Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,214
- 42,087
Nina kwambia Zitto ni Muongo hakuna kitu kama.hicho ndio.maana chadema wamekaa kimya..Hilo la TRA kudanganya mapato nalo hawalioni au nalo ni uongo?
Kulipa madeni ya mabilioni nje ya Bajeti nalo ni uongo?