Usipokuwa makini na wanasiasa wanaokaa mda mrefu madarakani wanaweza wakakutoa kwenye reli. Mbowe keshafanya geresha zote za siasa bado hajafanikiwa. Nazani sasa anaenda kwenye karata nyingine hatari zaidi ili afanikiwe tu bila kujali madhara yake.Tanzani hatujawai kuwa na tatizo au mjadala wa makabila, ila ndani ya miaka 5 iliyopita naona hii minong'ono inaibuka.
Nina imani kuwa aliyeanzisha ukabila atatangulia na kuiacha Tanzania ikiwa moja.
Watanzania tuzipuuze hizi chuki zinazopandikizwa kwetu
Magufuli hakuwa kiongozi wa wasukuma pia usiwakumbushe machungu na maumivu waliyoyapata Wasukuma kutokana na utawala wa magu, kuanzia bariadi, Itilima, Kisesa, Meatu, Maswa ngo'mbe za wasukuma zilitaifishwa bila huruma kwa kuwa zimekula malisho ya pori la akiba la Maswa ( Maswa Game Reserve),
Ukienda huko ziwa Victoria kuanzia mialo iliyopo huko mkoani Geita mfano NKOME jimbo la geita vijijini kwa ndugu Musukuma, Sengerema kwa ndugu Tabasamu, pamoja na maeneo mengine ya mwaloni wasukuma waliuawa, kuchomewa nyavu/makokoro, kutaifishwa kwa boti zao etc, hivyo unapotaka kujipendekeza kwa utawala wa mwenda zake uyapime maandishi yako in relation to matendo na uhalisia wa utawala wa awamu ya tano.
Hata hivyo waasukuma wana ukabila sana hasa huko NTUZU kwa joka la makengeza hawapendi kuona mgeni anapata nafasi eg madiwani wa kanda hii hawawapendi watumishi wasio na asili ya usukumani, hawapendi kuona mgeni anafanikiwa ktk eneo lao, utapigwa figisu za kila aina usifanikiwe ikiwemo ndumba, kuibiwa, dhulma, ujambazi etc. Ole wako ukumbane na mnyantuzu mwenye hela au msomi mwenye vyeo vyake wanadharau siyo ya dunia hii eg Joka la makengeza limeibeba hii trait 100%.
Usidanganye watu humu kuhusu wasukuma nimefanya kazi kuanzia Geita, Mwanza, Shinyanga kwa zaidi ya miaka 20 nawafahamu vizuri na pia kwa taarifa yako kwa picha aliyoionesha anko magu hakuna msukuma atakamata nafasi kubwa hasa urais ktk nchi hii kwani wasukuma mmefeli sana kwanza character ya ushamba ambayo mnayo kiasili imekuwa ndo sifa kuu ya uongozi wa magu hebu tazama vituko vya makonda enzi zake.
Mwisho naona unajaribu kuwashawishi wasukuma wasiikubali CDM unajidanganya bure na aliyekutuma mwambie kachelewa kuanzia shinyanga mjini, Simiyu, Mwanza hadi Geita wanaikubali sana CDM pia Wasukuma siyo wajinga kama unavyowaza kama ambavyo ccm inategemea watu mbumbumbu mambo yamebadilika hivyo ccm itaendelea kujipachika polisi, tiss, mahakamani lakini ikisema ijitokeze usano mwa watz bila hizo nyenzo itapata kipigo cha mbwa koko.
Tanzani hatujawai kuwa na tatizo au mjadala wa makabila, ila ndani ya miaka 5 iliyopita naona hii minong'ono inaibuka.
Nina imani kuwa aliyeanzisha ukabila atatangulia na kuiacha Tanzania ikiwa moja.
Watanzania tuzipuuze hizi chuki zinazopandikizwa kwetu
Umesema ukweli mwamwejo. Siku the sleeping giant atakapoamka Tanzania tunayoijua itakuwa siyo.Hizi choko choko zidi yao ipo siku zitaamsha hisia za ndani na wataanza kushirikiana Vizuri na huo Ndio utakuwa mwanzo wa ukabila hapa nchini. Na haitatokea Rais kutoka Kabila
Matope kabisa umepoteza muda wako bure.Magufuli hakuwa kiongozi wa wasukuma pia usiwakumbushe machungu na maumivu waliyoyapata Wasukuma kutokana na utawala wa magu, kuanzia bariadi, Itilima, Kisesa, Meatu, Maswa ngo'mbe za wasukuma zilitaifishwa bila huruma kwa kuwa zimekula malisho ya pori la akiba la Maswa ( Maswa Game Reserve),
Ukienda huko ziwa Victoria kuanzia mialo iliyopo huko mkoani Geita mfano NKOME jimbo la geita vijijini kwa ndugu Musukuma, Sengerema kwa ndugu Tabasamu, pamoja na maeneo mengine ya mwaloni wasukuma waliuawa, kuchomewa nyavu/makokoro, kutaifishwa kwa boti zao etc, hivyo unapotaka kujipendekeza kwa utawala wa mwenda zake uyapime maandishi yako in relation to matendo na uhalisia wa utawala wa awamu ya tano.
Hata hivyo waasukuma wana ukabila sana hasa huko NTUZU kwa joka la makengeza hawapendi kuona mgeni anapata nafasi eg madiwani wa kanda hii hawawapendi watumishi wasio na asili ya usukumani, hawapendi kuona mgeni anafanikiwa ktk eneo lao, utapigwa figisu za kila aina usifanikiwe ikiwemo ndumba, kuibiwa, dhulma, ujambazi etc. Ole wako ukumbane na mnyantuzu mwenye hela au msomi mwenye vyeo vyake wanadharau siyo ya dunia hii eg Joka la makengeza limeibeba hii trait 100%.
Usidanganye watu humu kuhusu wasukuma nimefanya kazi kuanzia Geita, Mwanza, Shinyanga kwa zaidi ya miaka 20 nawafahamu vizuri na pia kwa taarifa yako kwa picha aliyoionesha anko magu hakuna msukuma atakamata nafasi kubwa hasa urais ktk nchi hii kwani wasukuma mmefeli sana kwanza character ya ushamba ambayo mnayo kiasili imekuwa ndo sifa kuu ya uongozi wa magu hebu tazama vituko vya makonda enzi zake.
Mwisho naona unajaribu kuwashawishi wasukuma wasiikubali CDM unajidanganya bure na aliyekutuma mwambie kachelewa kuanzia shinyanga mjini, Simiyu, Mwanza hadi Geita wanaikubali sana CDM pia Wasukuma siyo wajinga kama unavyowaza kama ambavyo ccm inategemea watu mbumbumbu mambo yamebadilika hivyo ccm itaendelea kujipachika polisi, tiss, mahakamani lakini ikisema ijitokeze usano mwa watz bila hizo nyenzo itapata kipigo cha mbwa koko.
Kiongozi wao ni yupi huyo unayemsema? anaitwa chief nani? Kama unamsema Magufuri hajawahi kuwa kiongozi wa Wasukuma au twambie ni lini alisimikwa kuwa kiongozi wa wasukuma.Hakuna asiye jua kwamba wasukuma Ndio wengi hapa nchini. Na kwa Hari ilivyo unaweza sema wako kila kona ya nchi.
Wasukuma hawajawahi kubishana mambo ya ukabila hadharani wao ni nduhu tabu (yaani hakuna shida).
Hizi choko choko zidi yao ipo siku zitaamsha hisia za ndani na wataanza kushirikiana Vizuri na huo Ndio utakuwa mwanzo wa ukabila hapa nchini. Na haitatokea Rais kutoka Kabila jingine.
Baada ya kifo Cha Magufuli wasukuma wamebagazwa Sana kwenye mitandao lakini bado wanaendelea na kuchapa Kazi na hawana shida na hayo.
Siasa zinazoendelea ndani ya Chadema hazina afya hasa ukizingatia wasukuma wametoka kumzika kiongozi wao mkuu. Wanahitaji faraja na sio kutukanishwa. Nami niseme..yaliyopita si ndwele tugange yajayo.
Mikabila sana Hii mijituPale ulipoandika " WASUKUMA WAMETOKA KUMZIKA KIONGOZI WAO MKUU" panafikirisha sana!..
Warundi waliojificha kwenye Usukuma. SUKUMA GANG wakianza fyokofyoko tunarudisha wote kwao Burundi.Wasukuma ni kabila au mjumuiko wa makabila?