Upuuzeni uzushi kuwa ndege ya Tanzania inauzwa nchini Kenya

Trump2

JF-Expert Member
May 28, 2017
1,553
2,608
Kumekuwepo na uzushi kuwa Ndege ya Tanzania(Airbus) inauzwa nchini Kenya kwa sababu eti Tanzania imekosa kibali cha ndege zake kuruka katika anga za nje.

Huo ni uzushi Wa kiwango cha Juu.

Ukweli ni huu:

Kampuni iiyotengeneza ndege hiyo iliingia Mkataba na Tanzania kuwa kwa vile aina hiyo ya Ndege ni ya kwanza katika ukanda Wa Afrika, Kampuni hiyo ilikubaliana na Tanzania kuwa itakuwa inaikodisha Ndege hiyo kwenda nchi zingine , lengo likiwa ni kutangaza soko lake katika nchi hizo na hicho ndicho kilichofanyika kwa Kenya.
Hivyo basi, tuzipuuze taarifa hizo zenye nia ovu kwa nchi yetu.
 
Kumekuwepo na uzushi kuwa Ndege ya Tanzania(Airbus) inauzwa nchini Kenya kwa sababu eti Tanzania imekosa kibali cha ndege zake kuruka katika anga za nje.

Huo ni uzushi Wa kiwango cha Juu.

Ukweli ni huu:

Kampuni iiyotengeneza ndege hiyo iliingia Mkataba na Tanzania kuwa kwa vile aina hiyo ya Ndege ni ya kwanza katika ukanda Wa Afrika, Kampuni hiyo ilikubaliana na Tanzania kuwa itakuwa inaikodisha Ndege hiyo kwenda nchi zingine , lengo likiwa ni kutangaza soko lake katika nchi hizo na hicho ndicho kilichofanyika kwa Kenya.
Hivyo basi, tuzipuuze taarifa hizo zenye nia ovu kwa nchi yetu.

Yaani ndege yetu tumeinunua wenyewe na bado kampuni watake tuwe tunaikodisha kwenye nchi zingine ili kuitangaza?
Kwa nini kampuni wasingetengeneza ndege kama hizo na kuzikodisha huko wanakotaka zitangazike?

CC Zero IQ
 
Yaani ndege yetu tumeinunua wenyewe na bado kampuni watake tuwe tunaikodisha kwenye nchi zingine ili kuitangaza?
Kwa nini kampuni wasingetengeneza ndege kama hizo na kuzikodisha huko wanakotaka zitangazike?

CC Zero IQ
Wewe si kilaza , utajuaje mambo ya biashara na uchumi?
 
Kumekuwepo na uzushi kuwa Ndege ya Tanzania(Airbus) inauzwa nchini Kenya kwa sababu eti Tanzania imekosa kibali cha ndege zake kuruka katika anga za nje.

Huo ni uzushi Wa kiwango cha Juu.

Ukweli ni huu:

Kampuni iiyotengeneza ndege hiyo iliingia Mkataba na Tanzania kuwa kwa vile aina hiyo ya Ndege ni ya kwanza katika ukanda Wa Afrika, Kampuni hiyo ilikubaliana na Tanzania kuwa itakuwa inaikodisha Ndege hiyo kwenda nchi zingine , lengo likiwa ni kutangaza soko lake katika nchi hizo na hicho ndicho kilichofanyika kwa Kenya.
Hivyo basi, tuzipuuze taarifa hizo zenye nia ovu kwa nchi yetu.

Mmmh Kampuni ya air bus inatumia ndege ya Tz kufanyia matangazo yake....mbona hilo nigumu sana kumeza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MUDA UTAONGEA
IMG_20190303_170520.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani ndege yetu tumeinunua wenyewe na bado kampuni watake tuwe tunaikodisha kwenye nchi zingine ili kuitangaza?
Kwa nini kampuni wasingetengeneza ndege kama hizo na kuzikodisha huko wanakotaka zitangazike?

CC Zero IQ
Na hilo nalo unashangaa? Ukiwa fundi Seremala ndiyo huwezi kukodisha kiti jirani? Watu wengine bwana, mnaaibisha jinsi mnavyofikiri kwa kutumia
 
Kumekuwepo na uzushi kuwa Ndege ya Tanzania(Airbus) inauzwa nchini Kenya kwa sababu eti Tanzania imekosa kibali cha ndege zake kuruka katika anga za nje.

Huo ni uzushi Wa kiwango cha Juu.

Ukweli ni huu:

Kampuni iiyotengeneza ndege hiyo iliingia Mkataba na Tanzania kuwa kwa vile aina hiyo ya Ndege ni ya kwanza katika ukanda Wa Afrika, Kampuni hiyo ilikubaliana na Tanzania kuwa itakuwa inaikodisha Ndege hiyo kwenda nchi zingine , lengo likiwa ni kutangaza soko lake katika nchi hizo na hicho ndicho kilichofanyika kwa Kenya.
Hivyo basi, tuzipuuze taarifa hizo zenye nia ovu kwa nchi yetu.



Ngonjera zinaendelea.
Sasa tumwamini yupi, aliyetoa hizo habari kuwa inauzwa,au anayepinga kuwa haiuwi, lakini maelezo yake yanakaribia kuunga mkono kuwa inauzwa?

Mambo ya kufanya kwa siri ni mabaya sana.

NB:
Siaelewa vizuri kama hii ndege tulilipa cash kama tulivyo ambiwa au nimkopo.
Kampuni iiyotengeneza ndege hiyo iliingia Mkataba na Tanzania kuwa kwa vile aina hiyo ya Ndege ni ya kwanza katika ukanda Wa Afrika, Kampuni hiyo ilikubaliana na Tanzania kuwa itakuwa inaikodisha Ndege hiyo kwenda nchi zingine , lengo likiwa ni kutangaza soko lake katika nchi hizo na hicho ndicho kilichofanyika kwa Kenya.

Kama tulilipa, inakuwaje watengenezaji watuwekee mashariti ya kokodisha hiyo ndege kwa nchi nyingine?

Kama ni kutangaza aina hiyo ya ndege, si watengeneze ya kwao alafu wawe wanaikodisha?

Habari ya kwamba tupuuze hizo taarifa, mimi niko kinyume nazo KABISAAAAAA.....
 
Ngonjerazinaendelea.
Sasa tumwamini yupi, aliyetoa hizo habari kuwa inauzwa,au anayepinga kuwa inauzwa, lakini maelezo yake yanakaribia kuunga mkono kuwa inauzwa?

Mambo ya kufanya kwa sirii ni mabaya sana.

NB:
Siaelewa vizuri kama hii ndege tulilipa cash kama tulivyo ambiwa au nimkopo.
Kampuni iiyotengeneza ndege hiyo iliingia Mkataba na Tanzania kuwa kwa vile aina hiyo ya Ndege ni ya kwanza katika ukanda Wa Afrika, Kampuni hiyo ilikubaliana na Tanzania kuwa itakuwa inaikodisha Ndege hiyo kwenda nchi zingine , lengo likiwa ni kutangaza soko lake katika nchi hizo na hicho ndicho kilichofanyika kwa Kenya.

Kama tulilipa, inakuwaje watengenezaji watuwekee mashariti ya kokodisha hiyo ndege kwa nchi nyingine?

Kama ni kutangaza aina hiyo ya ndege, si watengeneze ya kwao alafu wawe wanaikodisha?

Habari ya kwamba tupuuze hizo taarifa, mimi niko kinyume nazo.
Watu wengine sijui mnfikiri kwa.kutumia mini, kama.makubaliano yanatunufaisha tuyakatae kisa.wametengeneza.wao?
 
Back
Top Bottom