Upotoshwaji juu ya mama wa kambo

Upotoshwaji juu ya mama wa kambo

Cheef Baroka

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2019
Posts
490
Reaction score
1,019
Wakuu mimi ni miongoni mwa binadamu nilielelewa kwenye mikono ya MAMA wa kambo. MAMA yangu yule nathubutu kusema alikuwa zaidi ya MAMA wakunizaa, ni MAMA alienipigania na kunilea katika misingi na malezi imara na bora na kujikuta nasahau uwepo wa MAMA mzazi.

Nilihisi labda baba ndio wakufkia na mama yule ndio mzazi mana MAMA wakambo yule alipitia misukosuko mingi toka kwa mzee kwa kuwa upande wangu. Nakumbauka niliwahi kukosea (nilichelewa kurudi nyumbani) mzee pamoja na kunipiga saana alinifunga chini ya nguzo ya kitanda alicho kilalia, MAMA yule (Mungu amlipe kila la kheri ) alivizia mzee kalala akanifungua akanionesha alipoficha chakula kisha akaingia uvunguni akawa ana furukuta ili mzee akiamka ajue me ndo npo uvunguni na MAMA yupo uwani labda.

Na kipindi nipo bwenini (5&6) nilikuwa nikirudi nyumbani likizo mzee ananipokea vyema ila soon karibuni na kurudi shuleni mzee anakuwa mkali ko hata siku yakurudi shule tofauti na Ada hapakuwa na chochote nachopata toka kwa mzee lakini MAMA yule alijitahidi kukimbia huku na kule nakutafta chochote chakunipa niende nacho na wakati mwingine alifanya kwa kujificha mzee asijue (atanikangia kuku, samaki, nakunipa vijisenti) Pia nilipokuwa kinda kuna huduma zingine kama kuniinika (wazazi tu ndo mnaelewa nikisema kumuinika mtoto) kunitoa funza na kuwa na Mimi kila wakati.

Lengo la kukumbuka malezi haya nikutaka kupinga dhana iliyowekwa kwenye jamii kuwa MAMA wakambo ni special kwa mateso, manyanyaso ,uchoyo, gubu na uchonganishi Kati ya baba na mwanae, hali ambayo imepelekea watoto wanaolelewa na mama wakambo kuwa viburi, majeuri, wavivu na watovu wa nidhamu kwa sababu MAMA zao wa kambo wanawaogopa hata kuwakalipia wanapokosea mana wakifanya hivyo huonekana labda kwa kuwa sio wanao wa kuzaa eti hawawajulii uchungu na jamii kuwaona tofauti. Ivi mtoto hata kama unamjulia uchungu ndo humpigi wala humsemi?

Natambua uwepo wa MAMA wa kambo wachache wakorofi na pia natambua uwepo wa MAMA na Baba wazazi ambao ni wakatili, kwahiyo sio kila baya wabebeshe wazazi wa kambo.

Kama nawewe umepitia malezi kama yangu, tupe stori yako tubadlishe dhana iliyowekwa kwenye jamii juu ya mama wa kambo.

@MAMAwakambonimama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninyi hamjakutana Na MAMA WA KAMBO a.k.a MKE WA MSHUA nahisi usingefungulia uzi hapa...

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo huyo mke wa mshua ndio atufanye tuamini kuwa MAMA wote wa kambo ni wabaya?
Kuna hata mama wazazi makatili mbona hatusemi mama wote wazazi ni wabaya?
Kama hujawahi experience mama mzazi katili hebu fatilia interview ya Salama na Gigy Money.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo wengi wenye roho nzuri tuu, ila wale wenye roho mbaya ndo wamefanya wote waonekane wabaya!

Ila binafsi nimelelewa na mama wa kambo kwa muda, sijawahi jutia wala kuona ubaya wake! Nampenda naye ananipenda!
Waooouuuuuu
 
Mama wa kambo sio mama
Yes una uhuru wa ku comment chochote. Ila acha akiba ya maneno . Mana kame we ni jinsia "me" au "me" huwezi jua unaweza kuowa au kuolewa na mtu mwenye mtoto mwingine, sijui utajisikiaje unapokutana na mtu mwenye mtazamo kama wako lakini pia hutaishi milele na wanao ko huwenda wakaja lelewa na Baba au mama wakambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu mimi ni miongoni mwa binadamu nilielelewa kwenye mikono ya MAMA wa kambo. MAMA yangu yule nathubutu kusema alikuwa zaidi ya MAMA wakunizaa, ni MAMA alienipigania na kunilea katika misingi na malezi imara na bora na kujikuta nasahau uwepo wa MAMA mzazi. Nilihisi labda baba ndio wakufkia na mama yule ndio mzazi mana MAMA wakambo yule alipitia misukosuko mingi toka kwa mzee kwa kuwa upande wangu. Nakumbauka niliwahi kukosea (nilichelewa kurudi nyumbani) mzee pamoja na kunipiga saana alinifunga chini ya nguzo ya kitanda alicho kilalia, MAMA yule (Mungu amlipe kila la kheri ) alivizia mzee kalala akanifungua akanionesha alipoficha chakula kisha akaingia uvunguni akawa ana furukuta ili mzee akiamka ajue me ndo npo uvunguni na MAMA yupo uwani labda.Na kipindi nipo bwenini (5&6) nilikuwa nikirudi nyumbani likizo mzee ananipokea vyema ila soon karibuni na kurudi shuleni mzee anakuwa mkali ko hata siku yakurudi shule tofauti na Ada hapakuwa na chochote nachopata toka kwa mzee lakini MAMA yule alijitahidi kukimbia huku na kule nakutafta chochote chakunipa niende nacho na wakati mwingine alifanya kwa kujificha mzee asijue (atanikangia kuku, samaki, nakunipa vijisenti) Pia nilipokuwa kinda kuna huduma zingine kama kuniinika (wazazi tu ndo mnaelewa nikisema kumuinika mtoto) kunitoa funza na kuwa na Mimi kila wakati.

Lengo la kukumbuka malezi haya nikutaka kupinga dhana iliyowekwa kwenye jamii kuwa MAMA wakambo ni special kwa mateso, manyanyaso ,uchoyo, gubu na uchonganishi Kati ya baba na mwanae, hali ambayo imepelekea watoto wanaolelewa na mama wakambo kuwa viburi, majeuri, wavivu na watovu wa nidhamu kwa sababu MAMA zao wa kambo wanawaogopa hata kuwakalipia wanapokosea mana wakifanya hivyo huonekana labda kwa kuwa sio wanao wa kuzaa eti hawawajulii uchungu na jamii kuwaona tofauti. Ivi mtoto hata kama unamjulia uchungu ndo humpigi wala humsemi?
Natambua uwepo wa MAMA wa kambo wachache wakorofi na pia natambua uwepo wa MAMA na Baba wazazi ambao ni wakatili, kwahiyo sio kila baya wabebeshe wazazi wa kambo.

Kama nawewe umepitia malezi kama yangu, tupe stori yako tubadlishe dhana iliyowekwa kwenye jamii juu ya mama wa kambo.

@MAMAwakambonimama

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimelelewa na mama wa kambo 3 ..

nimeanza kuishi na mama wa kambo nikiwa na miaka 7..
Miaka 3 baadae baba aliacha akaoa mwingine,,
yule wa kwanza hakuwa mbaya ,,,labda alikuwa kipindi nipo mdogo sana,,,
alizaa nae watoto 2 , ,,waliachana na baba ,,
baadae aliondoka na mtoto mmoja,,
mwingine alimwacha pale kwa baba,,

mama wa pili alikaa na baba kwa miaka 2 naye alipata mtoto mmoja ,,, baadae baba akawa Mara harudi Mara week hatumuoni,,
pale nyumbani nilibaki Mimi,,na ndugu yangu mtoto wa mama yangu yule wa kwnza,,,,
huyu mama wa pili nae hakuwa mbaya, alikuwa akitupenda tu..sana hakuwa na shida...

Siku moja baba alirudi akatuchukuwa mimi na mdogo wangu ,,,akatupeleka mahali fulani,,si mbali sana na nyumbani,,
kufika tukapokelewa vizuri sana,
,akatwambiya kuanzia leo mtaishi hapa,,,na hyu ndy mama yenu mpya,,,

kipindi hicho nipo darasa la 5 ..
HAPO NDY MAISHA HALISI YA MAMA WA KAMBO NIKAYAPATA...
nyumbani tulikuta yule mama ana watoto wake 2 wasichana wakubwa tu zaidi yetu..na tayari walikuwa wameshazalishwa,,,
baada ya miezi Kama 2 yule mama yangu wa kambo wa pili nae akaja kumleta mwanae pale kwa baba ,,,

yule mama hajarudi kutafuta mwanae hadi leo...hyo ilikuwa mwaka 1988....
mdogo wangu alikuwa na mwaka mmoja tu...

BASI maisha yalikuwa ya taabu sana pale,,,nyumbani,
Kwanza kutumwa bila kipimo,,
Kanunuwe mkaa,,dk kumi unarudishwa tena gengeni kanunuwe mafuta , hujakaa sawa tena nenda kanunuwe chumvi,,,na ukisema utoke ukacheze ukirudi hakuna chakula,,
,MTEMBEZI HULA MIGUU YAKE...HUYU MAMA NI HATARI SANA,,,
,kulikuwa na house girl lakini nikiwepo Mimi yeye hatumwi...sometimes narudi nataka niende tuition naambiwa niende mashine kukoboa mahindi.
nikifika nakuta foleni kubwa sana,,
kuna mashine ilikuwa pale TRAVETINE Magomeni.basi nikishakoboa narudi home,, wanapeta mahindi narudi tena mashine kusaga,,
,..mimi natoka mbali sana kufata mashine...i,,kwa kifupi alikuwa ni kama kunifanya nisiende tuition...mdogo wangu akijisaidia basi haoshwi hadi nirudi mimi shule,,
baba yangu hakuwahi kunipiga hata Kofi,
,lakini kwa mama huyu ilikuwa ni makofi kila siku,,maana kila siku kesi za kusingiziwa
,,,CHOO CHENYEWE MLANGO WA GUNIA,,,MTU ANAOGA ukipita anasema mwanao ananichungulia CHOONI,
,CHAKULA kwenye kisahani cha chai,,
kwa kweli huyu mama alikuwa MIYAYUSHO SANA,,
,nikipofika STD 7 ..MUNGU ALIJAALIA NILICHAGULIWA KUJIUNGA NA AZANIA SEC SCHOOL...aisee,,yule mama ilimuuma sana,,
na pale ilikuwa tunaishi kwenye nyumba ya yule mama,,lilikuwa banda fulani bovu,,
baba aliitengeneza ikawa inatizamika,,,sijuwi alipatwa na nini Mzee wangu,,
yule mama akamwambiya baba yangu hataki Mimi niishi pale tena
,,aondoke yeye ,au niondoke Mimi,,
basi baba akaniondoa kwa shingo upande,,
akanipeleka kwa mjomba wake niishi....

kwakweli story ni ndefu sana...naomba niishie hapa mkuu, ,

nitaleta tena maisha ya kwa mjomba wa baba siku ingine..

Lakini kwa kifupi mama wa kambo kumpata aliyekuwa bora ,,ni bahati sana,,
Wengi wao wana pretend.... Love,,
Kutengeneza mahusiano mazuri na mumewe
,, ,mwisho wa siku mama anatia sumu kwa baba ili awachukie watoto wake...

Nakusihi kama una uwezo,, Lea wanao peke yako na house girl,,
ukipata mwanamke,, malizana nae huko huko nje,,..au mpangie sehem ingine,,

nakuhakikishia UTAKUWA LULU KWA WATOTO WAKO....
kukaribisha mama wa kambo ni KUTOA SADAKA MAPENZI YAKO NA WATOTO WAKO..

JITAHIDI KUISHI NA MKEO VYEMA ili mlee watoto wenu pamoja...
.hata huko kwa mjomba wa baba pia nilipatwa na VISANGA VINGI SANA ,
LAKINI VILINIFANYA NIWE STRONG BOY...na KUINGIA kwenye maisha ya UBAHARIA HADI SASA.... hii ni TRUE STORY OF MY LIFE....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I wish wanangu nao watampata mama wa kambo ambaye hawatokuja wajutie kuishi naye. 👨‍👩‍👧‍👦
 
Mimi nimelelewa na mama wa kambo 3 ..nimeanza kuishi na mama wa kambo nikiwa na miaka 7.. Miaka 3 baadae baba aliacha akaoa mwingine,,yule wa kwanza hakuwa mbaya ,,,labda alikuwa kipindi nipo mdogo sana,,,alizaa nae watoto 2 , ,,waliachana na baba ,,baadae aliondoka na mtoto mmoja,,mwingine alimwacha pale kwa baba,, mama wa pili alikaa na baba kwa miaka 2 naye alipata mtoto mmoja ,,, baadae baba akawa Mara harudi Mara week hatumuoni,,pale NYUMBANI nilibaki Mimi,,na ndugu yangu mtoto wa mama yangu yule wa kwnza,,,,huyu mama wa pili nae hakuwa mbaya, alikuwa akitupenda tu..sana hakuwa na shida... Siku moja baba alirudi akatuchukuwa mimi na mdogo wangu ,,,akatupeleka mahali Fulani,,si mbali sana na NYUMBANI,, kufika tukapokelewa vizuri sana,,akatwambiya kuanzia Leo mtaishi hapa,,,na hyu ndy mama YENU mpya,,,kipindi hicho nipo darasa la 5 .. HAPO NDY MAISHA HALISI YA MAMA WA KAMBO NIKAYAPATA...pale NYUMBANI Tulikuta yule mama ana watoto wake 2 WASICHANA wakubwa tu zaidi yetu..na tayari walikuwa wameshazalishwa,,,baada ya miezi Kama 2 yule mama yangu wa kambo wa pili nae akaja kumleta MWANAE pale kwa baba ,,,akamtelekeza pale,, yule mama hajarudi kutafuta MWANAE hadi Leo...hyo ILIKUWA mwaka 1988....mdogo wangu alikuwa na mwaka mmoja tu...BASI maisha yalikuwa ya taabu sana pale,,,nyumbani, Kwanza KUTUMWA BILA KIPIMO...Kanunuwe mkaa,,dk kumi unarudishwa tena GENGENI kanunuwe mafuta , hujakaa sawa tena nenda kanunuwe chumvi,,,na ukisema utoke ukacheze ukirudi hakuna chakula,,,MTEMBEZI HULA MIGUU YAKE...HUYU MAMA NI HATARI SANA,,,,kulikuwa na house girl lakini nikiwepo Mimi yeye hatumwi...sometimes NARUDI nataka niende tuition naambiwa NIENDE MASHINE,, KUKOBOA MAHINDI..nikifika nakuta foleni kubwa sana,,kuna mashine ILIKUWA pale TRAVETINE MAGOMENI..basi nikishakoboa NARUDI HOME wanapeta mahindi NARUDI KUSAGA TENA. ,..mimi natoka MBALI KUFATA MASHINE...ilikuwa ni UMBALI MREFU SANA,,,,kwa kifupi ILIKUWA ni kama kunifanya nisiende tuition...mdogo wangu akijisaidia basi haoshwi hadi nirudi mimi SHULE,, baba yangu hakuwahi kunipiga hata Kofi,,lakini kwa mama huyu ilikuwa ni makofi kila siku,,maana kila siku kesi za kusingiziwa,,,CHOO CHENYEWE MLANGO WA GUNIA,,,MTU ANAOGA ukipita anasema mwanao ananichungulia CHOONI,,CHAKULA kwenye kisahani cha chai,,kwa kweli huyu mama alikuwa MIYAYUSHO SANA,,,nikipofika STD 7 ..MUNGU ALIJAALIA NILICHAGULIWA KUJIUNGA NA AZANIA SEC SCHOOL...aisee,,yule mama ilimuuma sana,,na pale ilikuwa tunaishi kwenye nyumba ya yule mama,,lilikuwa banda Fulani bovu,,baba aliitengeneza ikawa inatizamika,,,sijuwi alipatwa na NINI MZEE wangu,, yule mama akamwambiya baba yangu hataki Mimi niishi pale tena ,,aondoke yeye ,au niondoke Mimi,, basi baba akaniondoa kwa shingo upande,, akanipeleka kwa mjomba wake niishi....kwakweli story ni ndefu sana...naomba niishie hapa MKUU... nitaleta tena maisha ya kwa mjomba wa baba SIKU ingine..LAKINI kwa kifupi mama wa kambo kumpata aliyekuwa BORA NI BAHATI SANA,,WENGI wao wana pretend.... KUTENGENEZA MAPENZI BAINA YAKE NA MUME,, ,mwisho wa siku mama anatia sumu kwa baba ili awachukie watoto wake... Nakusihi kama una UWEZO Lea wanao PEKE YAKO NA HOUSE GIRL,, ukipata MWANAMKE malizana nae HUKO HUKO NJE..au mpangie sehem ingine,,nakuhakikishia UTAKUWA LULU KWA WATOTO WAKO....kukaribisha mama wa kambo ni KUTOA SADAKA MAPENZI YAKO NA WATOTO WAKO..na hata JITAHIDI KUISHI NA MKEO VYEMA ili mlee watoto wenu pamoja....hata huko kwa mjomba wa baba pia nilipatwa na VISANGA VINGI SANA , LAKINI VILINIFANYA NIWE STRONG BOY...na KUINGIA kwenye maisha ya UBAHARIA HADI SASA.... hii ni TRUE STORY OF MY LIFE....

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee Mzee wako alichowafanyia daah
 
Aisee Mzee wako alichowafanyia daah
Wala simlaumu MZEE,,, ni kulewa na MAPENZI , au PENGINE alifanyiwa mambo ya kiswahili... ,,miaka miwili baadae wakaachana na yule mama,,,MZEE AKAWA ANAISHI KIVYAKE....na hakutoka na kitu kwa yule mama,,..NOW NAAMINI PENGINE ALIMFANYIA NGUVU ZA GIZA...baada ya kutoka pale NYUMBANI nilikuwa na MAHUSIANO mazuri sana na baba yngu...alikufa mwaka 2003 mikononi mwangu...hospital

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala simlaumu MZEE,,, ni kulewa na MAPENZI , au PENGINE alifanyiwa mambo ya kiswahili... ,,miaka miwili baadae wakaachana na yule mama,,,MZEE AKAWA ANAISHI KIVYAKE....na hakutoka na kitu kwa yule mama,,..NOW NAAMINI PENGINE ALIMFANYIA NGUVU ZA GIZA...baada ya kutoka pale NYUMBANI nilikuwa na MAHUSIANO mazuri sana na baba yngu...alikufa mwaka 2003 mikononi mwangu...hospital

Sent using Jamii Forums mobile app
Bora kama akili yako imelichukulia kwa mtizamo chanya
 
Bora kama akili yako imelichukulia kwa mtizamo chanya
Mimi siwezi kumchukia baba,,naamini hakuwa vile,,alibadilishwa akili na yule mama,,,ndy maana baada ya KUACHANA nae UPENDO ULIRUDI kama zamani,,, kwakweli baba yangu alikuwa zaidi ya rafiki...na baadae nilimkumbusha matatizo ya pale home,,,miaka mingi baadae alikiri kama ni hivyo basi yule mama hakuwa mzuri kwa family yetu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu mimi ni miongoni mwa binadamu nilielelewa kwenye mikono ya MAMA wa kambo. MAMA yangu yule nathubutu kusema alikuwa zaidi ya MAMA wakunizaa, ni MAMA alienipigania na kunilea katika misingi na malezi imara na bora na kujikuta nasahau uwepo wa MAMA mzazi.

Nilihisi labda baba ndio wakufkia na mama yule ndio mzazi mana MAMA wakambo yule alipitia misukosuko mingi toka kwa mzee kwa kuwa upande wangu. Nakumbauka niliwahi kukosea (nilichelewa kurudi nyumbani) mzee pamoja na kunipiga saana alinifunga chini ya nguzo ya kitanda alicho kilalia, MAMA yule (Mungu amlipe kila la kheri ) alivizia mzee kalala akanifungua akanionesha alipoficha chakula kisha akaingia uvunguni akawa ana furukuta ili mzee akiamka ajue me ndo npo uvunguni na MAMA yupo uwani labda.

Na kipindi nipo bwenini (5&6) nilikuwa nikirudi nyumbani likizo mzee ananipokea vyema ila soon karibuni na kurudi shuleni mzee anakuwa mkali ko hata siku yakurudi shule tofauti na Ada hapakuwa na chochote nachopata toka kwa mzee lakini MAMA yule alijitahidi kukimbia huku na kule nakutafta chochote chakunipa niende nacho na wakati mwingine alifanya kwa kujificha mzee asijue (atanikangia kuku, samaki, nakunipa vijisenti) Pia nilipokuwa kinda kuna huduma zingine kama kuniinika (wazazi tu ndo mnaelewa nikisema kumuinika mtoto) kunitoa funza na kuwa na Mimi kila wakati.

Lengo la kukumbuka malezi haya nikutaka kupinga dhana iliyowekwa kwenye jamii kuwa MAMA wakambo ni special kwa mateso, manyanyaso ,uchoyo, gubu na uchonganishi Kati ya baba na mwanae, hali ambayo imepelekea watoto wanaolelewa na mama wakambo kuwa viburi, majeuri, wavivu na watovu wa nidhamu kwa sababu MAMA zao wa kambo wanawaogopa hata kuwakalipia wanapokosea mana wakifanya hivyo huonekana labda kwa kuwa sio wanao wa kuzaa eti hawawajulii uchungu na jamii kuwaona tofauti. Ivi mtoto hata kama unamjulia uchungu ndo humpigi wala humsemi?

Natambua uwepo wa MAMA wa kambo wachache wakorofi na pia natambua uwepo wa MAMA na Baba wazazi ambao ni wakatili, kwahiyo sio kila baya wabebeshe wazazi wa kambo.

Kama nawewe umepitia malezi kama yangu, tupe stori yako tubadlishe dhana iliyowekwa kwenye jamii juu ya mama wa kambo.

@MAMAwakambonimama

Sent using Jamii Forums mobile app
hulka ya mwanamke kuchukia mtoto wa mwanamke mwenzake Ila ktk wengi Kuna wachache waliokuwa na utofauti wa tabia hiyo mmojawapo ni huyo mama ako ilakwny kuingia uvunguni........basi sawa
 
Tatizo watu wanapenda sana kujumuisha mambo (generalization). Kwasababu labda aliteswa na mama wa kambo basi atasema wamama wa kambo wote wabaya.

Tabia ya mtu mmoja sio jumuishi. Watu wako tofauti. Kuna mama wazazi wengine ni aheri hata mama wa kambo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom