Hivi na wewe ujiona umetoa maoni!Wapinzani wa Tanzania wanafanya makosa obvious sana yanayowapunguzia credit hivyo kutoaminika Mbele ya jamii
1. wanahubiri democrasia halaf kwenye vyama vyao hawana hiyo democrasia
2. wanahubiri utawala wa sheria na kuheshim katiba wakati wao hawafati sheria na katiba za vyama vyao
3. wanahubiri sera za kupinga ufisadi na matumizi mabaya ya pesa wakat wao wanawakumbatia mafisadi na waliwapa hadi kugombea urais na kila mwaka wanapata hati chafu za CAG
4. wanapinga ukomo wa kugombea urais ila wao wameruhusu mwenyekiti wao asiwe na ukomo kugombea uenyekiti
5. hawana misimamo na kila siku wanaunga mkono juhudi sasa nani atawaamini
Hawajapewa muda wa kufanya hayo what next.................Upinzani pamoja na figisu zote wanazofanyiwa unatakiwa kubadilika na kubadilika,mitazamo na aina ya siasa wanazozifanya kutoka kwenye siasa za kiharakati kua siasa za ukombozi zenye hoja mubadala kwa mustakabali wa nchi na zifike kwa wananchi.
Kuendelea kung'ang'ania kudai vitu ambavyo pengine wananchi walio wengi hawajui maana yake na faida zake ni kupoteza muda.
Hapa upinzani unatakiwa uje na hoja mbadala namna watayabadilisha maisha ya watanzania ikiwa ni pamoja na kueleza Sera zenye nguvu na mashiko kwa wananchi:
- Waeleze namna wataboresha huduma ya elimu ili ilete tija kwa watanzania wote tofauti na saizi ambapo mtu unasoma huna mbele Wala nyuma pengine hata fani unayosomea haujui faida zake na matumizi yake. Mbona watu waliosoma ulaya ni simple kutoboa kimaisha tofauti na huju kwetu tatizo liko wapi hapa wake na majibu na hoja za kueleweka.
- Waeleze namna gani wataongeza au kuboreaha mazingira ya ajira nchini ili kila mtanzania hata yule ambae hana degree 4 aweze kuajilika kutokana na elimu yake hatimae ajikwamue kimaisha.
- Waeleze namna gani wataboresha huduma za afya na upatikanaji wa vifaa tiba, dawa nk. ili ikiwezekana kila Mtanzania atibiwe kama sio bure basi kwa gharama ya chini sana ambayo ni affordable
- Waeleze namna gani wataboresha shule za kata zilizojengwa na serikali ya CCM ikiwa ni pamoja na kuzipatia vifaa vya maabara vya kutosha au kuzifanya zifanane na shule kongwe nchini ambazo kipindi cha nyuma ziliaminika ni shule za vipaji maalumu.
- Waeleze namna gani wataboresha sector ya michezo ili iwe mkombozi kwa watu wenye vipaji michezo lakini pia namna gani watavutia wawekezaji hata kama ni wazawa waweze kuwekeza katika michezo hatimaye kuanzisha accademy za michezo nchini. Ambapo michezo kwa wenzetu imetumika kama njia mbadala wa ajira.
- Waeleze namna gani watawasaidia vijana ambao wako katika harakati za kujenga nyumba namna gani serikal watakayokua wameiunda itawasaidia mabati, au sehemu yote ya upauaji.
Na mengine mengi hata kama yatakuwa sio ya kutekelezeka kwa muda mfupi bali hapa lengo ni kufikisha sera kwa wananchi ili imani iliyopotea irejee sasa kwa sababu siasa ni kuuza sera pamoja na purukushani kutoka chama tawala lakini ukiwa mjanja unafanya siasa katika mazingira hayo hayo.
Lakini pia pamoja na kuuza sera huko wasisahau kudai demokrasia na tume huru kwa pamoja mana kufanya hivyo bila demokrasia ni sawa na kulia chakula kwenye mzinga wa nyuki.
Akili yako inakomea kwenye vyama. Wenye upeo wanafikiri zaidi ya hapo, kwakuwa wanaotumika kutimiliza azma za mabwana nilio wataja, hawako kwenye vyama pekee, hata nje ya vyama; na kwa maana hiyo, sisi tunawapima kwa matendo yao. Wanaweza kuwa ndani ya vyama vyote vya siasa, taasisi za kidini, vyama vya kiharakati, vyama vya kitaaluma, taasisi za serikali n.kKwani mkuu CCM wanatumwa na mabwana zao wepi hao?
Kumbuka mwanzisha uzi anaongelea kuhusu wapinzani na ndani yake ametaja yale ya CCM. Tayari anaongelea vyama hata kama wengine wanahusika walengwa wakuu ni vyama vya upinzani. Mfano huu hapa chini.Akili yako inakomea kwenye vyama. Wenye upeo wanafikiri zaidi ya hapo, kwakuwa wanaotumika kutimiliza azma za mabwana nilio wataja, hawako kwenye vyama pekee, hata nje ya vyama; na kwa maana hiyo, sisi tunawapima kwa matendo yao. Wanaweza kuwa ndani ya vyama vyote vya siasa, taasisi za kidini, vyama vya kiharakati, vyama vya kitaaluma, taasisi za serikali n.k
Kama uzi ni kuhusu wapinzani na wapinzani wakuu au wanaofahamika ni vyama sioni wewe unakikmbilia wapi. Ili hao unao waita mabwana zao wafanye yao na kieleweke vyama lazima vihusike (kwa siasa za Tanzania). Hivyo usijifanye wewe una upeo kuliko wengine kwenye hili kwani mada ya msingi ni kuhusu wapinzani, ili waje na sera mbadala kama mleta uzi anavyo shauri ni lazima vyama vihusike. Kumbuka hata wagombea huru hatuna Tanzania.- Waeleze namna gani wataboresha shule za kata zilizojengwa na serikali ya CCM ikiwa ni pamoja na kuzipatia vifaa vya maabara vya kutosha au kuzifanya zifanane na shule kongwe nchini ambazo kipindi cha nyuma ziliaminika ni shule za vipaji maalumu.
Sawa wameichoka lakini pamoja na hayo wananchi hawaoni mbadala wa kuwapeleka nchi ya ahadi Mana wote wanaonekana ni wachumia tumbo tu.Yaani afadhali ya walioko madarakani kuliko haoWewe unaandika upupu gani?Upinzani bila hata ya kuwa na hoja zenye mashiko tayari wananchi wameshaichoka CCM.Wametawala karibu miaka 60 kwa ahadi zilezile zisizo na utekelezaji.Wananchi wanachohitaji ni nchi kuwa na demokrasia ya kweli.Wajichagulie viongozi bila kulazimishwa.Upinzani hata uje na Sera nzuri kiasi gani ,CCM bado hawatakubali kuachia madaraka.Kama Sera za upinzani zilizopo ni mbovu na CCM wanauhakika wanazo Sera nzuri waweke Mazingira sawa ya kufanya siasa na uchaguzi huru,tuone nini kitatokea!
Sasa wewe nawe ni GT?Tujadili Hoja Matusi hayana nafasi, Jf ni kwa GT
Kama wananchi hawaoni mbadala CCM ingeacha tu sanduku la kura liamue kiuhalali tuone mambo yatakavyo kwenda.Acha kukaririshwa na fix za kina slowslow!Sawa wameichoka lakini pamoja na hayo wananchi hawaoni mbadala wa kuwapeleka nchi ya ahadi Mana wote wanaonekana ni wachumia tumbo tu.Yaani afadhali ya walioko madarakani kuliko hao
Wapinzani wakiendelea na sera zao za kujimwambafai watapuuzwa
Ushauri wako ni upiUna uelewa wa mambo na maarifa pia hoja lakini umekosea taget ulipoilekeza hoja yako
Mzee wa kujimwambafai anajulikana kapiga kombati bila cheo chochote? Hivi alipitia hata jeshi la mgambo.Wapinzani wakiendelea na sera zao za kujimwambafai watapuuzwa
Nadhani kabla hujauliza usome aya yangu ya mwisho nilivyo hitimisha; ila inategemea upeo na utayari wa akili kuelewa.Kumbuka mwanzisha uzi anaongelea kuhusu wapinzani na ndani yake ametaja yale ya CCM. Tayari anaongelea vyama hata kama wengine wanahusika walengwa wakuu ni vyama vya upinzani. Mfano huu hapa chini.
Kama uzi ni kuhusu wapinzani na wapinzani wakuu au wanaofahamika ni vyama sioni wewe unakikmbilia wapi. Ili hao unao waita mabwana zao wafanye yao na kieleweke vyama lazima vihusike (kwa siasa za Tanzania). Hivyo usijifanye wewe una upeo kuliko wengine kwenye hili kwani mada ya msingi ni kuhusu wapinzani, ili waje na sera mbadala kama mleta uzi anavyo shauri ni lazima vyama vihusike. Kumbuka hata wagombea huru hatuna Tanzania.
Swali langu-kwa vile wewe umeona wapinzani hawana agenda bali ajenda za bwana zao, yaani kwa ufupi unasema watanzania hawawezi kufikiri-sasa tuambie CCM wao wanafikiriwa na nani? Mabwana zao ni nani?
Bado inaongelea vyama na hili ndio msingi wa bandiko lako. Hoja ya upeo na utayari wa akili kuelewa hiyo ni ya kwako usihamishe magoli.Nadhani kabla hujauliza usome aya yangu ya mwisho nilivyo hitimisha; ila inategemea upeo na utayari wa akili kuelewa.
Sasa mbona ulisema kuwa swala hili nataka kulielekeza kwingine na sio vyama wakati hitimisho langu limetanabahisha kwa vyama vya upinzani? Ndiyo maana nikakuelekeza usome aya ya mwisho. Akili ikikosa utayari wa kuelewa madhara yake ni hayo.Bado inaongelea vyama na hili ndio msingi wa bandiko lako. Hoja ya upeo na utayari wa akili kuelewa hiyo ni ya kwako usihamishe magoli.
Uliandika: "Akili yako inakomea kwenye vyama. Wenye upeo wanafikiri zaidi ya hapo, kwakuwa wanaotumika kutimiliza azma za mabwana nilio wataja, hawako kwenye vyama pekee, hata nje ya vyama; na kwa maana hiyo, sisi tunawapima kwa matendo yao". Sioni hapa tunabishania nini. Ahsante na kwa heri.Sasa mbona ulisema kuwa swala hili nataka kulielekeza kwingine na sio vyama wakati hitimisho langu limetanabahisha kwa vyama vya upinzani? Ndiyo maana nikakuelekeza usome aya ya mwisho. Akili ikikosa utayari wa kuelewa madhara yake ni hayo.
Mzee wa kujimwambafai anajulikana kapiga kombati bila cheo chochote? Hivi alipitia hata jeshi la mgambo. View attachment 1267904
Lazima uage maana huna uwezo wa kujadili kwa akili bali kelele; sasa kona niliyokupeleka ni kwa wenye akili. Hata hivyo machache niliyokueleza yamekusaidia kuwa mstaarabu hata kwa kuaga kwa uungwana, nakushukuru sana.Uliandika: "Akili yako inakomea kwenye vyama. Wenye upeo wanafikiri zaidi ya hapo, kwakuwa wanaotumika kutimiliza azma za mabwana nilio wataja, hawako kwenye vyama pekee, hata nje ya vyama; na kwa maana hiyo, sisi tunawapima kwa matendo yao". Sioni hapa tunabishania nini. Ahsante na kwa heri.