dah! yaani hili bahati la leo kuliko kushinda lotto, hapa shwari tu Mrembo wangu, nimepoteza kilo kadhaa kwa kukumiss mawazoni mwangu, hope uko sawa na unanimiss pia, ukisema hukunimiss nagoma kukoga siku tatu mfululizo, pliz say u missed me.
bek to ze topik: wewe unapenda mpole kama mimi, au twanga twanga kama uporoto?
Basi ulikosea kuandika uliposema HUWEZI KUWA MPOLE coz ukisema hivi maana yake ni kitu cha kuamua, wakati ukweli ni kwamba HUNA UPOLE
Binadamu majungu kweli wallahi, kuna jamaa alisema DA ni houzigeli, kumbe mdada ana mshahara kuliko wa Lyatonga mrema? khaaaa!Wakati naanza kazi Serikalini kwa mshahara wa 102,568/= kwa mwezi
dah! yaani hili bahati la leo kuliko kushinda lotto, hapa shwari tu Mrembo wangu, nimepoteza kilo kadhaa kwa kukumiss mawazoni mwangu, hope uko sawa na unanimiss pia, ukisema hukunimiss nagoma kukoga siku tatu mfululizo, pliz say u missed me.
bek to ze topik: wewe unapenda mpole kama mimi, au twanga twanga kama uporoto?
Ankal habari ya kwako banaakhaaaa! kweli wewe kibaka mzoefu! ulitokaje tokaje lile swagga la juzi baada ya kudakwa unaondoka na kiloba cha korosho?
bek to ze topik: refer to my two yuziful last posts
Ningekuwa bado ningemtafuta mpole lakini ningemuonea ile mbaya maana kwa ukorofi nilionao hatungewezana tunawezana na mkorofi mwenzangu.
Ila dah!!! Nashukuru kwa yuziful thread
khaaaa! kweli wewe kibaka mzoefu! ulitokaje tokaje lile swagga la juzi baada ya kudakwa unaondoka na kiloba cha korosho?
bek to ze topik: refer to my two yuziful last posts
Kwa faida ya kina kaka embu wadada tujuzane mnapenda wapenzi/wenzi wenu waweje linapokuja swala la upole.Hapa siongelei ule upole wa muda kwamba ikitokea ugomvi mara moja moja anaweza kujishusha ...naongelea ule upole ambao ndio tabia yake.Yani kila kitu ye anakua mdogo tu....hata kama kosa sio lake anakua mdogo...hata kama anaonewa anakua mdogo!!
Binafsi mi naogopa kua na mtu wa aina hii kwenye mahusiano kwasababu najijua ni mkorofi kidogo kwahiyo naona kama ntamuonea sana.Iwe kwa makusudi au la najua mwisho wa siku ntaishia kujisikia vibaya na ntakua nimeshamuonea tayari!!Napenda mtu ambae nikikosea atanipa live na sio kwakunibembeleza maana wakati mwingine mtu akikwambia kitu kwa utaratibu ni rahisi kupotezea ila ukiona kakasirika kweli usikilizaji na uelewaji unaongezeka!!
Michango tafadhali......
Mi niko poa dear....hopefully na wewe uko shwari kabisa!!
Yani uliyoandika ndo haswaaa nnachomaanisha!!
Unakuta mtu hata ukikosea anaogopa kukwambia....kil akitu kinahusu kukufurahisha wewe..ukinuna kidogo tu hata kama wewe ndo umekosea basi anaanza kukubembeleza!!Ntaishia kuboreka mpaka mwisho!
Wakati naanza kazi Serikalini kwa mshahara wa 102,568/= kwa mwezi
unajua ngoja niwambie nyinyi wadada,
we ukiona mwanaume mpole usijidanganye kuwa umepata sana,
sometimes hawa wapole wana namna yao ya kujiliwaza,
wewe unamsema sema home, unamnyayapaa na maneno yako yasokuwa na adabu,
Anakuenjoy tu, taratibu anaenda kuliwazwa na wale wanaojua kuwa mume hakaripiwi!!!!!!!!
Dah!!!
Here here watchingWhere is you at......???
Hubby naomba uqoute hiyo kitu maana sio maneno yangu kabisa!!!
Siwezi kua na mpole maybe ila hata hiyo sijasema!
You haven't finished my job yet, don't ask me which job because you know it lolUsishangae, hapa ndo kazi ya diary ile..... take notes...
Kwa faida ya kina kaka embu wadada tujuzane mnapenda wapenzi/wenzi wenu waweje linapokuja swala la upole.Hapa siongelei ule upole wa muda kwamba ikitokea ugomvi mara moja moja anaweza kujishusha ...naongelea ule upole ambao ndio tabia yake.Yani kila kitu ye anakua mdogo tu....hata kama kosa sio lake anakua mdogo...hata kama anaonewa anakua mdogo!!
Binafsi mi naogopa kua na mtu wa aina hii kwenye mahusiano kwasababu najijua ni mkorofi kidogo kwahiyo naona kama ntamuonea sana.Iwe kwa makusudi au la najua mwisho wa siku ntaishia kujisikia vibaya na ntakua nimeshamuonea tayari!!Napenda mtu ambae nikikosea atanipa live na sio kwakunibembeleza maana wakati mwingine mtu akikwambia kitu kwa utaratibu ni rahisi kupotezea ila ukiona kakasirika kweli usikilizaji na uelewaji unaongezeka!!
Michango tafadhali......