Hizi akili za toilet paper usizitoe hadharani kabisa. Unataka kusema wapinzani wanaoijunga CCM ni kwa sababu ya dola? Unataka kusema CCM inashinda uchaguzi kwa kura za vyombo vya dola? Acha ujinga, CCM bado ipo madarakani kwa sababu sera, muundo na ilani ya uchaguzi inavyotekelezwa vinawakosha Watu wengi ndio maana wanaipa ridhaa CCM kuendelea kubaki madarakaniWapuuzi, wajinga, narrow minded ndio Wenye akili na mtazamo Kama huo! Acheni wizi muone, Acheni kutumia jeshi la Polisi muone mziki wake.