Upinzani mkitii maagizo toka juu mmekwisha!

Mfikirishi

JF-Expert Member
Jan 16, 2012
7,492
8,537
Kuna kila dalili kuwa punde si punde upinzani utaitwa kwa mwamvuli wa viongozi wa dini (yale mapandikizi).

Lengo ni kuwarubuni ili wayakane matamko yao ya kususia uchaguzi!
Ni hivi; upinzani mnatakiwa mjue kuwa wananchi wanawachora tu!

Na siku zote wanalalamika kuwa vyama vyenu na imani waliyoweka kwenu ndo factors zinazowakwamisha kwenye harakati za kufikia demokrasia kamili!

Mnatoa matamko then ghafla mnayatengua na kulamba matapishi yenu!
This time wananchi wamechoka!

Mkiitwa na mkikubali kwenda wananchi hawataacha salama.

Be squarely warned!
Viongozi pandikizi wa dini zote na wale wote mnaojipendekeza kwa kificho na wazi wazi mkae mkijua kuwa upepo utawabadilikia very soon!!

cc Zitto Yericko Nyerere freeman Mbowe
 
Safari hii wakitii ujinga wowote tunawapa ukweli wao. Mfano wameuona juzi kwenye kujiandikisha, tuliacha bila ushawishi wa chama chochote cha siasa. Hatuko tayari tena kushiriki uchaguzi wowote ambao kura zetu haziheshimiwi. Hao cdm tuliwaamini wakaishia kutuletea Lowassa, safari hii wakizingua wataipata fresh.
 
Wananchi wapi makini wenye muda wa kuendekeza ujinga huu wa vurugu?

Labda bodaboda shauri ya kutaka petrol ya bure au wale wanywa shujaa na wenzao wasiojitambua.

Hamna mtu anahitaji vurugu ndio maana tumeamua hatushiriki uchaguzi wa kishenzi, shirikini maibilisi wenyewe chini ya shetani mkuu, na mjitangaze washindi vizuri, ila hatutambui viongozi walioko madarakani kwa njia ya kunajisi box la kura.
 
Safari hii wakitii ujinga wowote tunawapa ukweli wao. Mfano wameuona juzi kwenye kujiandikisha, tuliona bila ushawishi wa chama chochote cha siasa. Hatuko tayari tena kushiriki uchaguzi wowote ambao kura zetu haziheshimiwi. Hao cdm tuliwaamini wakaishia kutuletea Lowassa, safari hii wakizingua wataipata fresh.

Yaani unamwaga "sumu" wanateketea woteeeee Kama mende!! Lengo Ni kutuma ujumbe kuwa "Enough is Enough"
 
Siioni unpinzani hapa, wote waska tonge, watafute kazi nyingine ya kufanya. Wananchi wanawashangaa

Ni muhimu kuwaonesha kuwa wananchi kwa sasa wanauelewa wa kutosha kuielekeza nchi yao kule wanakotaka!!
Wananchi kwanza vyama baadaye!
 
Safari hii wakitii ujinga wowote tunawapa ukweli wao. Mfano wameuona juzi kwenye kujiandikisha, tuliacha bila ushawishi wa chama chochote cha siasa. Hatuko tayari tena kushiriki uchaguzi wowote ambao kura zetu haziheshimiwi. Hao cdm tuliwaamini wakaishia kutuletea Lowassa, safari hii wakizingua wataipata fresh.

Lkn alishinda kosa lao lipi hapo
 
Kosa lao ni kumleta mtu mnyonge asiyejua kujitetea na kutetea maslahi mapana ya wapiga kura!
Kwenye hizi harakati mgombea anatakiwa yule ambaye yupo tayari kumwaga mboga ili ikibidi kukosa wakose wote (wananchi wapate)

Lkn alishinda kosa lao lipi hapo
 
Hamna mtu anahitaji vurugu ndio maana tumeamua hatushiriki uchaguzi wa kishenzi, shirikini maibilisi wenyewe chini ya shetani mkuu, na mjitangaze washindi vizuri, ila hatutambui viongozi walioko madarakani kwa njia ya kunajisi box la kura.
Kumsusia fisi bucha ni kumrahisishia kazi,fisi akomoleki
 
Wanawashangaa wapi?
Mungewaacha wakawashae kwenye sanduku la kura.
Huenda ingekuwa kinyume
 
Lkn alishinda kosa lao lipi hapo

Hakuwa mtu sahihi kwa upinzani bali alifuata madaraka. Na ndio maana saa hii karudi huko alikotoka na kakiacha chama na taswira mbovu. Siku zote tulipokuwa tunapambana yeye alikuwa wapi mpaka apewe nafasi muda mfupi kabla ya uchaguzi, na sasa kurudi alikotoka?
 
Kosa lao ni kumleta mtu mnyonge asiyejua kujitetea na kutetea maslahi mapana ya wapiga kura!
Kwenye hizi harakati mgombea anatakiwa yule ambaye yupo tayari kumwaga mboga ili ikibidi kukosa wakose wote (wananchi wapate)

Alipima ila tungeumia sie tusioweza kodi ndege kukimbia
 
Kumsusia fisi bucha ni kumrahisishia kazi,fisi akomoleki

Ni kweli, kama ni bucha la uchaguzi kwa hiki kinachoendelea ni bora waendelee na hilo Bucha, nyama ikiisha tutakutana nao kwenye mawindo mengine.
 
Hakuwa mtu sahihi kwa upinzani bali alifuata madaraka. Na ndio maana saa hii karudi huko alikotoka na kakiacha chama na taswira mbovu. Siku zote tulipokuwa tunapambana yeye alikuwa wapi mpaka apewe nafasi muda mfupi kabla ya uchaguzi, na sasa kurudi alikotoka?
Angepata asingerudi karudi kwa shinikizo la kuepa kufilisiwa
 
Ni kweli, kama ni bucha la uchaguzi kwa hiki kinachoendelea ni bora waendelee na hilo Bucha, nyama ikiisha tutakutana nao kwenye mawindo mengine.
Ssm haiwezitena siasa za hoja itapigwa kweupe.
 
Back
Top Bottom