Upo wapi Anneth Benidicta?

hivi aliyemuoa akipita anajisikiaje
 
Kama ulichoandika hapa kina ukweli na siyo changamsha genge basi haya ni matumizi mabaya ya mitandao.

Ulimwengu huu zipo njia nyingi sana ya kumsearch mtu kimyakimya kuliko njia hii unayotumia.

Wewe utajisikia vipi siku hapa JF atokee njemba na uzi wake wa kumsaka mpenzi wake wa zamani ambaye ndio mke wako?

Punguzeni upumbavu.
 
Tafuta Anneth mwingine tu.
Huyo atakuwa ameolewa
 
Andaa bajeti, na uende pointi zote alizokuwa anakaa huyo mpenzi wako, kuanzia kwenye nyumba, shule n.k
 
Anaitwa Anastasia Benidicta Ila alikuwa anapenda nimuite Aneth, Nimemkumbuka Sana Mpenzi wangu.

Popote Ulipo Aneth, nakuomba ujitokeze, najua umeolewa lakini nataka nikuone tuu roho yangu itulie
Wewe ulipomtosa ulifikiri hatapata wakufanana nae! Sasa unamwanika hapa ili uvunje ndoa yake? Manake kwa aunt yake unapajua uungwana nenda kaanzie hapo usiwe kivuruge
 
Nasisitiza huu ni upumbavu wa hali ya juu na wanaouendekeza ni vilaza ndio maana hata kuandika hawajui. Mademu zao waliowapenda wakiwa sijui chekechea uko wanataka kujikuta leo hii wamedata. How comes mtu walipendana sana na hajui namna ya kumpata katika ulimwengu wa sasa.

Hizi ni njia za kuchafuana, unaweza gombana na mtu uko unakuja humu kujifanya mlikuwa wapenzi na akatoa mimba. Mods wafute ujinga kama huu
 
Wewe ulipomtosa ulifikiri hatapata wakufanana nae! Sasa unamwanika hapa ili uvunje ndoa yake? Manake kwa aunt yake unapajua uungwana nenda kaanzie hapo usiwe kivuruge
Huyu ni mchawi wala hana mapenzi hapa. Kwa akili hizi huyo Aneth hampati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…