Upinzani wamtaka Sumaye...

Upinzani wamtaka Sumaye...

Status
Not open for further replies.
Damu ni nzito kuliko maji, Tamaa mbele mauti nyuma. Leo saa sita mchana, Waziri Mkuu wa awamu ya tatu, FREDRICK TLUWAY SUMAYE atatangaza rasmi kujiunga na chama cha CHADEMA, uamuzi alioufikia baada ya kukutana na EDWARD NGOYAI LOWASSA na kumhakikishia kuwa lazima ashinde na asiposhinda DAMU ITAMWAGIKA.
Pamoja na Tamaa ya Madaraka aliyonayo Sumaye na ukweli kwamba wanatoka Kanda moja na Lowassa kuwa miongoni mwa sababu za Sumaye kuamua kuhamia CHADEMA kwa kivuli kwamba anamfuata Lowassa, PIA ATAKUWA AMEFIKIA UAMUZI HUO ILI KUJISALIMISHA MAPEMA KWA LOWASSA KWA VILE YEYE(SUMAYE) ni miongoni mwa watu WALIOMPIGA SANA LOWASSA KUWA NI FISADI. SUMAYE ameamua kuweka silaha chini na kujisalimisha.
Sumaye ana lipi jipya atakalowaongezea CHADEMA zaidi ya sifa ya Uwaziri Mkuu Mstaafu tu?
Kila la heri SUMAYE huko uwendako, ila uangalie usiende kuwa kero kwa wenye chama kama walivyokero akina ESTER BULAYA, MKONGORO MAHANGA, SAIDI MKUMBA, KAFULI n.k.
Tamaa Mbele Mauti NYUMA.
Wewe ni mpuuzi sana. Nimekuwa nikiona posts zako siku nyingi sasa lazima kukwambia. Acha ushenzi, acha kauli za uchochezi. Shetani mpaka kwenye sakafu ya moyo wake. Ulaani wewe na shetani wakupokee leo katika ufalme wao. hufai kuwa duniani. Maneno yako hayo ni hatari sana. Umemsikia Sumaye akisema hivyo?
 
Damu ni nzito kuliko maji, Tamaa mbele mauti nyuma. Leo saa sita mchana, Waziri Mkuu wa awamu ya tatu, FREDRICK TLUWAY SUMAYE atatangaza rasmi kujiunga na chama cha CHADEMA, uamuzi alioufikia baada ya kukutana na EDWARD NGOYAI LOWASSA na kumhakikishia kuwa lazima ashinde na asiposhinda DAMU ITAMWAGIKA.
Pamoja na Tamaa ya Madaraka aliyonayo Sumaye na ukweli kwamba wanatoka Kanda moja na Lowassa kuwa miongoni mwa sababu za Sumaye kuamua kuhamia CHADEMA kwa kivuli kwamba anamfuata Lowassa, PIA ATAKUWA AMEFIKIA UAMUZI HUO ILI KUJISALIMISHA MAPEMA KWA LOWASSA KWA VILE YEYE(SUMAYE) ni miongoni mwa watu WALIOMPIGA SANA LOWASSA KUWA NI FISADI. SUMAYE ameamua kuweka silaha chini na kujisalimisha.
Sumaye ana lipi jipya atakalowaongezea CHADEMA zaidi ya sifa ya Uwaziri Mkuu Mstaafu tu?
Kila la heri SUMAYE huko uwendako, ila uangalie usiende kuwa kero kwa wenye chama kama walivyokero akina ESTER BULAYA, MKONGORO MAHANGA, SAIDI MKUMBA, KAFULI n.k.

Tamaa Mbele Mauti NYUMA.

Aibu zako milele. kwanini unaingiza ubaguzi . mimi na toka kanda ya kati na ni mdau na mwanachana mwaminifu wa chadema.
Natamani ufungiwe kabisa. ningekuwa nakufahamu ningekufungulia kesi ya uchochezi.

MBAGUZI MKUBWA WEWE. AIBU YAKO NA FAMILIA YAKO YOTE.

AIBU IAMBATANE NAWE
 
Waacheni waje safina haikujaa but kila kitu kilienda poa na hakuna kilicho kosekana so ccm cyo mama wa baba yao wacha waje kwenye safari ya huwakika mwaka huu lazima mtafutane mapangoni
 
Hivi unayejiita Tatamadiba unamaanisha nini unaposema Lowasa amesema asiposhinda damu itamwagika? Hebu thibitisha kauli hii maana ukishindwa namba yako ya cm itatumika kutoa ishahidi...alafu unachochea machafuko na ukabila ulivyo mshamba
 
Damu ni nzito kuliko maji, Tamaa mbele mauti nyuma. Leo saa sita mchana, Waziri Mkuu wa awamu ya tatu, FREDRICK TLUWAY SUMAYE atatangaza rasmi kujiunga na chama cha CHADEMA, uamuzi alioufikia baada ya kukutana na EDWARD NGOYAI LOWASSA na kumhakikishia kuwa lazima ashinde na asiposhinda DAMU ITAMWAGIKA.
Pamoja na Tamaa ya Madaraka aliyonayo Sumaye na ukweli kwamba wanatoka Kanda moja na Lowassa kuwa miongoni mwa sababu za Sumaye kuamua kuhamia CHADEMA kwa kivuli kwamba anamfuata Lowassa, PIA ATAKUWA AMEFIKIA UAMUZI HUO ILI KUJISALIMISHA MAPEMA KWA LOWASSA KWA VILE YEYE(SUMAYE) ni miongoni mwa watu WALIOMPIGA SANA LOWASSA KUWA NI FISADI. SUMAYE ameamua kuweka silaha chini na kujisalimisha.
Sumaye ana lipi jipya atakalowaongezea CHADEMA zaidi ya sifa ya Uwaziri Mkuu Mstaafu tu?
Kila la heri SUMAYE huko uwendako, ila uangalie usiende kuwa kero kwa wenye chama kama walivyokero akina ESTER BULAYA, MKONGORO MAHANGA, SAIDI MKUMBA, KAFULI n.k.

Tamaa Mbele Mauti NYUMA.

Acha uzushi manyara ipo kanda ya kati!
 
CCM wanaendekeza ubaguzi kina Moderator wapo kimya tu...
 
Last edited by a moderator:
Ndo unaleta habari au majungu?? Mbona nyinyi hamsemi chama kimekuwa cha mwenyekiti na familia yake!? Wengine ni vyambo tu humo ndani

Hata Dodoma aliwadharau cc kamati ya maadili akaenda na majina yake mfukoni eti kuwahadaa watanzania kuwa yamechujwa na kamati ya maadili! Tangu lini Membe mwizi wa mali na mapesa ya Gadafi akawa na maadili kuliko makamu wa Rais Blali? Tangu lini January makamba mwizi wa mladi wa mararia mpiga madili ikulu akawa na maadili kuliko Pinda waziri mkuu, jaji Ramadhan, wasira, mwandosya nk? Eti sasa Magufuli ana maadili gani? Bilion 251 ameziiba kwa kulipa makandarasi hewa, kivuko cha billion 1 alikinunua kwa billion 8 kapiga bilion 7 zote huyo ndiyo ana maadili? Nyumba za serikali badala anunue moja yeye alijiuzia Nyumba kibao kienyeji zingine akagawa kwa hawala zake na mdogo wake hayo ni maadili? Escrow, EPA, buzwagi, sukari, mabehewa feki nk ni maadili?
 
Hata sisi tulioko CHADEMA na tumezaliwa mikoa ya kanda ya Ziwa ni Wakaskazini!? Acha kufikili kwa akili za kimtindio wa ubongo,mapokezi aliyofanyiwa Lowassa Mwanza ni wote tulikuwa Wachaga ama Wamasai? Mbona Slaa amezira yeye anatokea wapi? Awamu hii mmekamatika na Slaa tunataka asiendelee kujificha isipokuwa aje huko CCM, kaondoka Lipumba hakuna hata diwani aliyemfuata. Nachukia ukabila kama ninavyoichukia CCM ya kitengo.
 
Unajua nyinyi vitaza wa ccm mmechanganyikiwa na ndiyo maana m/kiti anaweweseka kama mawaziri wakuu wawili watahama chama kwawakati mmoja siyo jambo la kawaida. Sasa mashambulisi nindani na nje mpaka mseme bc. Mmeansa na ukabila mara chama cha kasikasini leo ukitizama serikali yenu niwapi kuna ukabila na udini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom