Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 789
Ndugu Watanzania wazalendo wenzangu.
Tumefika pahali ambapo taifa linapotoshwa sana kwa kiasi ambacho tusipokuwa makini tutazalisha taifa la walalamikaji, watu wa michapo... wajadili watu tu, tusiojadili hoja... wapenda udaku, wapenda kosoa tu bila kutoa solutions... lakini yote haya huletwa zaidi na jinsi jamii inavyopotoshwa na media mbalimbali etc.
Nachelea kuuliza yafuatayo:-
1. Hivi gazeti likiandika upuuzi wakulaamiwa ni mwekezaji/mmliki au mhariri/mwandishi? Mfano... mmoja wa mwekezaji/mmliki wa mwananchi ni Aghakan ambaye hata hajui gazeti linaandikwa nini yeye anachoangalia ni je bottom line kwenye mahesabu inaonyesha kiasi gani.?.. bottom line ni mstari kwenye hesabu za makampuni unaonyesha profit after tax. Mengi pia, Rostam, na Mliki wa Majira wote... siku zote waangalia zaidi huo mstari... na wakati mwingine wanachukua muda mrefu bila kusoma magazeti yao...
Lakini tumependa kuwashambulia wamiliki as if na sisi vichaa vile.
2. Hivi JF hapa watu wanapoweka pumba, wa kulaumia ni JF management au mwekezaji/mtoa pumba zake?
3. Hivi ni lini tutatoka kwenye kujadili watu ili tuingie kwenye kujadili hoja (issues) mifumo (systems, legal frame work), sera(policies), maendeleo (development challenges), uchumi, uwekezaji, elimu, mazingira... etc.
4. Kwanini waTanzania tunakubali kurudishwa nyuma na waandishi uchara ambao wametufanya tutumie muda mwingi kujadili, Uchawi bungeni, mto aliyekula kichwa cha mtoto mwingine..., Wangwe kapigwa Risasi, Mbowe kaokolewa vs hajaokolewa, Zanzibar ni nchi vs Sio nchi, hivi hizi ndio vipa umbele vyetu kwa sasa?
5. Angalia mfano mzuri wa heading za JF: zaidi ya 60% vichwa vya habari vina majina ya Watu.... kuliko hoja, issues ...shame on us?
Chonde chonde Watanzania wenzangu tukemee uandishi usio makini maana ni Sumu kubwa sana ya maendeleo yetu kama taifa.
Mungu ibariki Tanzania
Ahsanteni kwa kunisoma.
Mramba amlipua Mkapa!
2008-08-13 15:47:06
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Katiaka kile ambacho pengine hakikutazamiwa kutokea, Waziri wa zamani katika Serikali ya Awamu ya Tatu ya Rais Benjamin Mkapa na ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Rombo, Mheshimiwa Basil Mramba, amemlipua kiaina Rais Mstaafu Mkapa kwa kuiponda Serikali yake kuhusu sera ya viwanda.
Mheshimiwa Mramba amesema Serikali hiyo ya awamu ya tatu ( iliyokuwa ikiongozwa na Rais Mkapa), kamwe haikuwahi kutekeleza sera ya viwanda.
Akizungumza bungeni jana wakati akichangia bajeti ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Masoko, Mheshimiwa Mramba akazidi kueleza kuwa kwa kasi iliyokuwepo katika serikali ya awamu ya tatu, nchi ingechukua muda mrefu sana kuwa na viwanda.
``...Nina tatizo. Najua watu watauliza, si (nawe) ulikuwepo. Lakini wacha niseme,`` ndivyo alivyoanza kueleza Mheshimiwa Mramba kabla ya kuchangia zaidi...
Hebu nisaidieni ndugu wanachi: Mramba kamlipuaje Mkapa ukisoma hiyo article yote? Na kwanini hakuzungumza chochote kuhusu serikali ya awamu ya pili ambayo pia haikufanya chochote ktk kutekeleza sera ya viwanda?
What's going here people?
I personally think, this is an excellent example of clear personal vendatta that has existed for so long between vibaraka kama vile Mramba, CCM ya Kikwete, Media (IPP/TBC1/Majira/Rai) aimed at scapegoating Mr.Clean.
Tumefika pahali ambapo taifa linapotoshwa sana kwa kiasi ambacho tusipokuwa makini tutazalisha taifa la walalamikaji, watu wa michapo... wajadili watu tu, tusiojadili hoja... wapenda udaku, wapenda kosoa tu bila kutoa solutions... lakini yote haya huletwa zaidi na jinsi jamii inavyopotoshwa na media mbalimbali etc.
Nachelea kuuliza yafuatayo:-
1. Hivi gazeti likiandika upuuzi wakulaamiwa ni mwekezaji/mmliki au mhariri/mwandishi? Mfano... mmoja wa mwekezaji/mmliki wa mwananchi ni Aghakan ambaye hata hajui gazeti linaandikwa nini yeye anachoangalia ni je bottom line kwenye mahesabu inaonyesha kiasi gani.?.. bottom line ni mstari kwenye hesabu za makampuni unaonyesha profit after tax. Mengi pia, Rostam, na Mliki wa Majira wote... siku zote waangalia zaidi huo mstari... na wakati mwingine wanachukua muda mrefu bila kusoma magazeti yao...
Lakini tumependa kuwashambulia wamiliki as if na sisi vichaa vile.
2. Hivi JF hapa watu wanapoweka pumba, wa kulaumia ni JF management au mwekezaji/mtoa pumba zake?
3. Hivi ni lini tutatoka kwenye kujadili watu ili tuingie kwenye kujadili hoja (issues) mifumo (systems, legal frame work), sera(policies), maendeleo (development challenges), uchumi, uwekezaji, elimu, mazingira... etc.
4. Kwanini waTanzania tunakubali kurudishwa nyuma na waandishi uchara ambao wametufanya tutumie muda mwingi kujadili, Uchawi bungeni, mto aliyekula kichwa cha mtoto mwingine..., Wangwe kapigwa Risasi, Mbowe kaokolewa vs hajaokolewa, Zanzibar ni nchi vs Sio nchi, hivi hizi ndio vipa umbele vyetu kwa sasa?
5. Angalia mfano mzuri wa heading za JF: zaidi ya 60% vichwa vya habari vina majina ya Watu.... kuliko hoja, issues ...shame on us?
Chonde chonde Watanzania wenzangu tukemee uandishi usio makini maana ni Sumu kubwa sana ya maendeleo yetu kama taifa.
Mungu ibariki Tanzania
Ahsanteni kwa kunisoma.
BongoTz said:This is what you call journalism? Hebu compare hii headline iliyokuwa leo kwenye gazeti la Alasiri na utumbo ulioandikwa ndani...
Mramba amlipua Mkapa!
2008-08-13 15:47:06
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Katiaka kile ambacho pengine hakikutazamiwa kutokea, Waziri wa zamani katika Serikali ya Awamu ya Tatu ya Rais Benjamin Mkapa na ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Rombo, Mheshimiwa Basil Mramba, amemlipua kiaina Rais Mstaafu Mkapa kwa kuiponda Serikali yake kuhusu sera ya viwanda.
Mheshimiwa Mramba amesema Serikali hiyo ya awamu ya tatu ( iliyokuwa ikiongozwa na Rais Mkapa), kamwe haikuwahi kutekeleza sera ya viwanda.
Akizungumza bungeni jana wakati akichangia bajeti ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Masoko, Mheshimiwa Mramba akazidi kueleza kuwa kwa kasi iliyokuwepo katika serikali ya awamu ya tatu, nchi ingechukua muda mrefu sana kuwa na viwanda.
``...Nina tatizo. Najua watu watauliza, si (nawe) ulikuwepo. Lakini wacha niseme,`` ndivyo alivyoanza kueleza Mheshimiwa Mramba kabla ya kuchangia zaidi...
Hebu nisaidieni ndugu wanachi: Mramba kamlipuaje Mkapa ukisoma hiyo article yote? Na kwanini hakuzungumza chochote kuhusu serikali ya awamu ya pili ambayo pia haikufanya chochote ktk kutekeleza sera ya viwanda?
What's going here people?
I personally think, this is an excellent example of clear personal vendatta that has existed for so long between vibaraka kama vile Mramba, CCM ya Kikwete, Media (IPP/TBC1/Majira/Rai) aimed at scapegoating Mr.Clean.