Upinzani umekosa ajenda, umebaki kutengeneza hofu kwa wananchi

Hahaha wanaandaa muswaada wakuwataka vyama mbadala vyote kuwa na kumbi zao za mikutano kila kata, ni marufuku kufanya mikutano viwanja vya shule au vya wazi. Wanataka indoor political meetings, Fiesta ya clouds ilizuiwa hata hili wataweza.
Ni mara 100 wafute mfumo wa vyama vingi Duniani kote wajue moja kuliko kuwafanyia Visa visa vya kishamba shamba toka kolomije na chato.
 
Dunia na Jumuiya ya Kimataifa lazima ijue ukweli kuhusu hali ya kisiasa nchini Tanzania, Mh Rais Magufuli hajengi Taifa la hofu kwa yeyoye hasa Viongozi wa upinzani, Mazingira ya kufanya siasa nchini Tanzania ni salama kwa chama chochote kufanya siasa na tumeona Kiongozi Mkuu wa Act, Zitto Kabwe akifanya siasa hata kuvuka mipaka na kukebehi Mihimili ya Serikali na kuwatisha polisi eti wakienda kumkamata watakutana na Ziwa Tanganyika.

Tatizo moja ni kwamba,Upinzani umekosa ajenda hasa baada ya Mh Rais Magufuli kuziba mianya ya rushwa na kukemea vikali matumizi mabaya ya Mali ya Umma,Mh Rais hacheki na Mafisadi wala Walanguzi, Amezuia Ufisadi, Ameupiga Vita ukosefu wa maadili kwa Watumishi wa Umma,hizi zilikuwa ajenda za kila mwaka za Upinzani ambazo zimekuwa zikiwapa kiki za kisiasa toka kwa Wananchi,

Chini ya Rais Magufuli,kiwango cha rushwa, ufisadi na matumizi mabaya ya Mali ya Umma kimekwenda chini,Kitu ambacho kimemfanya Zitto Kabwe,Freeman Mbowe, Tundu Lissu na Upinzani kwa ujumla kukosa ajenda na kuamua kutengeneza ajenda zao za kuwatia hofu Wananchi,awa hawana tofauti na Mongosuthu Buthelezi aliyekuwa anampinga Mandela na harakati za kuikomboa Afrika ya Kusini toka kwa Makaburu.

Mh Rais Magufuli hana shida na yeyote aliyepo upinzani, na kwa kudhihirisha hili amewachagua Wapinzani wengi kwenye Serikali yake ili nao wakatende yale wanayoyapigia kelele wapiwa katika vyama vyao vya Upinzani.

Mh Magufuli amejielekeza zaidi katika kutekeleza aliyoyaahidi na yale yote muhimu hata kama hakuyaahidi. Mh Rais Magufuli amejielekeza zaidi katika kujenga miradi mikubwa ambayo ina tija kwa Wananchi, hivi tuongeavyo Mh Rais tayari ameidhinisha ujenzi wa miradi ya mabilioni ya pesa kama mradi wa Umeme wa mto rufiji utakaozalisha (megawatt) MW W2,100 za Umeme ambao utalisaidia Taifa na kuokoa fedha nyingi zilizokuwa zikitumika kukodi mitambo ya kuzalisha Umeme hapa nchini.

Tanzania ni nchi yenye kuamini katika ujamaa na kujitegemea. Ili kuwa na jamii yenye usawa na uhuru wa kweli na kwa maono ya rais JPM bila shaka tutaifikia Tanzania tunayaoitaka yenye uchumi endelevu wa viwanda na yenye kuweza kujitegemea.

Tukirejea miaka 57 ya Uhuru mengi yametendeka, Changamoto hazikukosekana,Wapo waliotumwa na mabeberu kukwamisha maendeleo ya Watanzania, Lakini tumejikongoja na Sasa yupo kiongozi ambaye amejitoa kwa ajili ya Taifa na bado tunawaona watu kama kina Zitto, Mbowe,Lissu (Mongosuthu Buthelezi) wakitaka kumkwamisha kwa hila mbalimbali hata wakati mwingine wakishirikiana na Wazungu ambao walikuwa wakoloni wetu.

-Maendeleo na Changamoto toka enzi za Mwalimu Nyerere.

Awamu ya kwanza ( Tanzania baada ya uhuru)
Mwalimu aliachiwa changamoto nyingi na serikali ya kikoloni zikiwemo
-Ukosefu wa wataalamu.
-Miundo mbinu mibovu.
-Mivutano ya ulaya Magharibi na Mashariki.
-Vita ya kagera na wahujumu uchumi.

Awamu ya pili,Awamu ya tatu na Awamu ya nne,zilikumbwa na changamoto kadhaa zikiwemo,
- Kuuanguka kwa dola ya urusi
-Kubadilika kwa siasa za dunia na kuingia mfumo wa vyama vingi
-Kukua kwa ufisadi.

Awamu ya tano,niiite ya mafanikio licha ya changamoto ambazo zinatoka Watanzania wasio Wazalendo, lakini Mh Rais John Magufuli ameendelea kutenda mambo makubwa.
-Kujenga taasisi imara za serikali zenye kuwajibika.
-Kufanya ubunifu mfano kufufua Shirika la ndege,Shirika la reli
-Kuwekeza kwenye miundo mbinu ya msingi kama Bandari, Reli, Barabara na Anga.
-Mutumia mifumo ya tekno hama kurahisisha utendaji wa serikali na kuweka mazingira rafiki ya kufanya biashara.
-Kudhibiti ufisadi na upotevu wa fedha
-Kuwekeza kwenye mradi wa umeme wa Mto Rufiji wa Stigglers Gorge.

Mh Rais amejikita katika ujenzi wa miundo mbinu nchi nzima na point muhimu katika ujenzi wa Nchi ya Viwanda tukianza na ujenzi wa bwawa la Umeme katika Mto Rufiji, Stiglers Gorge,Ujenzi wa Standard Gauge,na pia utoaji wa elimu bure kwa Wanafunzi toka darasa la kwanza hadi form four, Maendeleo yote haya yanawafanya wapinzani wapoteze akili yao, na wanaanza kuishi kwa propaganda eti Mh Magufuli anawapa shida,Eti Mh Magufuli anawaonea mafisadi kwa kuwafunga, ha ha ha mi nadhani hata hawa wapinzani wanastahili kushtakiwa kwa kutumia ujinga wa Watanzania kuwadanganya.

Mfano tu, Jana Zitto anasema Mh Rais kasaini mkataba na kampuni binafsi, hivi jamani aliyesaini ni Mh Rais au Mkurugenzi wa Tanesco na timu yake na Mh Rais kushuhudia,Zitto anasema kampuni ni kampuni binafsi,Arab contractor......sawa, tatizo liko wapi. Kwani mradi ni wa IPP media si ni watanzania sasa wewe Ndugu Zitto ulitaka asaini nani.!?Trump alisaini mikataba ya
us$ 14bn, yote ni ya kampuni binafsi ikiwemo Boeing na Lockheed Martin.
Acha kutumia ujinga wa watanzania kama mtaji wa kisiasa.

Arab Contractor wamejenga Aswan High dam, Cairo Alexandria desert road, Cairo Regional ring road, Luxor International Airport,na ikiwa ni Government Owned Corporation,Yes,Founder ni Osman Ahmed Osman,lakini je si kampuni ya kimataifa na ujenzi wake unekubalika kimataifa.?

Sasa wapo Wapinzani uchwara wakiongozwa na Zitto wa Act,Mbowe na Lissu wa Chadema na sasa wamejitokeza wafuasi wao ambao wao wanawatumia kama mtaji wao wa kisiasa kupata kiki za kisiasa (Political Mileage) mfano wa Ole Mushi anayejiita "MwanaCCM huku akituma vyema na Chadema "na pia kupata ruzuku katika vyama vyao wanavyoviongoza, wao kazi yao ni kulaumu tu na kulaani kila kinachofanywa na Rais Magufuli kiwe ni kizuri ama kibaya, wao watalaumu tu. Sasa wakitokea Wazee Wale waliojenga reli ya kati kwa fimbo na ujira wa thumni, wakasifia na kusema tumwombee Rais Magufuli Mungu amlinde na aendelee kumpa ujasiri huo huo bila kutetereka wala kurudi nyuma, Wanatokea wapinzani awa uchwara wanapinga, nadhani hii ni akili ya kijinga na ya kitoto.

Nasema ipo akili ipitayo akili ya kibinadamu ambayo inamuongoza Kiongozi wa Nchi, nayo inapatikana kwa kuomba kwa Mungu.Wapo Wananchi wa hali ya chini wanaomba usiku na mchana Mh Rais Magufuli afanikiwe kuibadili Tanzania iliyokuwa milki ya vibopa wachache waliojiita King's Maker,Sasa kwa ujumla tumuombee Rais Magufuli ili awa wapinzani wenye roho ya nyoka ambaye ni shetani, wapate kushindwa na roho zao za hila na husda, kiroho na kiimani, Watawala hawataweza kukamilisha majukumu yao vizuri kama hatutaomba, Hivyo yatupasa kuwaombea Viongozi wetu kila saa, kila dakika na kila wakati ili waweze kutenda mema kwa nchi na kwa Taifa.

Wapo watu wanapenda kusikia mazuri wanayoyawaza wao ambayo ni kwa faida yao, Wanataka Rais aongee maneno mazuri na matatu yanayokonga nyoyo zao, Mfano wafuasi wengi wa Chadema wao wanaangaliaga yapi yanapendeza masikioni mwao ndio wanayapa credit za maneno ya Mungu, na Mwenyekiti wa Act nae anataka kusikia yanayompendeza yeye na si Taifa ,Ndio aanze kumuombea Kiongozi wa Nchi, nasema hekima na busara haiko ndani yao. Mungu awape neema ya kuweza kuomba bila kubagua kwa maana wamekuwa waombaji wa kuwaombea ndugu zao na matajiri wanaowapa pesa na si kuwaombea watu baki na wenye shida.

Nimalizie kwa kuwasihi Watanzania wamuombee Rais John Magufuli, waombee wasaidizi na washauri wake wote,Jukumu la kuomba, kuwategemeza Viongozi wetu kwa Mungu ni letu sisi Wananchi pasipo kuangalia tuna maslahi gani katika Uongozi wao. Omba bila kuchoka Mapenzi ya Mungu yatimie na Mungu atupe Tanzania Mpya. Haijalishi Mungu ametupa njia tunayoipenda au la.

Mungu ni wa ajabu sana, Kadri unavyomuombea Kiongozi wa Nchi yako basi Mungu anafungua milango ya Baraka kwako wewe unayeomba na familia yako bila kusahau kazi ya mikono yako.

Mungu ambariki Rais wetu mpendwa Dr. John Pombe Magufuli,kila mmoja kwa dini yake kila uchwao na amwombee Rais wa Nchi, na niwakumbushe wakristo kama ilivyoandikwa kwenye biblia, kuna watu kwenye biblia wakiongozwa na Sanbalat na Tobia walimcheka na kumcheka Nehemiah ambaye alikuwa akiijenga Yerusalemu Mpya baada ya misingi ya Yerusalemu kuharibiwa na waovu,walarushwa na Mafisadi lakini walishindwa na Nehemiah alifanikiwa,Rais Magufuli ni Nehemiah wa wakati huo kama ilivyo kwenye biblia.

Nikiishia hapa, Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
Tangu uajiriwe na fisadi jiwe kumtetea na kusifia umekuwa unasumbua sana humu na mada zako za hovyo kama boss wako
 
CCM ajenda yao ni Kuua upinzani na hawajui tactics za kuudhofisha upinzani,wanachojua ni kuweka selo wapinzani,,,pathetic!
CCM wamekopi mbinu za Serikali ya china wanataka warejeshe mfumo wa chama kimoja kisha Rais anakuwa wa milele mpaka siku anafariki kama China ni aina Fulani ya Utawala wa kifalume unataka kuletwa Tanzania.
 
We mbwa watz wanajengewaje hofu wkt maisha yao ni mazuri na rais wa wanyonge amehakikisha wananeemeka......
Wewe ni wa hovyo sn. Haiwezekani maisha matamu hivi alafu mpinzani aje anijengee hofu.
Ccm mnahofu ya nn wkt hadi wabunge na madiwani wanahamia ccm so maana yake watz wanaikubali ccm kwanzaidi ya 100%...
Hofu ya nn nyie mbwa??
 
Dunia na Jumuiya ya Kimataifa lazima ijue ukweli kuhusu hali ya kisiasa nchini Tanzania, Mh Rais Magufuli hajengi Taifa la hofu kwa yeyoye hasa Viongozi wa upinzani, Mazingira ya kufanya siasa nchini Tanzania ni salama kwa chama chochote kufanya siasa na tumeona Kiongozi Mkuu wa Act, Zitto Kabwe akifanya siasa hata kuvuka mipaka na kukebehi Mihimili ya Serikali na kuwatisha polisi eti wakienda kumkamata watakutana na Ziwa Tanganyika.

Tatizo moja ni kwamba,Upinzani umekosa ajenda hasa baada ya Mh Rais Magufuli kuziba mianya ya rushwa na kukemea vikali matumizi mabaya ya Mali ya Umma,Mh Rais hacheki na Mafisadi wala Walanguzi, Amezuia Ufisadi, Ameupiga Vita ukosefu wa maadili kwa Watumishi wa Umma,hizi zilikuwa ajenda za kila mwaka za Upinzani ambazo zimekuwa zikiwapa kiki za kisiasa toka kwa Wananchi,

Chini ya Rais Magufuli,kiwango cha rushwa, ufisadi na matumizi mabaya ya Mali ya Umma kimekwenda chini,Kitu ambacho kimemfanya Zitto Kabwe,Freeman Mbowe, Tundu Lissu na Upinzani kwa ujumla kukosa ajenda na kuamua kutengeneza ajenda zao za kuwatia hofu Wananchi,awa hawana tofauti na Mongosuthu Buthelezi aliyekuwa anampinga Mandela na harakati za kuikomboa Afrika ya Kusini toka kwa Makaburu.

Mh Rais Magufuli hana shida na yeyote aliyepo upinzani, na kwa kudhihirisha hili amewachagua Wapinzani wengi kwenye Serikali yake ili nao wakatende yale wanayoyapigia kelele wapiwa katika vyama vyao vya Upinzani.

Mh Magufuli amejielekeza zaidi katika kutekeleza aliyoyaahidi na yale yote muhimu hata kama hakuyaahidi. Mh Rais Magufuli amejielekeza zaidi katika kujenga miradi mikubwa ambayo ina tija kwa Wananchi, hivi tuongeavyo Mh Rais tayari ameidhinisha ujenzi wa miradi ya mabilioni ya pesa kama mradi wa Umeme wa mto rufiji utakaozalisha (megawatt) MW W2,100 za Umeme ambao utalisaidia Taifa na kuokoa fedha nyingi zilizokuwa zikitumika kukodi mitambo ya kuzalisha Umeme hapa nchini.

Tanzania ni nchi yenye kuamini katika ujamaa na kujitegemea. Ili kuwa na jamii yenye usawa na uhuru wa kweli na kwa maono ya rais JPM bila shaka tutaifikia Tanzania tunayaoitaka yenye uchumi endelevu wa viwanda na yenye kuweza kujitegemea.

Tukirejea miaka 57 ya Uhuru mengi yametendeka, Changamoto hazikukosekana,Wapo waliotumwa na mabeberu kukwamisha maendeleo ya Watanzania, Lakini tumejikongoja na Sasa yupo kiongozi ambaye amejitoa kwa ajili ya Taifa na bado tunawaona watu kama kina Zitto, Mbowe,Lissu (Mongosuthu Buthelezi) wakitaka kumkwamisha kwa hila mbalimbali hata wakati mwingine wakishirikiana na Wazungu ambao walikuwa wakoloni wetu.

-Maendeleo na Changamoto toka enzi za Mwalimu Nyerere.

Awamu ya kwanza ( Tanzania baada ya uhuru)
Mwalimu aliachiwa changamoto nyingi na serikali ya kikoloni zikiwemo
-Ukosefu wa wataalamu.
-Miundo mbinu mibovu.
-Mivutano ya ulaya Magharibi na Mashariki.
-Vita ya kagera na wahujumu uchumi.

Awamu ya pili,Awamu ya tatu na Awamu ya nne,zilikumbwa na changamoto kadhaa zikiwemo,
- Kuuanguka kwa dola ya urusi
-Kubadilika kwa siasa za dunia na kuingia mfumo wa vyama vingi
-Kukua kwa ufisadi.

Awamu ya tano,niiite ya mafanikio licha ya changamoto ambazo zinatoka Watanzania wasio Wazalendo, lakini Mh Rais John Magufuli ameendelea kutenda mambo makubwa.
-Kujenga taasisi imara za serikali zenye kuwajibika.
-Kufanya ubunifu mfano kufufua Shirika la ndege,Shirika la reli
-Kuwekeza kwenye miundo mbinu ya msingi kama Bandari, Reli, Barabara na Anga.
-Mutumia mifumo ya tekno hama kurahisisha utendaji wa serikali na kuweka mazingira rafiki ya kufanya biashara.
-Kudhibiti ufisadi na upotevu wa fedha
-Kuwekeza kwenye mradi wa umeme wa Mto Rufiji wa Stigglers Gorge.

Mh Rais amejikita katika ujenzi wa miundo mbinu nchi nzima na point muhimu katika ujenzi wa Nchi ya Viwanda tukianza na ujenzi wa bwawa la Umeme katika Mto Rufiji, Stiglers Gorge,Ujenzi wa Standard Gauge,na pia utoaji wa elimu bure kwa Wanafunzi toka darasa la kwanza hadi form four, Maendeleo yote haya yanawafanya wapinzani wapoteze akili yao, na wanaanza kuishi kwa propaganda eti Mh Magufuli anawapa shida,Eti Mh Magufuli anawaonea mafisadi kwa kuwafunga, ha ha ha mi nadhani hata hawa wapinzani wanastahili kushtakiwa kwa kutumia ujinga wa Watanzania kuwadanganya.

Mfano tu, Jana Zitto anasema Mh Rais kasaini mkataba na kampuni binafsi, hivi jamani aliyesaini ni Mh Rais au Mkurugenzi wa Tanesco na timu yake na Mh Rais kushuhudia,Zitto anasema kampuni ni kampuni binafsi,Arab contractor......sawa, tatizo liko wapi. Kwani mradi ni wa IPP media si ni watanzania sasa wewe Ndugu Zitto ulitaka asaini nani.!?Trump alisaini mikataba ya
us$ 14bn, yote ni ya kampuni binafsi ikiwemo Boeing na Lockheed Martin.
Acha kutumia ujinga wa watanzania kama mtaji wa kisiasa.

Arab Contractor wamejenga Aswan High dam, Cairo Alexandria desert road, Cairo Regional ring road, Luxor International Airport,na ikiwa ni Government Owned Corporation,Yes,Founder ni Osman Ahmed Osman,lakini je si kampuni ya kimataifa na ujenzi wake unekubalika kimataifa.?

Sasa wapo Wapinzani uchwara wakiongozwa na Zitto wa Act,Mbowe na Lissu wa Chadema na sasa wamejitokeza wafuasi wao ambao wao wanawatumia kama mtaji wao wa kisiasa kupata kiki za kisiasa (Political Mileage) mfano wa Ole Mushi anayejiita "MwanaCCM huku akituma vyema na Chadema "na pia kupata ruzuku katika vyama vyao wanavyoviongoza, wao kazi yao ni kulaumu tu na kulaani kila kinachofanywa na Rais Magufuli kiwe ni kizuri ama kibaya, wao watalaumu tu. Sasa wakitokea Wazee Wale waliojenga reli ya kati kwa fimbo na ujira wa thumni, wakasifia na kusema tumwombee Rais Magufuli Mungu amlinde na aendelee kumpa ujasiri huo huo bila kutetereka wala kurudi nyuma, Wanatokea wapinzani awa uchwara wanapinga, nadhani hii ni akili ya kijinga na ya kitoto.

Nasema ipo akili ipitayo akili ya kibinadamu ambayo inamuongoza Kiongozi wa Nchi, nayo inapatikana kwa kuomba kwa Mungu.Wapo Wananchi wa hali ya chini wanaomba usiku na mchana Mh Rais Magufuli afanikiwe kuibadili Tanzania iliyokuwa milki ya vibopa wachache waliojiita King's Maker,Sasa kwa ujumla tumuombee Rais Magufuli ili awa wapinzani wenye roho ya nyoka ambaye ni shetani, wapate kushindwa na roho zao za hila na husda, kiroho na kiimani, Watawala hawataweza kukamilisha majukumu yao vizuri kama hatutaomba, Hivyo yatupasa kuwaombea Viongozi wetu kila saa, kila dakika na kila wakati ili waweze kutenda mema kwa nchi na kwa Taifa.

Wapo watu wanapenda kusikia mazuri wanayoyawaza wao ambayo ni kwa faida yao, Wanataka Rais aongee maneno mazuri na matatu yanayokonga nyoyo zao, Mfano wafuasi wengi wa Chadema wao wanaangaliaga yapi yanapendeza masikioni mwao ndio wanayapa credit za maneno ya Mungu, na Mwenyekiti wa Act nae anataka kusikia yanayompendeza yeye na si Taifa ,Ndio aanze kumuombea Kiongozi wa Nchi, nasema hekima na busara haiko ndani yao. Mungu awape neema ya kuweza kuomba bila kubagua kwa maana wamekuwa waombaji wa kuwaombea ndugu zao na matajiri wanaowapa pesa na si kuwaombea watu baki na wenye shida.

Nimalizie kwa kuwasihi Watanzania wamuombee Rais John Magufuli, waombee wasaidizi na washauri wake wote,Jukumu la kuomba, kuwategemeza Viongozi wetu kwa Mungu ni letu sisi Wananchi pasipo kuangalia tuna maslahi gani katika Uongozi wao. Omba bila kuchoka Mapenzi ya Mungu yatimie na Mungu atupe Tanzania Mpya. Haijalishi Mungu ametupa njia tunayoipenda au la.

Mungu ni wa ajabu sana, Kadri unavyomuombea Kiongozi wa Nchi yako basi Mungu anafungua milango ya Baraka kwako wewe unayeomba na familia yako bila kusahau kazi ya mikono yako.

Mungu ambariki Rais wetu mpendwa Dr. John Pombe Magufuli,kila mmoja kwa dini yake kila uchwao na amwombee Rais wa Nchi, na niwakumbushe wakristo kama ilivyoandikwa kwenye biblia, kuna watu kwenye biblia wakiongozwa na Sanbalat na Tobia walimcheka na kumcheka Nehemiah ambaye alikuwa akiijenga Yerusalemu Mpya baada ya misingi ya Yerusalemu kuharibiwa na waovu,walarushwa na Mafisadi lakini walishindwa na Nehemiah alifanikiwa,Rais Magufuli ni Nehemiah wa wakati huo kama ilivyo kwenye biblia.

Nikiishia hapa, Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
Tunaomba jina kamili
 
Dunia na Jumuiya ya Kimataifa lazima ijue ukweli kuhusu hali ya kisiasa nchini Tanzania, Mh Rais Magufuli hajengi Taifa la hofu kwa yeyoye hasa Viongozi wa upinzani, Mazingira ya kufanya siasa nchini Tanzania ni salama kwa chama chochote kufanya siasa na tumeona Kiongozi Mkuu wa Act, Zitto Kabwe akifanya siasa hata kuvuka mipaka na kukebehi Mihimili ya Serikali na kuwatisha polisi eti wakienda kumkamata watakutana na Ziwa Tanganyika.

Tatizo moja ni kwamba,Upinzani umekosa ajenda hasa baada ya Mh Rais Magufuli kuziba mianya ya rushwa na kukemea vikali matumizi mabaya ya Mali ya Umma,Mh Rais hacheki na Mafisadi wala Walanguzi, Amezuia Ufisadi, Ameupiga Vita ukosefu wa maadili kwa Watumishi wa Umma,hizi zilikuwa ajenda za kila mwaka za Upinzani ambazo zimekuwa zikiwapa kiki za kisiasa toka kwa Wananchi,

Chini ya Rais Magufuli,kiwango cha rushwa, ufisadi na matumizi mabaya ya Mali ya Umma kimekwenda chini,Kitu ambacho kimemfanya Zitto Kabwe,Freeman Mbowe, Tundu Lissu na Upinzani kwa ujumla kukosa ajenda na kuamua kutengeneza ajenda zao za kuwatia hofu Wananchi,awa hawana tofauti na Mongosuthu Buthelezi aliyekuwa anampinga Mandela na harakati za kuikomboa Afrika ya Kusini toka kwa Makaburu.

Mh Rais Magufuli hana shida na yeyote aliyepo upinzani, na kwa kudhihirisha hili amewachagua Wapinzani wengi kwenye Serikali yake ili nao wakatende yale wanayoyapigia kelele wapiwa katika vyama vyao vya Upinzani.

Mh Magufuli amejielekeza zaidi katika kutekeleza aliyoyaahidi na yale yote muhimu hata kama hakuyaahidi. Mh Rais Magufuli amejielekeza zaidi katika kujenga miradi mikubwa ambayo ina tija kwa Wananchi, hivi tuongeavyo Mh Rais tayari ameidhinisha ujenzi wa miradi ya mabilioni ya pesa kama mradi wa Umeme wa mto rufiji utakaozalisha (megawatt) MW W2,100 za Umeme ambao utalisaidia Taifa na kuokoa fedha nyingi zilizokuwa zikitumika kukodi mitambo ya kuzalisha Umeme hapa nchini.

Tanzania ni nchi yenye kuamini katika ujamaa na kujitegemea. Ili kuwa na jamii yenye usawa na uhuru wa kweli na kwa maono ya rais JPM bila shaka tutaifikia Tanzania tunayaoitaka yenye uchumi endelevu wa viwanda na yenye kuweza kujitegemea.

Tukirejea miaka 57 ya Uhuru mengi yametendeka, Changamoto hazikukosekana,Wapo waliotumwa na mabeberu kukwamisha maendeleo ya Watanzania, Lakini tumejikongoja na Sasa yupo kiongozi ambaye amejitoa kwa ajili ya Taifa na bado tunawaona watu kama kina Zitto, Mbowe,Lissu (Mongosuthu Buthelezi) wakitaka kumkwamisha kwa hila mbalimbali hata wakati mwingine wakishirikiana na Wazungu ambao walikuwa wakoloni wetu.

-Maendeleo na Changamoto toka enzi za Mwalimu Nyerere.

Awamu ya kwanza ( Tanzania baada ya uhuru)
Mwalimu aliachiwa changamoto nyingi na serikali ya kikoloni zikiwemo
-Ukosefu wa wataalamu.
-Miundo mbinu mibovu.
-Mivutano ya ulaya Magharibi na Mashariki.
-Vita ya kagera na wahujumu uchumi.

Awamu ya pili,Awamu ya tatu na Awamu ya nne,zilikumbwa na changamoto kadhaa zikiwemo,
- Kuuanguka kwa dola ya urusi
-Kubadilika kwa siasa za dunia na kuingia mfumo wa vyama vingi
-Kukua kwa ufisadi.

Awamu ya tano,niiite ya mafanikio licha ya changamoto ambazo zinatoka Watanzania wasio Wazalendo, lakini Mh Rais John Magufuli ameendelea kutenda mambo makubwa.
-Kujenga taasisi imara za serikali zenye kuwajibika.
-Kufanya ubunifu mfano kufufua Shirika la ndege,Shirika la reli
-Kuwekeza kwenye miundo mbinu ya msingi kama Bandari, Reli, Barabara na Anga.
-Mutumia mifumo ya tekno hama kurahisisha utendaji wa serikali na kuweka mazingira rafiki ya kufanya biashara.
-Kudhibiti ufisadi na upotevu wa fedha
-Kuwekeza kwenye mradi wa umeme wa Mto Rufiji wa Stigglers Gorge.

Mh Rais amejikita katika ujenzi wa miundo mbinu nchi nzima na point muhimu katika ujenzi wa Nchi ya Viwanda tukianza na ujenzi wa bwawa la Umeme katika Mto Rufiji, Stiglers Gorge,Ujenzi wa Standard Gauge,na pia utoaji wa elimu bure kwa Wanafunzi toka darasa la kwanza hadi form four, Maendeleo yote haya yanawafanya wapinzani wapoteze akili yao, na wanaanza kuishi kwa propaganda eti Mh Magufuli anawapa shida,Eti Mh Magufuli anawaonea mafisadi kwa kuwafunga, ha ha ha mi nadhani hata hawa wapinzani wanastahili kushtakiwa kwa kutumia ujinga wa Watanzania kuwadanganya.

Mfano tu, Jana Zitto anasema Mh Rais kasaini mkataba na kampuni binafsi, hivi jamani aliyesaini ni Mh Rais au Mkurugenzi wa Tanesco na timu yake na Mh Rais kushuhudia,Zitto anasema kampuni ni kampuni binafsi,Arab contractor......sawa, tatizo liko wapi. Kwani mradi ni wa IPP media si ni watanzania sasa wewe Ndugu Zitto ulitaka asaini nani.!?Trump alisaini mikataba ya
us$ 14bn, yote ni ya kampuni binafsi ikiwemo Boeing na Lockheed Martin.
Acha kutumia ujinga wa watanzania kama mtaji wa kisiasa.

Arab Contractor wamejenga Aswan High dam, Cairo Alexandria desert road, Cairo Regional ring road, Luxor International Airport,na ikiwa ni Government Owned Corporation,Yes,Founder ni Osman Ahmed Osman,lakini je si kampuni ya kimataifa na ujenzi wake unekubalika kimataifa.?

Sasa wapo Wapinzani uchwara wakiongozwa na Zitto wa Act,Mbowe na Lissu wa Chadema na sasa wamejitokeza wafuasi wao ambao wao wanawatumia kama mtaji wao wa kisiasa kupata kiki za kisiasa (Political Mileage) mfano wa Ole Mushi anayejiita "MwanaCCM huku akituma vyema na Chadema "na pia kupata ruzuku katika vyama vyao wanavyoviongoza, wao kazi yao ni kulaumu tu na kulaani kila kinachofanywa na Rais Magufuli kiwe ni kizuri ama kibaya, wao watalaumu tu. Sasa wakitokea Wazee Wale waliojenga reli ya kati kwa fimbo na ujira wa thumni, wakasifia na kusema tumwombee Rais Magufuli Mungu amlinde na aendelee kumpa ujasiri huo huo bila kutetereka wala kurudi nyuma, Wanatokea wapinzani awa uchwara wanapinga, nadhani hii ni akili ya kijinga na ya kitoto.

Nasema ipo akili ipitayo akili ya kibinadamu ambayo inamuongoza Kiongozi wa Nchi, nayo inapatikana kwa kuomba kwa Mungu.Wapo Wananchi wa hali ya chini wanaomba usiku na mchana Mh Rais Magufuli afanikiwe kuibadili Tanzania iliyokuwa milki ya vibopa wachache waliojiita King's Maker,Sasa kwa ujumla tumuombee Rais Magufuli ili awa wapinzani wenye roho ya nyoka ambaye ni shetani, wapate kushindwa na roho zao za hila na husda, kiroho na kiimani, Watawala hawataweza kukamilisha majukumu yao vizuri kama hatutaomba, Hivyo yatupasa kuwaombea Viongozi wetu kila saa, kila dakika na kila wakati ili waweze kutenda mema kwa nchi na kwa Taifa.

Wapo watu wanapenda kusikia mazuri wanayoyawaza wao ambayo ni kwa faida yao, Wanataka Rais aongee maneno mazuri na matatu yanayokonga nyoyo zao, Mfano wafuasi wengi wa Chadema wao wanaangaliaga yapi yanapendeza masikioni mwao ndio wanayapa credit za maneno ya Mungu, na Mwenyekiti wa Act nae anataka kusikia yanayompendeza yeye na si Taifa ,Ndio aanze kumuombea Kiongozi wa Nchi, nasema hekima na busara haiko ndani yao. Mungu awape neema ya kuweza kuomba bila kubagua kwa maana wamekuwa waombaji wa kuwaombea ndugu zao na matajiri wanaowapa pesa na si kuwaombea watu baki na wenye shida.

Nimalizie kwa kuwasihi Watanzania wamuombee Rais John Magufuli, waombee wasaidizi na washauri wake wote,Jukumu la kuomba, kuwategemeza Viongozi wetu kwa Mungu ni letu sisi Wananchi pasipo kuangalia tuna maslahi gani katika Uongozi wao. Omba bila kuchoka Mapenzi ya Mungu yatimie na Mungu atupe Tanzania Mpya. Haijalishi Mungu ametupa njia tunayoipenda au la.

Mungu ni wa ajabu sana, Kadri unavyomuombea Kiongozi wa Nchi yako basi Mungu anafungua milango ya Baraka kwako wewe unayeomba na familia yako bila kusahau kazi ya mikono yako.

Mungu ambariki Rais wetu mpendwa Dr. John Pombe Magufuli,kila mmoja kwa dini yake kila uchwao na amwombee Rais wa Nchi, na niwakumbushe wakristo kama ilivyoandikwa kwenye biblia, kuna watu kwenye biblia wakiongozwa na Sanbalat na Tobia walimcheka na kumcheka Nehemiah ambaye alikuwa akiijenga Yerusalemu Mpya baada ya misingi ya Yerusalemu kuharibiwa na waovu,walarushwa na Mafisadi lakini walishindwa na Nehemiah alifanikiwa,Rais Magufuli ni Nehemiah wa wakati huo kama ilivyo kwenye biblia.

Nikiishia hapa, Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
The kicks of a dying donkey are stronger than when he was healthy and no matter how far you throw your urine,the last drop will fall on your feet.
 
Utawala huu wa Bashite na mtukufu utaifanya Tanganyika kupata taabu sana baadae
 
Pole pole kutoka kutetea katiba ya wananchi hadi kuja na pumba kama hizi. Kwani wapinzani ndio wanakamata watu na kuwaweka ndani? kwani ndio wamepeleka hoja bungeni ya kubana vyama vya siasa?. ukijibu hayo maweli nitakuja kukuuliza hayo 13 yalibaki
 
Binafsi mie ni ccm na hakuna atakaenitoa ila mkuu elewa upinzani una faida yake kubwa sana.

Kuna mambo mengi sana wanayaibua ambayo hata sisi wenyewe vibaraka wa ccm hatuyajui. Na kumbuka leo hii wakitangaza nia ya kurudi, teuzi nyingi kwa serikali hii zitakuwa zao mfano unauona. Sababu unaijua ni kwa nini?

Wapinzani wengi ni wazalendo sana kuliko sisi. Nakukumbusha tu upinzani ukifa leo hii atakayeumia ni wewe mwananchi wa kawaida na si wao.

Kama kweli tunapenda haki Na serikali hii ni ya wanyonge kweli , Yule mbuge wa nzega na Nape wangekuwa mawaziri.

Acha unafiki hii nchi ni ya wengi.

Kwa sasa CCM ni zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM Taifa mtukufu malaika toka chato na pia zidumu fikra za mshauri wake mkuu Naibu Rais ndugu Daud Arbaty Bashite toka kolomije.
 
Pole polle kutoea kutetea katiba ya wananchi hadi kuja na pumba kama hizi. Kwani wapinzani ndio wanakamata watu na kuwaweka ndani? kwani ndio wamepeleka hoja bungeni ya kubana vyama vya siasa?. ukijibu hayo maweli nitakuja kukuuliza hayo 13 yalibaki

Tatizo kubwa kwenye awamu hii ya wasukuma wawili ni kuwadharau watanzania yaani wamewaona watanzania ni mazuzu wanawafanyia chochote wanavyotaka na hakuna wa kuthubutu kuhoji kwani ukihoji unabambikiwa kesi au wanatumwa wasiojulikana au vilevile anatumwa Musiba kukutengenezea uzushi na Uongo wa kila aina ni hatari kwa mpinzani kupumua kwa sasa.
 
Back
Top Bottom