Upinzani ni hatari

Upinzani ni hatari

Waswahili kwa mabobish, nani aliwaambia hii ni lugha yetu. Akija mzungu akichapia kiswahili mtamwambia anajuaaaa vizuuuriiiii.
Acheni hizo

Hahahaha? Anyway I see how ignorant you sound. By the way you have a lot to learn rather than preach hate. Am not the enemy here, your ignorance is the real enemy, I hope to heal such blind and blurnt minds. And I see how your subconscious minds work, for they reason less and draw conclusions of no strength.
 
Mpaka hapo ni wazi kwamba unajitutumua. Ni afadhali tu uandike kwa lugha yetu pendwa ya Kiswahili.

Anyway a wise man once said arguing with a fool makes you a fool to, so I guess I need to check on who I argue with and what I argue about.
 
1) Your English is very poor.
2) The way you arbitrarily and randomly introduce ideas, and what you think are new concepts, shows that you have yet to complete your A-level literature!

NB: NI RAHISI MNO KUPIMA ELIMU YA MTU ANAYETAMBA NA KIINGEREZA UCHWARA! HEBU ENDELEA KUWATAMBIA KWENYE CHOBIS ZA GONGO UNAPOENDAGA UMEBEBELEA LIKAMUSI KUBWA LA SWAHILI-ENGLISH!

Am not the enemy here, do you even know what's happening in the real world or you are just a fool in the 21century? And do you know the principles of writing any language or you're just arguing cause you want to argue on reality to make it look wrong? Anyway try your best to beat me but you ain't even close.
 
Unajua kwa kasi yote hii ya Magufuli ni kwa sababu ya upinzani? Na mambo yote haya anayofanya magufuli ni results za opposition. Kwa kwl opposition inastahili pongezi kwa kufanya mfalme mjinga kupata maarifa.

Mm nasema bila upinzani basi hakuna new ideas kama the ones that are in power have all hope to exist in the next few years again. Lakini kwa kwl bado tunahitaji mambo kuwa vizuri na makini kama ideas za upinzani. Na diriki tena kusema CCM haina jipya, ni mwendo wa kukopi na kupaste ideas za wapinzani.

Anyway its for the interest ya nchi hii. Sasa Lowasa pamoja na umoja wa vyama vyoa ni philosophy ambayo watu makini itadumu kwa maisha mana sasa its too early to judge kuwa tumepata mfanyikio.

Itapofika kwenye kutengeneza katiba hapo ndio itakua shuhuli pevu, ngoja uone how stupid MPs of CCM are. They support what they don't know and sign what they don't even read thoroughly before approval. But also, they can't even write a paragraph of 20 lines to explain about themselves. This is shameful.

With oppositions, chama tawala kitatia akili tu. Na kwa progress ambayo upinzani wamefikia bs, ni dhairi kuwa sasa upinzani umekomaa na upo vzr.

Safi sana mkuu!.
 
Am not the enemy here, do you even know what's happening in the real world or you are just a fool in the 22 century? And do you know the principles of writing any language or you're just arguing cause you want to argue on reality to make it look wrong? Anyway try your best to beat me but you ain't even close.
If you are living in the 22 century then it's you who don't know what's happening in the real world which is going through the 21st century! Stop frothing please or you will tire those correcting your mistakes!
 
Kwa mwendo huu hata mimi naanza kumwelewa Sumaye aliposema Taifa halijafaidi matunda ya mfumo wa vyama vingi hivyo amehama CCM ili kuimarisha upinzani
 
If you are living in the 22 century then it's you who don't know what's happening in the real world which is going through the 21st century! Stop frothing please or you will tire those correcting your mistakes!

Hapa sasa ndugu ndio correction na sikubeza tu. Nashukuru kwa marakebisho.
 
Naomba niulize tunaweza vipi kuwa na TUME huru?
 
Mpaka hapo ni wazi kwamba unajitutumua. Ni afadhali tu uandike kwa lugha yetu pendwa ya Kiswahili.


Kama na wewe ni Mwalimu nenda kaombe kazi ya kufundisha Mh Maufunguo mapombe.


swissme
 
Anyway a wise man once said arguing with a fool makes you a fool to, so I guess I need to check on who I argue with and what I argue about.
Katika watu wenye Kiingereza kibovu hapa JF wewe ni mmojawapo. Jaribu kujisahihisha na sio kujitetea.
 
Mpaka hapo ni wazi kwamba unajitutumua. Ni afadhali tu uandike kwa lugha yetu pendwa ya Kiswahili.

hahahahaa dah Rungu bana.. anyway asante kwa kuniongezea siku za kuishi, heshima kwako mkuu.
 
Am not the enemy here, do you even know what's happening in the real world or you are just a fool in the 21century? And do you know the principles of writing any language or you're just arguing cause you want to argue on reality to make it look wrong? Anyway try your best to beat me but you ain't even close.
hayo tu yananitosha kujua we ni wa namna gani.
just a small piece of advice: punguza u-much know!!
 
Katika watu wenye Kiingereza kibovu hapa JF wewe ni mmojawapo. Jaribu kujisahihisha na sio kujitetea.

I bet you even qualify arguing with a brilliant mind like mine, anyways just a piece of advice, break the ice and speak about something better, if you have no, then find something constructive to do.

Don't you waste your sweat and calories just struggling to argue with me, cause you are too ignorant for me.

By the way when I say school, it doesn't mean going to class and be taught, nah! I mean thinking for yourself.
 
hayo tu yananitosha kujua we ni wa namna gani.
just a small piece of advice: punguza u-much know!!

That's not the case here comrade, am trying to reason with a bunch of fools, that all they know is dissing just like you. But let me remind you, if you were so confident in what you speak and write, I bet you wouldn't hide behind that wall.
 
Hata sera anazotekeleza za upinzani baada ya kuona waliyonayo niya kipuuzi
 
Now I believe for the past years after Nyerere, education has lost its true value. It has equipped few Tanzanians and majority still lagging behind in a pool of ignorance. But I wish opposition's ideology of education, education, education to be incorporated in the manifests of JPM for a better tomorrow.

With a bunch of comrades I have met under this thread, understand what I preach and a few folks tend to argue without enough knowledge of what they know. All I can conclude now is lets go further to opening our limits to higher education rather than form 4, let it be up to the University. But my special request to JPM is let him equip Tanzanian education system with creativity and not industries cause with the little history I have about Tanzania in the industrial sector, is that it was a failure. Not cause of administration, but rather discipline of the haves and have nots.

The sky is the limit, so as long as we are under this sky, then our limit is that. We are bound to expand beyond this.
 
Upinzani ni muhimu lakini pia Magufuli binafsi ana kasi kwenye utendaji. Upinzani ulikuwepo hata kwa Kikwete na kama mnakumbuka kura za mwaka 2000 aliporomoka mno lkn wapi? mara escrow, uzembe n.k
 
I bet you even qualify arguing with a brilliant mind like mine, anyways just a piece of advice, break the ice and speak about something better, if you have no, then find something constructive to do...
Endelea kujitutumua na hicho kiinglish chako. Wewe ni kichekesho.
 
Upinzani ni muhimu lakini pia Magufuli binafsi ana kasi kwenye utendaji. Upinzani ulikuwepo hata kwa Kikwete na kama mnakumbuka kura za mwaka 2000 aliporomoka mno lkn wapi? mara escrow, uzembe n.k

Wachache wenye kujielewa ndio wanajua jinsi gani nchi hii imekwama, na wapi imekwama? Na nani ameikwamisha? Mm sitaki kuwa mshabiki wa JPM kwa sasa ila kwa mm binafsi kipimo changu nikatiba mpya na tume huru. Kama kwl atafanya hv kwa manufaa ya watanzania, basi nitakua sina haja ya kukubali uwezo wake bali akishindwa kufanya hayo, basi atakua kwangu ameshindwa toka mwanzo alipoanza.
 
Back
Top Bottom