Ndivyo Ilivyo
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 243
- 4
Mkuu, wa kulaumiwa hapa ni Mengi au Mhariri wa Gazeti ambaye amesomea uandishi na akawa kinara wa upuuzi? Same things are happening kwenye gazeti la Majira, labda mkuu hujasoma vema wanavyojichanganya Majira. Habari moja inarudiwarudiwa mara kadhaa huku ikionesha wazi kuna target binafsi aidha za kuchafuana ama kujipendekeza kwa watu flani. Mhariri wa Majira na wa Alasiri wanatakiwa kujua kuwa kadiri wanavyoruhusu upuuzi wa namna hii ndivyo wanavyopelekea watanzania kuona kuwa magazeti haya ni ya kizushi
Yapo mengi haya magazeti. Lakini mbona unalisahau na TANZANIA DAIMA.