Uncle Rukus
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 2,415
- 398
Mimi sina vita yeyote na upinzani hasa CHADEMA, lakini CHADEMA
kumuingiza Marando na kumpa jukwaa kuongea na wananchi siliafiki.
Mimi nimekuwa nikuwafuatilia sana wanasiasa wakiwepo wa upinzani.
maswala mazima ya usafi na kukubalika kwao na jamii. Uchafu kwa wana
CCM ni jambo la kwaida, tumelizoea lakini kwa upinzani tunategemea
kuona mfano usafi. Kuwa mbali na ufisadi au uchafu wa aina yeyote.
Wapo baadhi ya wanasiasa kuanzia kwa Nyerere na hata mpaka sasa
wanajulikana kwa usafi wao na wengine kwa uchafu wao. Nyerere kuwaita
Akina marando na wenzake maumbwa wakati wa enzi ya Lyatonga na NCCR
Mageuzi sio jambo la kunyamaza kimya. Nyerere aliwajua fika kuwa
hawafai hata kwa lolote. Ndio maana alimwita Lyatonga akamwambia
kagombee ubunge maana huko NCCR huna watu.
Bila kupoteza muda, mimi wasiwasi wangu ni huu, Marando ataleta jipya
gani CHADEMA? Au ndio hayo mafarakano aliyoyaacha NCCR wakati wa Mrema
na baada yake? au ndio akina LAMWAI wanaotanguliza tumbo kwanza ndio
Watanzania baadaye?, Mimi nina mwona Marando kama mwanasiasa wa Tumbo
akipata cha tumbo humuoni tena. CHADEMA wajihadhari, kwa sababu yeye
ni Mtanzania anayo haki ya kujiunga na chama chochote, lakini asipewe
madaraka mpaka aondoke mwenyewe. Huyo ni traitor na hatatufaa upinzani
hata kidogo. ANgerudi tu CCM kama wenzake
Nawashauri akina mbowe, Slaa na wazee wa chama waliangalie sana hili
kabla halijaleta mafarakano
kumuingiza Marando na kumpa jukwaa kuongea na wananchi siliafiki.
Mimi nimekuwa nikuwafuatilia sana wanasiasa wakiwepo wa upinzani.
maswala mazima ya usafi na kukubalika kwao na jamii. Uchafu kwa wana
CCM ni jambo la kwaida, tumelizoea lakini kwa upinzani tunategemea
kuona mfano usafi. Kuwa mbali na ufisadi au uchafu wa aina yeyote.
Wapo baadhi ya wanasiasa kuanzia kwa Nyerere na hata mpaka sasa
wanajulikana kwa usafi wao na wengine kwa uchafu wao. Nyerere kuwaita
Akina marando na wenzake maumbwa wakati wa enzi ya Lyatonga na NCCR
Mageuzi sio jambo la kunyamaza kimya. Nyerere aliwajua fika kuwa
hawafai hata kwa lolote. Ndio maana alimwita Lyatonga akamwambia
kagombee ubunge maana huko NCCR huna watu.
Bila kupoteza muda, mimi wasiwasi wangu ni huu, Marando ataleta jipya
gani CHADEMA? Au ndio hayo mafarakano aliyoyaacha NCCR wakati wa Mrema
na baada yake? au ndio akina LAMWAI wanaotanguliza tumbo kwanza ndio
Watanzania baadaye?, Mimi nina mwona Marando kama mwanasiasa wa Tumbo
akipata cha tumbo humuoni tena. CHADEMA wajihadhari, kwa sababu yeye
ni Mtanzania anayo haki ya kujiunga na chama chochote, lakini asipewe
madaraka mpaka aondoke mwenyewe. Huyo ni traitor na hatatufaa upinzani
hata kidogo. ANgerudi tu CCM kama wenzake
Nawashauri akina mbowe, Slaa na wazee wa chama waliangalie sana hili
kabla halijaleta mafarakano