Upoyoyo wa DC wa Tabora

Upoyoyo wa DC wa Tabora

MwanaMagongo

Member
Joined
Aug 15, 2011
Posts
76
Reaction score
47
Bw Komanya Kitwala na akili za kuharibiwa na upofu wa madaraka. Alitumika kwenye kura za maoni baada ya mzigo kupewa yeye agawie wajumbe kwa ujira wa Tsh 60m Lengo likatimia.

Sasa kajisahau anawapanda kichwani hadi viongozi wa chama ambao wangemlinda, kasababisha sasa jimbo wanajitwalia CDM aisee, ila safi tu.

Sasa naona chama kimeamua kumshughulikia sasa, na wanyamwezi na ushamba wa kutishwa na cheo (cheo chenyewe DC)

Julai 2018 alikoswakoswa na walinzi wake FFU eti kawazimia taa za nje akatoka ana tambaa eti akawashtukize wanasinzia Lindoni, walitaka Kumuua hivhivi, sasa anaujaribu moto wa viongozi. Wacha tusubiri

Ulimbukeni unamsumbua sana, eti ooh nafahamiana na Bashiru Ally tulihakiki wote mali za chama. Walihakiki ndo kina Albert Msando na wametulia Itakuwa wewe kibeku
 

Attachments

  • 11QBHS (2).pdf
    11QBHS (2).pdf
    14 KB · Views: 15
  • KQAT5Z dr Mwase.docx
    KQAT5Z dr Mwase.docx
    22 KB · Views: 14
  • IMG_20200826_151117.jpg
    IMG_20200826_151117.jpg
    124.2 KB · Views: 10
Back
Top Bottom