Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Mkuu Kabla Hujasema Afrika Kuna Ulafi Wa Madaraka Hebu Jiulize,Hv kwann viongoz wa africa n walaf wa madaraka?.....hawaheshm demokrasia kabsaa.....lakn kinachoangusha upinzan n uwoga na ujinga wa watu.....uwoga kwakuwa watz hawana hata ushrkiano wanaish tu kwakuwa bado wako hai....na ujinga kwakuwa watu weng hawajaelemika haswa kuhusu masuala ya kiukomboz.....CCM itatawala kwa mabav kwa miaka ming sana tz....
- Kama Madaraka Ya Chama Cha Siasa Ni Matamu Sana Mpaka Mtu Anakatalia Madarakani
- Leo Unashangaa Mtu Kukatalia Madarakani Kinchi ?
- Vipi Kuhusu Utamu Wa Ikulu Si Ataigeuza Nyumba Ya Familia