Ukana Shilungo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 3,041
- 2,422
NAona msumari umekuingia vizuri sana. 🤣🤣🤣🤣😃😃😃Wewe ni MPUMBAVU, umeangalia video ya Robert Amsterdam YouTube aliyoitoa juzi anaitishia tume ya uchaguzi?.. najua mna mahaba na huyo KENGE wenu Lissu ila nakuhakikishia hawezi kuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.. NEVER. Sio 2020 bali kamwe. Ni rahisi Steve Nyerere kuwa Waziri mkuu kuliko Tundu Lissu kuwa Raisi wa Tanzania. Bado siku 21 tu, Stay tuned.