Kumekuwepo na uzushi kuwa Ndege ya Tanzania(Airbus) inauzwa nchini Kenya kwa sababu eti Tanzania imekosa kibali cha ndege zake kuruka katika anga za nje.
Huo ni uzushi Wa kiwango cha Juu.
Ukweli ni huu:
Kampuni iiyotengeneza ndege hiyo iliingia Mkataba na Tanzania kuwa kwa vile aina hiyo ya Ndege ni ya kwanza katika ukanda Wa Afrika, Kampuni hiyo ilikubaliana na Tanzania kuwa itakuwa inaikodisha Ndege hiyo kwenda nchi zingine , lengo likiwa ni kutangaza soko lake katika nchi hizo na hicho ndicho kilichofanyika kwa Kenya.
Hivyo basi, tuzipuuze taarifa hizo zenye nia ovu kwa nchi yetu.
Huo ni uzushi Wa kiwango cha Juu.
Ukweli ni huu:
Kampuni iiyotengeneza ndege hiyo iliingia Mkataba na Tanzania kuwa kwa vile aina hiyo ya Ndege ni ya kwanza katika ukanda Wa Afrika, Kampuni hiyo ilikubaliana na Tanzania kuwa itakuwa inaikodisha Ndege hiyo kwenda nchi zingine , lengo likiwa ni kutangaza soko lake katika nchi hizo na hicho ndicho kilichofanyika kwa Kenya.
Hivyo basi, tuzipuuze taarifa hizo zenye nia ovu kwa nchi yetu.