Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 1,341
- 1,499
Habari!
Natafuta wahudumu wa kupika chakula wawili (2) na wakutembeza bidhaa (2).
Posho ni Tsh. 3,000 kwa kutwa. Kikubwa uwe na ujuzi tu wa kazi husika.
Mwenye uhitaji njoo inbox.
Sent using Jamii Forums mobile app
Natafuta wahudumu wa kupika chakula wawili (2) na wakutembeza bidhaa (2).
Posho ni Tsh. 3,000 kwa kutwa. Kikubwa uwe na ujuzi tu wa kazi husika.
Mwenye uhitaji njoo inbox.
Sent using Jamii Forums mobile app


