Kuzimu.

Ungejiuliza kwanza Kwanini Team ya Taifa ya Brazil Au Argentina,inapenda sana na Mashabiki wa Nchi nyingine?Na kwanini wasipende Nchi zao.

Mpira na falsafa ya mpira ni tofauti kabisaa na ulichoandika.Nyie ndio mkipewa vyama vya michezo hata vya mtaa mnakuja na sheria zenu.

Majuha watakuwa Wengi kwa hili
Maana hata Freeman Mbowe alishangilia team sio yake,na kwao Taabani kisoka

Kupenda ni Hiari,mbona watu hasa Bavocha hawampendi Magufuli wakati ndio Raisi wao,na kuna watu Nje ya Tanzania wanampenda Magufuli kwa hisia Zao.
 
Back
Top Bottom