upuuzi wa ccm na VIBARAKA WAKE;

upuuzi wa ccm na VIBARAKA WAKE;

PRINCE CROWN

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,210
Reaction score
4,182
Ndugu,wana jf wenzangu nina mambo ya kuwa shirikisha tuyatafakari na kuwaeleza jamii inayo tuzunguka juu ya [upuuzi wa ccm na vibaraka wake,] napenda nilizungumzie tukio la soweto arusha,ambalo ccm na vibaraka wake, wanalitumia kama karata yao ya turufu kutugawa baadhi yetu wenye uelewa mdogo, nitaelezea kwa kina mambo haya,kwanza tuanze tathimini ya jiji la arusha na hali ya kisiasa kusema kweli chadema inanguvu sana arusha mjini uo ndio ukweli inakubalika kote arusha ndio maana hata kampeni zao za udiwani zilikua na umati mwingi wa watu kuliko chama chochote,atakaye kubisha atabisha ukweli ndio uo, na hata uchaguzi wa udiwani chadema itachukua kata zote tena kwa kishindo kikubwa sana,na hii ikowazi kabisa kwa mazingira ya wana arusha kukipenda chama chao, mtakumbuka mwaka jana kulikua na uchaguzi mdogo kule daraja2 na kata ilikua ya ccm chadema ikashinda tena kwa kishindo,naomba nilielezee tukio la soweto na kilicho nyuma ya panzia,siku ya kufunga kampeni ccm ilikua kwa cheusi cuf ilikua ikenywa studio chadema ilikua soweto,maudhurio ccm watu walikua hawazidi hata 150 cuf nao vile vile maudhurio yalikua hafifu,chadema kwa kweli jiji la arusha lili amia soweto kulikua na mafuriko ya watu wa kutisha kwa anaye ufahamu uwanja wa soweto kuna viwanja 2 vyote vilikua vimejaa watu hakuna hata sehemu ya kupumua, sasa utasema chadema arusha haikubaliki? Wa swahili wanasema dalili ya mvua ni mawingu, kama ccm inakubalika situnge ona mahudhurio ya watu kwenye kampeni zao? Sasa nalisema hili watu walijue,ccm wanausika 100 na tukio la soweto na lengo lao ni kukilinda kiti cha meya wa arusha uo ndio ukweli wa mambo, ccm ina madiwani 11 chadema ina madiwani 7 chadema ikishinda kata zote itakua na madiwani 11 wataongezewa viti maalum 1 watakua 12 ongezea na wabunge wa 3 watakua 15 sasa hapo ccm itakua na meya tena? Sasa utajua ni kwa nini ccm ilifanya tukio ili, na kuwa tumia wakina mtikila, na kuongea bungeni kwa lengo la kuichafua chadema, ili idhoofike arusha wapate hata kata1 kumlinda meya wao, wana jf na wahakikishi harusha msiwe na hofu j2 mtafurai ccm watapata aibu ya kitisha, na waasa watu wasio wakazi wa arusha wanyamaze wa waache watu wa arusha waongee, karibuni mchangie,
 
Kwanza nenda shule ukajifunze kuandika jambo na kulipa shape ya kueleweka kwa wasomi na waelewa,nashukuru umesema una uelewa mdogo,lakini ndani ya CHADEMA kuna waelewa wengi tena chuo kikuu,jitahidi wakati mwingine waone wakusaidie ku-shape stori yako then leta humu.Humu kuna Great Thinkers kibao sasa unapokuja na uelewa wako mdogo unazidi kujiaibisha pamoja na kwamba una jambo muhimu!

La pili sikiliza wewe Dogo mwenye uelewa Mdogo,hakuna ubishi kwamba Chadema inakubalika Arusha,na hakuna Ubishi kwamba Chadema haiongozi Arusha,hilo liko wazi na kwa watu wenye akili kubwa na uelewa kama sisi tunalitambua hilo,isipokuwa tatizo ni kwamba hakuna amani Arusha.

Kwa maelezo yangu hapo juu na kwa nguvu iliyonayo CHADEMA mjini Arusha nilitegemea sana kupata matokeo chanya na viongozi wake walipaswa kutumia mwanya huo kuliweka jiji la Arusha katika ramani nzuri kwa sababu kuna faida nyingi kwenye jiji hilo na moja kubwa ni kwamba ni jiji linaloingilika sana na wageni kutoka nje ya nchi,sasa wangetumia kuweka kila kitu sawa ikiwa ni pamoja na siasa zake zinazoongozwa na Chadema ili wageni wapate la kusema.

Kibaya sana na kinachonishangaza ni kiwamba kila vurugu na mauaji ya watu ni lazima zitokee kwenye mkutano wa chadema,ok.yawezekana ni wapinzani wao CCM ndio wanaowafanyia hivyo ili waonekane wana vurugu,lakini kwa sababu kuna watu wengi ndani ya Chadema ni Great Thinker walipaswa kubadili mbinu na kutumia mbinu nyingine katika kufanya siasa zao.

Leo hii hata wageni wanaobahatika kuingia Arusha na kushuhudia matukio hayo,wanaondoka na sura kwamba Chadema ndio wakiorofi.nasema sipendi,sipendi sipendi kabisa.
 
Mbarikiwe baraka ya ibrahimu enyi wana wa arusha.
 
Kwanza nenda shule ukajifunze kuandika jambo na kulipa shape ya kueleweka kwa wasomi na waelewa,nashukuru umesema una uelewa mdogo,lakini ndani ya CHADEMA kuna waelewa wengi tena chuo kikuu,jitahidi wakati mwingine waone wakusaidie ku-shape stori yako then leta humu.Humu kuna Great Thinkers kibao sasa unapokuja na uelewa wako mdogo unazidi kujiaibisha pamoja na kwamba una jambo muhimu!

La pili sikiliza wewe Dogo mwenye uelewa Mdogo,hakuna ubishi kwamba Chadema inakubalika Arusha,na hakuna Ubishi kwamba Chadema haiongozi Arusha,hilo liko wazi na kwa watu wenye akili kubwa na uelewa kama sisi tunalitambua hilo,isipokuwa tatizo ni kwamba hakuna amani Arusha.

Kwa maelezo yangu hapo juu na kwa nguvu iliyonayo CHADEMA mjini Arusha nilitegemea sana kupata matokeo chanya na viongozi wake walipaswa kutumia mwanya huo kuliweka jiji la Arusha katika ramani nzuri kwa sababu kuna faida nyingi kwenye jiji hilo na moja kubwa ni kwamba ni jiji linaloingilika sana na wageni kutoka nje ya nchi,sasa wangetumia kuweka kila kitu sawa ikiwa ni pamoja na siasa zake zinazoongozwa na Chadema ili wageni wapate la kusema.

Kibaya sana na kinachonishangaza ni kiwamba kila vurugu na mauaji ya watu ni lazima zitokee kwenye mkutano wa chadema,ok.yawezekana ni wapinzani wao CCM ndio wanaowafanyia hivyo ili waonekane wana vurugu,lakini kwa sababu kuna watu wengi ndani ya Chadema ni Great Thinker walipaswa kubadili mbinu na kutumia mbinu nyingine katika kufanya siasa zao.

Leo hii hata wageni wanaobahatika kuingia Arusha na kushuhudia matukio hayo,wanaondoka na sura kwamba Chadema ndio wakiorofi.nasema sipendi,sipendi sipendi kabisa.

Chukua mavi changanya na mkojo ...korogaaaa saaaana halafu weka kwenye darubini na upime then utajionea ugonjwa ulionao
 
Kwanza nenda shule ukajifunze kuandika jambo na kulipa shape ya kueleweka kwa wasomi na waelewa,nashukuru umesema una uelewa mdogo,lakini ndani ya CHADEMA kuna waelewa wengi tena chuo kikuu,jitahidi wakati mwingine waone wakusaidie ku-shape stori yako then leta humu.Humu kuna Great Thinkers kibao sasa unapokuja na uelewa wako mdogo unazidi kujiaibisha pamoja na kwamba una jambo muhimu!

La pili sikiliza wewe Dogo mwenye uelewa Mdogo,hakuna ubishi kwamba Chadema inakubalika Arusha,na hakuna Ubishi kwamba Chadema haiongozi Arusha,hilo liko wazi na kwa watu wenye akili kubwa na uelewa kama sisi tunalitambua hilo,isipokuwa tatizo ni kwamba hakuna amani Arusha.

Kwa maelezo yangu hapo juu na kwa nguvu iliyonayo CHADEMA mjini Arusha nilitegemea sana kupata matokeo chanya na viongozi wake walipaswa kutumia mwanya huo kuliweka jiji la Arusha katika ramani nzuri kwa sababu kuna faida nyingi kwenye jiji hilo na moja kubwa ni kwamba ni jiji linaloingilika sana na wageni kutoka nje ya nchi,sasa wangetumia kuweka kila kitu sawa ikiwa ni pamoja na siasa zake zinazoongozwa na Chadema ili wageni wapate la kusema.

Kibaya sana na kinachonishangaza ni kiwamba kila vurugu na mauaji ya watu ni lazima zitokee kwenye mkutano wa chadema,ok.yawezekana ni wapinzani wao CCM ndio wanaowafanyia hivyo ili waonekane wana vurugu,lakini kwa sababu kuna watu wengi ndani ya Chadema ni Great Thinker walipaswa kubadili mbinu na kutumia mbinu nyingine katika kufanya siasa zao.

Leo hii hata wageni wanaobahatika kuingia Arusha na kushuhudia matukio hayo,wanaondoka na sura kwamba Chadema ndio wakiorofi.nasema sipendi,sipendi sipendi kabisa.

nimeongea na machalii wa A town wanasema arusha ni yao mgeni anayekimbia kwa sababu za kukosekana kwa utulivu kunakosababishwa na ccm kung'ang'ania dola hakubadilishi msimamo wao juu ya arusha yao, ni jukumu la wageni ikiwemo ccm kuwaheshimu wao kwanza ndipo waikodolee macho arusha yenyewe.

maoni yao;
hata mkitega au kurusha mabom elfu kwa mkutano wa CDM, hawata acha kuhudhuria mikutano ya CDM.

Hata mkiihusisha vipi CHADEMA na uhalifu wa ccm, CHADEMA ndicho chama tunakiunga mkono mwanzo mwisho, inyeshe mvua liwake jua.

"MUNGU hanywi chai"
 
Chukua mavi changanya na mkojo ...korogaaaa saaaana halafu weka kwenye darubini na upime then utajionea ugonjwa ulionao

Kwa sababu ndiyo akili yako kama ulivyo-Prove siku ile,ndiyo maana unawashauri wenzio wafanye hivyo,baki na akili zako hizo za mavi na mkojo.Jambaka Mkubwa wewe!
 
nimeongea na machalii wa A town wanasema arusha ni yao mgeni anayekimbia kwa sababu za kukosekana kwa utulivu kunakosababishwa na ccm kung'ang'ania dola hakubadilishi msimamo wao juu ya arusha yao, ni jukumu la wageni ikiwemo ccm kuwaheshimu wao kwanza ndipo waikodolee macho arusha yenyewe.

maoni yao;
hata mkitega au kurusha mabom elfu kwa mkutano wa CDM, hawata acha kuhudhuria mikutano ya CDM.

Hata mkiihusisha vipi CHADEMA na uhalifu wa ccm, CHADEMA ndicho chama tunakiunga mkono mwanzo mwisho, inyeshe mvua liwake jua.

"MUNGU hanywi chai"

Sawa tu lakini kuna haja wakati mwingine wa kufikiri kwa kutumia kichwa,sio miguu!
 
kwanza nenda shule ukajifunze kuandika jambo na kulipa shape ya kueleweka kwa wasomi na waelewa,nashukuru umesema una uelewa mdogo,lakini ndani ya chadema kuna waelewa wengi tena chuo kikuu,jitahidi wakati mwingine waone wakusaidie ku-shape stori yako then leta humu.humu kuna great thinkers kibao sasa unapokuja na uelewa wako mdogo unazidi kujiaibisha pamoja na kwamba una jambo muhimu!

La pili sikiliza wewe dogo mwenye uelewa mdogo,hakuna ubishi kwamba chadema inakubalika arusha,na hakuna ubishi kwamba chadema haiongozi arusha,hilo liko wazi na kwa watu wenye akili kubwa na uelewa kama sisi tunalitambua hilo,isipokuwa tatizo ni kwamba hakuna amani arusha.

Kwa maelezo yangu hapo juu na kwa nguvu iliyonayo chadema mjini arusha nilitegemea sana kupata matokeo chanya na viongozi wake walipaswa kutumia mwanya huo kuliweka jiji la arusha katika ramani nzuri kwa sababu kuna faida nyingi kwenye jiji hilo na moja kubwa ni kwamba ni jiji linaloingilika sana na wageni kutoka nje ya nchi,sasa wangetumia kuweka kila kitu sawa ikiwa ni pamoja na siasa zake zinazoongozwa na chadema ili wageni wapate la kusema.

Kibaya sana na kinachonishangaza ni kiwamba kila vurugu na mauaji ya watu ni lazima zitokee kwenye mkutano wa chadema,ok.yawezekana ni wapinzani wao ccm ndio wanaowafanyia hivyo ili waonekane wana vurugu,lakini kwa sababu kuna watu wengi ndani ya chadema ni great thinker walipaswa kubadili mbinu na kutumia mbinu nyingine katika kufanya siasa zao.

Leo hii hata wageni wanaobahatika kuingia arusha na kushuhudia matukio hayo,wanaondoka na sura kwamba chadema ndio wakiorofi.nasema sipendi,sipendi sipendi kabisa.

mimi sinta kujibu kwa matusi yako kijana,wanao sema ukweli nyie ccm mna waita wa puuzi anaesema ukweli na mkwepa ukweli nani mpuuzi? Tatizo la wana ccm ni kutokubali ukweli, wapi chadema imeleta vurugu? Kama sio jeshi lenu la polisi? Kudai haki na kulinda mafisadi ni lipi vurugu? Nani asiyejua hila zilizo fanywa na ccm tangu lema aliposhinda arusha? Jibu narudia tena asiye mwana arusha asiisemee arusha wana arusha wanajua mbinu zote na hila za ccm kuifanya arusha isitawalike na kuisingizia chadema kama unabisha subiri tarehe 30 wana arusha watau dhiirishia uma ccm kwisha arusha,
 
Matukio mengi ya vurugu, umwagaji damu na uhalifu yanaihusisha chadema mf ni la kibanda na la tindikali igunga
 
mimi sinta kujibu kwa matusi yako kijana,wanao sema ukweli nyie ccm mna waita wa puuzi anaesema ukweli na mkwepa ukweli nani mpuuzi? Tatizo la wana ccm ni kutokubali ukweli, wapi chadema imeleta vurugu? Kama sio jeshi lenu la polisi? Kudai haki na kulinda mafisadi ni lipi vurugu? Nani asiyejua hila zilizo fanywa na ccm tangu lema aliposhinda arusha? Jibu narudia tena asiye mwana arusha asiisemee arusha wana arusha wanajua mbinu zote na hila za ccm kuifanya arusha isitawalike na kuisingizia chadema kama unabisha subiri tarehe 30 wana arusha watau dhiirishia uma ccm kwisha arusha,
Chadema wamemwagia mtuvtindikali igunga, wanatembea na sumu hadi bar, wanapanga mikakati ya kulisha watu sumu na kutishia vikongwe kwa bastola.
 
CCM kama hawataki mfumo wa vyama vingi watoe tamko tuelewe. Wanaona wanaelekea kushindwa wanaleta vurugu.
 
nimeongea na machalii wa a town wanasema arusha ni yao mgeni anayekimbia kwa sababu za kukosekana kwa utulivu kunakosababishwa na ccm kung'ang'ania dola hakubadilishi msimamo wao juu ya arusha yao, ni jukumu la wageni ikiwemo ccm kuwaheshimu wao kwanza ndipo waikodolee macho arusha yenyewe.

Maoni yao;
hata mkitega au kurusha mabom elfu kwa mkutano wa cdm, hawata acha kuhudhuria mikutano ya cdm.

Hata mkiihusisha vipi chadema na uhalifu wa ccm, chadema ndicho chama tunakiunga mkono mwanzo mwisho, inyeshe mvua liwake jua.

"mungu hanywi chai"

jogi,uondio ukweli wenzetu wanapata asira kwa sababu wakina nape na nchemba wamewaganganya ccm inakubalika arusha,msikasirike ccm haipo arusha uondio ukweli,
 
yani wameuwa raia kisa umea....tunaelekea wapi jamanii
 
Mkuu PRINCE CROWN,
Yote uliyoyasema ndiyo ukweli wenyewe, kwakweli hali ya ccm Arusha ni tata kabisa. Kuna wagombea udiwani wa ccm walikuwa wanajiunga na chadema tarehe 18, bahati yao polisi walivuruga mkutano kwa kupiga mabomu!

CCM hata waje na mapanga nasema tutalinda kura hakuna utani.

Pinda amewapa mamlaka polisi kuwapiga raia, maana yake ni kwamba raia nao wamepewa kibali cha kujitetea! Arusha hatutishwi na Pinda wala mama yake na nani
 
Last edited by a moderator:
0:00 / 19:25
70,112 views
64 likes, 59 dislikes
VID-20121228-00005


Bukoba Boy
Subscribe
187
Uploaded on Mar 12, 2013
VIDEO; MIKAKATI YA MATESO YA KIBANDA NA MWANDISHI MWANDAMIZI WA GAZETI LA MWANANCHI; MHUSIKA MKUU HUYU HAPA.
KWA MUDA SASA HAPA TANZANIA KUMEKUWEPO NA MATUKIO YA KUSIKITISHA YA KUTEKA NA KUTESA WANAHARAKATI WA HAKI ZA BINADAMU AKINA MWANGOSI, ULIMBOKA NA WENGINE.. SISI WAZALENDO NA WAPENDA AMANI YA TANZANIA TUNASEMA TUMECHOKA NA SASA BASI TUNAWEKA WAZI KILA KITU ILI UMMA UJUE KINACHOENDELEA..KWELI DAIMA ITAKUWEKA HURU...VIDEO HII INAONYESHA SEHEMU TU YA MATUKIO YALIYOKWISHATEKELEZWA NA CHADEMA , MPANGO MZIMA UKIRATIBIWA NA MKURUGENZI WA ULINZI NA USALAMA WA CHAMA WILLIFRED LWAKATARE KWA MAELEKEZO YA MWENYEKITI MH. MBOWE NA KATIBU MKUU DR SLAA. KATIKA VIDEO HII LWAKATARE ANATOA MAELEKEZO KWA KIJANA WAKE KWENDA KUTEKELEZA UTEKAJI WA MWANDISHI WA KAMPUNI YA MWANANCHI HUKU AKITOLEA MFANO WA MATUKIO AMBAYO CHAMA KILIYATEKELEZA KAMA LILE LA IGUNGA AMBAPO MUSSA TESHA ALIMWAGIWA TINDIKALI NA LILE LA MOROGORO AMBAPO KIJANA MMOJA ALIFARIKI KATIKA VURUGU ZA MAANDAMANO YA CHADEMA AMBAPO POLISI WALITOA TAARIFA KUWA KIJANA HUYO AMEANGUKIWA NA KITU KIZITO. HII VIDEO NI SEHEMU TU YA VIDEO ZINGINE AMBAZO TUTAZITOA WAKATI MUAFAKA UKIFIKA..


Comments (86)
 
Back
Top Bottom