Upinzani ni hatari

Upinzani ni hatari

Mwaipungu

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
293
Reaction score
138
Unajua kwa kasi yote hii ya Magufuli ni kwa sababu ya upinzani? Na mambo yote haya anayofanya Magufuli ni results za opposition. Kwa kweli opposition inastahili pongezi kwa kufanya mfalme mjinga kupata maarifa.

Mimi nasema bila upinzani basi hakuna new ideas kama the ones that are in power have all hope to exist in the next few years again. Lakini kwa kweli bado tunahitaji mambo kuwa vizuri na makini kama ideas za upinzani. Nadiriki tena kusema CCM haina jipya, ni mwendo wa kukopi na kupaste ideas za wapinzani.

Anyway its for the interest ya nchi hii. Sasa Lowasa pamoja na umoja wa vyama vyoa ni philosophy ambayo watu makini itadumu kwa maisha mana sasa its too early to judge kuwa tumepata mafanikio.

Itapofika kwenye kutengeneza katiba hapo ndio itakua shughuli pevu, ngoja uone how stupid MPs of CCM are. They support what they don't know and sign what they don't even read thoroughly before approval. But also, they can't even write a paragraph of 20 lines to explain about themselves. This is shameful.

With oppositions, chama tawala kitatia akili tu. Na kwa progress ambayo upinzani wamefikia bs, ni dhairi kuwa sasa upinzani umekomaa na upo vzr.
 
JPM ametumia vyema mawazo na malalamiko ya "Upinzani" kurekebisha na kuijenga nchi kuanzia pale ilipokuwa imekwama.Hofu kuu sasa ni baadhi ya wana CCM wapiga dili pamoja na wale wasiopenda maendeleo ya Wananchi.
 
Kuna mambo mengi tu yakufanya na kwa kwl kimaendeleo bado tupo nyumba almost 150 years. Tanzania kiuchumi bado sana hata kwa kasi mtawala anayokwenda nayo bado mana yeye ndio alifanya ujinga pale aliposhindwa kuongoza alipaswa kukiri asaidiwe sasa ndio mambo zagaranti. Mm kwa kwl bado sijaona kasi mana katika team kama huna ushirikiano na wachezaji wenzako basi team haiwezi kufanya vzr na kama team inacheza pungufu hapo hamna ushindi bali nikushindwa tu.
 
Tatizo lenu kitu mnachokifahamu ni kubeza tu, tofauti na hapo hamna kitu mnachokifahamu. Wewe ni mgeni Tanzania hadi ushindwe kufahamu utendaji wa Magufuli.?? Magufuli umeanza kumuona leo.?? Ni ipi nafasi ya upinzani katika sera za CCM.?? Unatakiwa ujifunze kuukubali ukweli, hata kwa shingo upande.!!


Hivi upinzani unaousemea ni ule wakina Lowasa, Mbowe, Mbatia, Sumaye, Mwapachu na yule mzee wa miaka mingi. Hawa sio mbadala, ni kikundi cha watu wachache kwa kudhani ushawishi walionao kutoka sehemu wanazotoka wangeweza kushinda uchaguzi mkuu. Ni mawazo gani ambayo CCM imeshachukua kutoka kwa hao wazee wa furusi.??


Umoja wa vyama vyao una falsafa gani.??


Hivi Mwaipungu ni lugha gani unaamini unaweza kuitumia na ujumbe ukafika kama ulivyokusidia. Maana mimi naona kama ni vurugu. Kiswahili hujui vizuri, kiingereza umeshindwa kuandika chote. Unabaki kuunga unga tu.


Ni dalili zipi zimekufanya uone kama upande wa pili kumekomaa zaidi kuliko hapo awali.

Ndugu acha mambo ya ushabiki kwani ww unaishi wapi? Mana naona u are very arrogant and ignorant in the highest degree. Anyway rudi shule jifunze kusoma, kuelewa, kuchanganua na kuandika hoja zenye mashiko.

Anyway kwa level yako yauelewa mm siwezi kua mwalimu kwako mana u know nothing and u were taught nothing. Am sorry if I offended u in anyway but that's reality. Do u even know how to read? What about writing? Kwa kwl MTU wenye ufahamu mzr anaweza kunielewa nikisema upinzani umeimarika na upinzani umeleta mapinduzi ya kisiasa Tanzania. There is nothing new Ccm is doing all is history that some of us that have witnessed in the diaspora.

By the way am ahead of u by many things including knowledge and self understanding. My advice to u is contact me so that I can teach u at least a week I bet u won't reason like a fool anymore.
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni mtanzania wa kuzaliwa, unataka kujua naishi wapi ili iweje. Nikirudi shule naenda kuchukua PhD ya uhandisi. Sasa ni hoja zipi zenye mashiko zaidi ya kuelezea ukweli.??



Maneno mengi mno.!! Nimekuuliza swali, umoja wa vyama vyao una falsafa gani.?? Unaanza mara diaspora mara sijui nini.!! Jibu maswali unayoulizwa bwana mkubwa, usilete mbwembwe hapa.!!



Bwana mkubwa hebu twende sawa, hiki kiingereza chako cha facebook hakina nafasi hapa. Jaribu kutumia lugha moja kwa ufasaha, ndio nijifikirie kuwasiliana na wewe. Maana u zinakuwa nyingi..

That's not reality, if it was real then you are bond to accept corrections. You may have gone to school but still you might have not learnt anything. So my advice to you, be keen on what you speak, mind you watch your tongue carefully cause it may end you too soon.

Anyway if you were so brilliant, then I would conquer with you but the mere fact that am giving a powerful speech to an empty crowd, I bet am just wasting my time.

But also please comrade try to be analytical, observative, critical and creative to draw your tongue to intellects. Anyway you preach so good to fools rather than intellects. And more so, language is not the problem, the problem is what you learnt. Language has different branches like literature, linguistic and so many to mention a few. So as writing, a writer is to be creative to convey his or her message to the public without vagueness or ambiguity.

What don't you understand Comrade about language? I guess the little knowledge I have sparkled into that brain is to ensure you think critical. Am not perfect but in this am 100% sure am right.

So let's stop the drama and educate each other not wrestle each other. We are better together than individually and powerful together than a single we. Just know am not the enemy here, am a comrade, so as you, so lets stop childish things and argue civilized, with sound arguments.
 
Hivi vizungu vingine...!

Kwa kwl jamaa alinifanya ni prove kwake kua naweza andika kingereza vzr ndio mana nikafanya hvy. Mana nimejaribu kuandika kwa kufupisha maneno lkn jamaa hanielewi. tatizo sio lugha tatizo ni uelewa. Unajua watu weusi tulikua tunasema rangi ndio tatizo, lasha tatizo la mtu weusi kama mm nikuchukua mambo upesi sana. Tunaongea tu bila uthibitisho.
 
Tatizo lenu kitu mnachokifahamu ni kubeza tu, tofauti na hapo hamna kitu mnachokifahamu. Wewe ni mgeni Tanzania hadi ushindwe kufahamu utendaji wa Magufuli.?? Magufuli umeanza kumuona leo.?? Ni ipi nafasi ya upinzani katika sera za CCM.?? Unatakiwa ujifunze kuukubali ukweli, hata kwa shingo upande.!!


Hivi upinzani unaousemea ni ule wakina Lowasa, Mbowe, Mbatia, Sumaye, Mwapachu na yule mzee wa miaka mingi. Hawa sio mbadala, ni kikundi cha watu wachache kwa kudhani ushawishi walionao kutoka sehemu wanazotoka wangeweza kushinda uchaguzi mkuu. Ni mawazo gani ambayo CCM imeshachukua kutoka kwa hao wazee wa furusi.??


Umoja wa vyama vyao una falsafa gani.??


Hivi Mwaipungu ni lugha gani unaamini unaweza kuitumia na ujumbe ukafika kama ulivyokusidia. Maana mimi naona kama ni vurugu. Kiswahili hujui vizuri, kiingereza umeshindwa kuandika chote. Unabaki kuunga unga tu.


Ni dalili zipi zimekufanya uone kama upande wa pili kumekomaa zaidi kuliko hapo awali.

Hivi wewe uko nchi gani? Magufuli amekua mzalendo yeye binafsi. Mambo mengi anayoyafanya ni kwa maono yake, siyo sera za CCM. Umeona tangu aanze majukumu yake CCM ikimpongeza? Unakumbuka M4C ni falsafa ya nani? Wewe pekee hujui kuwa mambo mengi ya msingi anayoyafanya Mh JPM ni yale yaliyolalamikiwa miaka kadhaa na opposition, ila CCM MASLAHI waliyapuuza. Wewe unajifanya kipofu lakini ukweli unaujua. Ni lini CCM ilikua na sera za kubana matumizi?Lini ilikua na Sera za kupinga Ufisadi Dhahiri? Hata kama hutaki kuamini, ila ukweli ni kuwa Mh JPM ameona yale yaliyolalamikiwa na upinzani mengi ni facts, na kwa kua yeye amejipambanua kua siyo mnafiki, anayafanyia kazi!
 
Last edited by a moderator:
That's not reality, if it was real then you are bond to accept corrections. You may have gone to school but still you might have not learnt anything. So my advice to you, be keen on what you speak, mind you watch your tongue carefully cause it may end you too soon.

Anyway if you were so brilliant, then I would conquer with you but the mere fact that am giving a powerful speech to an empty crowd, I bet am just wasting my time.

But also please comrade try to be analytical, observative, critical and creative to draw your tongue to intellects. Anyway you preach so good to fools rather than intellects. And more so, language is not the problem, the problem is what you learnt. Language has different branches like literature, linguistic and so many to mention a few. So as writing, a writer is to be creative to convey his or her message to the public without vagueness or ambiguity.

What don't you understand Comrade about language? I guess the little knowledge I have sparkled into that brain is to ensure you think critical. Am not perfect but in this am 100% sure am right.

So let's stop the drama and educate each other not wrestle each other. We are better together than individually and powerful together than a single we. Just know am not the enemy here, am a comrade, so as you, so lets stop childish things and argue civilized, with sound arguments.
1) Your English is very poor.
2) The way you arbitrarily and randomly introduce ideas, and what you think are new concepts, shows that you have yet to complete your A-level literature!

NB: NI RAHISI MNO KUPIMA ELIMU YA MTU ANAYETAMBA NA KIINGEREZA UCHWARA! HEBU ENDELEA KUWATAMBIA KWENYE CHOBIS ZA GONGO UNAPOENDAGA UMEBEBELEA LIKAMUSI KUBWA LA SWAHILI-ENGLISH!
 
That's not reality, if it was real then you are bond to accept corrections. You may have gone to school but still you might have not learnt anything. So my advice to you, be keen on what you speak, mind you watch your tongue carefully cause it may end you too soon.

Anyway if you were so brilliant, then I would conquer with you but the mere fact that am giving a powerful speech to an empty crowd, I bet am just wasting my time...
Mpaka hapo ni wazi kwamba unajitutumua. Ni afadhali tu uandike kwa lugha yetu pendwa ya Kiswahili.
 
1) Your English is very poor.
2) The way you arbitrarily and randomly introduce ideas, and what you think are new concepts, shows that you have yet to complete your A-level literature!

NB: NI RAHISI MNO KUPIMA ELIMU YA MTU ANAYETAMBA NA KIINGEREZA UCHWARA! HEBU ENDELEA KUWATAMBIA KWENYE CHOBIS ZA GONGO UNAPOENDAGA UMEBEBELEA LIKAMUSI KUBWA LA SWAHILI-ENGLISH!

Mpaka hapo ni wazi kwamba unajitutumua. Ni afadhali tu uandike kwa lugha yetu pendwa ya Kiswahili.

Waswahili kwa mabobish, nani aliwaambia hii ni lugha yetu. Akija mzungu akichapia kiswahili mtamwambia anajuaaaa vizuuuriiiii.
Acheni hizo
 
Waswahili kwa mabobish, nani aliwaambia hii ni lugha yetu. Akija mzungu akichapia kiswahili mtamwambia anajuaaaa vizuuuriiiii.
Acheni hizo
Acha ujinga wewe. Hakuna haja ya kuzungumza na mswahili mwenzako kwa kutumia Kiingereza kibovu. Unafikiri huyo mzungu wako atazungumza Kiswahili kibovu na mzungu mwenzake ili aonekane ni mjuaji siyo? Haya ni mawazo ya kipuuzi. Jivunie lugha yako na sio kuleta vijiutetezi vya kilofa unapoboronga lugha za wengine.
 
Hivi wewe uko nchi gani? Magufuli amekua mzalendo yeye binafsi. Mambo mengi anayoyafanya ni kwa maono yake, siyo sera za CCM. Umeona tangu aanze majukumu yake CCM ikimpongeza? Unakumbuka M4C ni falsafa ya nani? Wewe pekee hujui kuwa mambo mengi ya msingi anayoyafanya Mh JPM ni yale yaliyolalamikiwa miaka kadhaa na opposition, ila CCM MASLAHI waliyapuuza. Wewe unajifanya kipofu lakini ukweli unaujua. Ni lini CCM ilikua na sera za kubana matumizi?Lini ilikua na Sera za kupinga Ufisadi Dhahiri? Hata kama hutaki kuamini, ila ukweli ni kuwa Mh JPM ameona yale yaliyolalamikiwa na upinzani mengi ni facts, na kwa kua yeye amejipambanua kua siyo mnafiki, anayafanyia kazi!
Asante kwa elimu kiongozi mana kuna vitu umeandika vyenye kumfungua mtu ambaye anajielewa.
 
Acha ujinga wewe. Hakuna haja ya kuzungumza na mswahili mwenzako kwa kutumia Kiingereza kibovu. Unafikiri huyo mzungu wako atazungumza Kiswahili kibovu na mzungu mwenzake ili aonekane ni mjuaji siyo? Haya ni mawazo ya kipuuzi. Jivunie lugha yako na sio kuleta vijiutetezi vya kilofa unapoboronga lugha za wengine.

Hebu niambia nimekoseya wapi? Siyo unasema kingereza kibovu ama kiswahili kibovu. Unajua mwalimu mzr anaonyesha wapi wanafunzi amekosea na wapi amepatia siyo kusema amekosea wakati hajui wapi wanafunzi amekosea.

Hv naomba niulize unajua chimbuko la KISWAHILI? Mm kama mm najivunia kinyakyusa na si kiswahili mana ni lugha ya mkoloni kama lugha nyengine. Hivi kiswahili gani unachosema Mtanzania ajivunie? Kila mtu Tanzania ana lugha yake kiswahili si lugha ya mtanzania. Naomba ufanye research yako alafu kama nitakua nimekosea naomba urudi unirekebishe.
 
Back
Top Bottom