funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 39,023
- 31,535
Ni wazi tukiwaacha vilaza na ngwini kujibizana katika siasa za uwanaharakati nchi yetu haitaendelea kamwe katika milestones muhimu za kiuchumi na kiulinzi.
Kama hatutasukuma agenda za namna hii tutaishia kuendesha nchi kwa reference za ngwini wanaoiga uwanaharakati tu na hivyo Taifa haliwezi kusonga mbele kwa muktadha wa sayansi na teknolojia.
wapo wapi maprofesa waliosoma Engeneering na kozi zinazofanania kutuvusha?
Kama hatutasukuma agenda za namna hii tutaishia kuendesha nchi kwa reference za ngwini wanaoiga uwanaharakati tu na hivyo Taifa haliwezi kusonga mbele kwa muktadha wa sayansi na teknolojia.
wapo wapi maprofesa waliosoma Engeneering na kozi zinazofanania kutuvusha?