KANYAMA
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,590
- 2,386
ndivyo ilivyotakiwa kuwa tangu kuanzishwa kwake. kwanza ni makosa makubwa kuchomeka jina 'Tanzania' kwenye vikundi vya chama vinavyotetea maslahi ya wanachama wao tu. Tangu kuanzishwa kwake umoja huu ulipaswa kuitwa UWCCM. Kwa kuwa jina la umoja huu ni batili, na shughuli zake zote ni batili. Hakina tofauti na kikundi chochote kile cha kigaidi kama vile Boko Haram, Alshaabab, Intarahamwe, etc.
wakati mwingine unaweza kuwa na mawazo mazuri mwishoni ukaonyesha nikiasi gani kitu cha arusha au viroba vimekukaa kichwani..shame on u!